Ushindi wa Lema, aibu kwa Clouds FM

Ushindi wa Lema, aibu kwa Clouds FM

wale jamaa naona hamnazo kwell coz uchambuzi wao hauzingatii maadili ya utangazaji, ipo siku wataambiwa wajieleze. niliwasikia kwenye kipind chao but mbona kibonde kwenye kipind chake cha jahaz amechambua vizr kwa weledi mkubwa.
 
Bado mnasikiliza powebreakfast mabogas hayo? Hawana uwezo wa kuchambua issues.
 
Hivi RC kaishapata nafuu?. Nimemkumbuka niliposoma "CLOUDS FM"
 
vita ya clouds media kwa vyama vya upinzani na hasa chadema haikuanza leo wala jana,waliofatilia kwa makini uchaguzi mkuu 2010 wanajua hili.Wanajua walivyo mchafua hata mh.sugu na Dr. Slaa. Wamechukua nafasi iliyoachwa wazi na iliyokuwa RTD. Wanajiita radio ya watu kumbe ni redio ccm kama ilivyo radio uhuru,bahati mbaya watanzania wengi wamefungwa minyororo nao wanacheza ngoma yao,wanaishi maneno yao,bila kujua wanzao wameshachukua chao na wengine nasikia wanusubiri ukuu wa wilaya.

Shame on you clouds fm and your entire media,iko siku watanzania wengi watujua kuwa nyie ni sehemu ya tatitizo kama ilivyo kwa mafisadi wa sisiem.

Nawasilisha!
 
Tatizo la pro CDM wanahisi kila mtu,taasisi,asasi zisizo ya serkali,taasisi za dini,vyombo vya ulinzi na usalama,vyombo vya habari na makampuni zinasupport utapeliwa wao wa siasa.Hivi nyie kawadanganya nani? ikiwa wenyewe kwa wenyewe mnatofautiana mnategemea kuungwa mkono kwa kila jambo na wasio na imani na chama chenu kichovu?
Kila nionapo Username yako namkumbuka Mzee wa Farasi! huwa nafurahishwa na kibwagizo chake cha Mingoi Heshima yako Mkuu Kingoi!,
 
Hivi inakuwaje kila siku humu watu mara hiyo redio imekufa, mara hatuisikilizi na bado kila siku mnaianzishia topic, kwa mwenye akili timamu aliyesikiliza hicho kipindi leo atakubaliana na mm kwamba waliongea ukweli ambao wengi humu hamtaki kuukubali,
wao walikataa kuiita hukumu ya leo ya kuwa ya hadhi ya juu kwakuwa tayari kuna hukumu za kutengua ubunge na kurudisha ubunge nyingi zimetolewa, na hawakusema kwamba Lema atashinda au atashindwa, acheni ushabiki...

Tatizo siyo kuijadili tu hii hukumu ya lema bali ni namna walivyokuwa wanaijadili ,wameongoe kishabiki mno, kingine ni kwamba kutokana na mazingira yaliyoizunguka kesi hii ya uongo, mauaji ya Arusha , propaganda za mkulu kwamba amani imerejea Arusha kwa vile Lema siyo mbunge , pilikapilika za akina Lowasa , ukatibu mkuu wa Kinana, kuhamisha kesi kutoka Arusha hadi Dsm na mambo kadha wa Kadha , ilikuwa lazima hukumu hiyo iitwe ya kihistoria , kama ulikuwa huyajui haya yote basi huna haja ya kuandika , kwa taarifa yako Prophet Lema hajawashinda tu wale akina Musa Mkanga bali kuna mlolongo wa watu walioshindwa , akiwemo M/kiti wa CCM taifa , tafakari !
 
