johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,113
Makamu mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Antipas Lissu amewalaani Viongozi wa CCM kwa kugawana rasilimali za nchi vikiwemo viwanda na kumtaja mmoja wa wanufaika wa ubazazi huo ni mbunge wa Morogoro mjini Dr Abood.
Tundu Lissu anesema "CCM wanapenda kumsema sema Magufuli kwa sababu tu AMEKUFA lakini wote ni washirika katika kutenda dhambi ILE ILE"
Tundu Antipas Lissu alikuwa akihutubia Mkutano wa hadhara mkoani Morogoro na alipomtaja Magufuli Uwanja mzima ulishangilia.
Aidha Lissu anesema Maridhiano hayana maana yoyote kama hakuna kitu kinachobadilika.
Mungu ni mwema wakati wote!
Tundu Lissu anesema "CCM wanapenda kumsema sema Magufuli kwa sababu tu AMEKUFA lakini wote ni washirika katika kutenda dhambi ILE ILE"
Tundu Antipas Lissu alikuwa akihutubia Mkutano wa hadhara mkoani Morogoro na alipomtaja Magufuli Uwanja mzima ulishangilia.
Aidha Lissu anesema Maridhiano hayana maana yoyote kama hakuna kitu kinachobadilika.
Mungu ni mwema wakati wote!