Ushindi unakuja CHADEMA

Nanyaro Ephata

JF-Expert Member
Jan 22, 2011
1,221
1,788
Ushindi unakuja CHADEMA

Tell my people that l love them ,and they must continue the fight ,my blood will nourish the tree that will bear the fruits of freedom, Aluta continue!! " "waambie watu wangu kuwa nawapenda nawaendelee mapambano, damu yangu itarutubisha mti ambao utazaa matunda ya uhuru ! Mapambano yaendelee!! "


Haya ni maneno ya Solomoni Mahlangu Kijana mdogo wa miaka 22 wakati akinyongwa Na serikali mabeberu huko Afrika Kusini mwaka 1976.


Waliomnyonga wamekufa na wengine watakufa na kamwe hawatakumbukwa popote,lakini Solomon Mahlangu angali anaishi kwenye mioyo ya wengi licha ya kufa katika umri mdogo.Kijijini kwao limejengwa sanamu lake,Solomo Mahlangu freedom square,etc


Nimeanza na hii historia ya Solomon Mahlangu ili kuwakumbusha wanaMabadiliko popote kuwa Tusiogope,tusikate tamaa,ushindi unakuja CHADEMA na kamwe hakuna awezaye kuzuia ushindi huo!huu ni mwaka wa uchaguzi na wengi wamejeruhiwa na kukatishwa tamaa na matendo ya baadhi ambao wameishiwa pumzi!Wamwishowe pumzi kwa kuwa ubunge na udiwani ni swala la kufa na kupona kwao,wameishiwa pumzi kwa kuwa wanataka kufaidi mabadiliko waliyopigania!wameishiwa pumzi kwa kuwa ni wabinafsi.


Rai yangu kwako wewe mpenda mabadiliko,tuendelee kupambana kwa kuwa sisi ni sauti ya wasio na sauti,mabadiliko kwa ajili ya vizazi vijavyo....hakika majina yetu yataandikwa katika historia ya Washindi kama Solomon Mahlangu


Ujasiri wa kukemea uovu huzaa heshima,na utu katika jamii hata ukifa leo utakumbukwa ,unafiki na ubinafsi huzaa dhambi ya mauti ,na hata kama ukifa leo hautakumbukwa.


Kwa ajili yako wewe Mama ambaye hujui utawapa nini watoto wako nitaendelea kupigania mabadiliko...
Kwa ajili yako wewe kijana ambaye umehitimu masomo yako na huna ajira nitaendelea kupigania mabadiliko....
Ushindi unakuja CHADEMA!
Usiogope! Usiogope! Usiogope!


We have God We have the power


Nanyaro EJ

Mwenyekiti Arusha Mjini
 
Ushindi unakuja CHADEMA

Tell my people that l love them ,and they must continue the fight ,my blood will nourish the tree that will bear the fruits of freedom, Aluta continue!! " "waambie watu wangu kuwa nawapenda nawaendelee mapambano, damu yangu itarutubisha mti ambao utazaa matunda ya uhuru ! Mapambano yaendelee!! "


Haya ni maneno ya Solomoni Mahlangu Kijana mdogo wa miaka 22 wakati akinyongwa Na serikali mabeberu huko Afrika Kusini mwaka 1976.


Waliomnyonga wamekufa na wengine watakufa na kamwe hawatakumbukwa popote,lakini Solomon Mahlangu angali anaishi kwenye mioyo ya wengi licha ya kufa katika umri mdogo.Kijijini kwao limejengwa sanamu lake,Solomo Mahlangu freedom square,etc


Nimeanza na hii historia ya Solomon Mahlangu ili kuwakumbusha wanaMabadiliko popote kuwa Tusiogope,tusikate tamaa,ushindi unakuja CHADEMA na kamwe hakuna awezaye kuzuia ushindi huo!huu ni mwaka wa uchaguzi na wengi wamejeruhiwa na kukatishwa tamaa na matendo ya baadhi ambao wameishiwa pumzi!Wamwishowe pumzi kwa kuwa ubunge na udiwani ni swala la kufa na kupona kwao,wameishiwa pumzi kwa kuwa wanataka kufaidi mabadiliko waliyopigania!wameishiwa pumzi kwa kuwa ni wabinafsi.