Redio za kinafikki hizo na watangazaji nijana lakini wamerithishwa unafiki na magamba yao ccm ndo maana wako hivo.
mwisho wa unafiki wenu ni kuwa wachawi huko uzeeni
 
Mnalazimishwa kuskiliza clouds, kama mmewaona wapuzi kwa nini mnawaskiliza kila sku, huo ni unafki mnaofanya kitu kama hakikupendezi wewe kinawapendeza wengine,. Wale washamua kumtumikia mume wao ccm wacheni
 
huyu mbona anakatwa sana tuu sauti yake haisiskiki,anafumuliwa marinda ya nyuma ya suruali...anapewa dudu akiwa mdogo haogopi ...shujaa na picha zake zipo...au tuziweke hapa?
 
SIjui yule jaji wa mahakama kuu anajisikiaje muda huu,kweli hakujua kuwa mwanachama hana haki ya kufungua kesi kwa niaba ya mbunge wa chama chake???AIBU KWAKE.Gerard Hando,kibonde ni mizigo tu kumbukeni huyu Hando ni yule msaliti aliyewasaliti akina Kipanya na Finna hawa wanapayuka kwenye hiyo redio yao ili ikulu iwafikirie ukuu wa wilaya shule ndio issue kwao ukiwasikiliza mwanzo mwisho ni masaburi tupu.
 
Mnalazimishwa kuskiliza clouds, kama mmewaona wapuzi kwa nini mnawaskiliza kila sku, huo ni unafki mnaofanya kitu kama hakikupendezi wewe kinawapendeza wengine,. Wale washamua kumtumikia mume wao ccm wacheni

nilikuwa nikupe vyako kumbe umejua kuwa mume wao ccm....
 
nimekuwa mshabiki kwa sehemu wa kusikiliza redio ya clouds FM asubuhi nikiwa kwenye foleni.Lakini leo nilijuta niliposikia maneno ya kejeli na dhihaka dhidi ya gazeti la Tanzania Daima lililoongea kuwa "hukumu ya Lema ni ya kihistoria".Hata kama asingeshinda mimi ningeona ni ya kihistoria kwa CDM tungekuwa tumenyang'anywa jimbo na Ikulu.Hii ilishatamkwa wazi na Lema na Ikulu haijapinga kwa lolote.Sasa Gerald akajifanya hakuna chochote kipya katika kesi hii na anashangaa gazeti na wananchi wa Arusha na wanachama wa CDM kushabikia kesi hii.SASA M4C TUMESHINDA.GERALD UNASEMAJE PAMOJA NA PJ WAKO?.Nyinyi ni vijana wenzetu,mbona tunakulana wenyewe?

mkuu,,,kwa heshima na taadhima, kuna mambo ya msingi zaidi ya kufanya kwenye foleni,...kama kusoma novel, etc
 
Hawa mabwabwa ya Masalia na Bumbuli mwisho wao ni 2015 manina zao. Hawajuhi wananchi wana hasira nao kiasi gani
 
Mniwie radhi,lakini kwa mwenendo huu wa pro CDM basi ingekuwa ni binadamu basi tungesema ni CDM ni mwanamke mwenye gubu,maana kelele aziishi mara utasikia ooo... shemeji zangu hawanipendi,..wifi anachoyo,Mingoi ananitaka,wadada wale wananicheka ili mradi shida tu.Mnaboa bhana! bora nikatafute Tequila shots zangu kadhaa ili damu itembe vizuri.M out!!
 
PJ Nae ameaanza kuongea ovyooooo siamin basi clouds nooma
 
nilikuwa nikupe vyako kumbe umejua kuwa mume wao ccm....

mi hi redio nikiskiaga napata kinyaa kama nipo kwenye daladala nashuka, ata wakiandaa tamasha skanyagi, yani kiukweli mi nawachukia sana hawa clouds ko nawashangaa mnaowategea skio kila sku afu mnakuja lalamika
 
huyu mbona anakatwa sana tuu sauti yake haisiskiki,anafumuliwa marinda ya nyuma ya suruali...anapewa dudu akiwa mdogo haogopi ...shujaa na picha zake zipo...au tuziweke hapa?

Mmmh umejitahid sana kukwepa ban, lakin mi nimekuelewa, Je ni kweli kuna mwenye jipu na anakamuliwa huku mtaan badala ya hospital??
 
Back
Top Bottom