Rai yangu kwako wewe mpenda mabadiliko,tuendelee kupambana kwa kuwa sisi ni sauti ya wasio na sauti,mabadiliko kwa ajili ya vizazi vijavyo....hakika majina yetu yataandikwa katika historia ya Washindi kama Solomon Mahlangu


Ujasiri wa kukemea uovu huzaa heshima,na utu katika jamii hata ukifa leo utakumbukwa ,unafiki na ubinafsi huzaa dhambi ya mauti ,na hata kama ukifa leo hautakumbukwa.


Kwa ajili yako wewe Mama ambaye hujui utawapa nini watoto wako nitaendelea kupigania mabadiliko...
Kwa ajili yako wewe kijana ambaye umehitimu masomo yako na huna ajira nitaendelea kupigania mabadiliko....
Ushindi unakuja CHADEMA!
Usiogope! Usiogope! Usiogope!


We have God We have the power


Nanyaro EJ

Mwenyekiti Arusha Mjini
.
IMG_20200531_072737_186.jpg
 
Ushindi unakuja CHADEMA

Tell my people that l love them ,and they must continue the fight ,my blood will nourish the tree that will bear the fruits of freedom, Aluta continue!! " "waambie watu wangu kuwa nawapenda nawaendelee mapambano, damu yangu itarutubisha mti ambao utazaa matunda ya uhuru ! Mapambano yaendelee!! "


Haya ni maneno ya Solomoni Mahlangu Kijana mdogo wa miaka 22 wakati akinyongwa Na serikali mabeberu huko Afrika Kusini mwaka 1976.


Waliomnyonga wamekufa na wengine watakufa na kamwe hawatakumbukwa popote,lakini Solomon Mahlangu angali anaishi kwenye mioyo ya wengi licha ya kufa katika umri mdogo.Kijijini kwao limejengwa sanamu lake,Solomo Mahlangu freedom square,etc


Nimeanza na hii historia ya Solomon Mahlangu ili kuwakumbusha wanaMabadiliko popote kuwa Tusiogope,tusikate tamaa,ushindi unakuja CHADEMA na kamwe hakuna awezaye kuzuia ushindi huo!huu ni mwaka wa uchaguzi na wengi wamejeruhiwa na kukatishwa tamaa na matendo ya baadhi ambao wameishiwa pumzi!Wamwishowe pumzi kwa kuwa ubunge na udiwani ni swala la kufa na kupona kwao,wameishiwa pumzi kwa kuwa wanataka kufaidi mabadiliko waliyopigania!wameishiwa pumzi kwa kuwa ni wabinafsi.


Rai yangu kwako wewe mpenda mabadiliko,tuendelee kupambana kwa kuwa sisi ni sauti ya wasio na sauti,mabadiliko kwa ajili ya vizazi vijavyo....hakika majina yetu yataandikwa katika historia ya Washindi kama Solomon Mahlangu


Ujasiri wa kukemea uovu huzaa heshima,na utu katika jamii hata ukifa leo utakumbukwa ,unafiki na ubinafsi huzaa dhambi ya mauti ,na hata kama ukifa leo hautakumbukwa.


Kwa ajili yako wewe Mama ambaye hujui utawapa nini watoto wako nitaendelea kupigania mabadiliko...
Kwa ajili yako wewe kijana ambaye umehitimu masomo yako na huna ajira nitaendelea kupigania mabadiliko....
Ushindi unakuja CHADEMA!
Usiogope! Usiogope! Usiogope!


We have God We have the power


Nanyaro EJ

Mwenyekiti Arusha Mjini
 
Ushindi unakuja CHADEMA

Tell my people that l love them ,and they must continue the fight ,my blood will nourish the tree that will bear the fruits of freedom, Aluta continue!! " "waambie watu wangu kuwa nawapenda nawaendelee mapambano, damu yangu itarutubisha mti ambao utazaa matunda ya uhuru ! Mapambano yaendelee!! "


Haya ni maneno ya Solomoni Mahlangu Kijana mdogo wa miaka 22 wakati akinyongwa Na serikali mabeberu huko Afrika Kusini mwaka 1976.


Waliomnyonga wamekufa na wengine watakufa na kamwe hawatakumbukwa popote,lakini Solomon Mahlangu angali anaishi kwenye mioyo ya wengi licha ya kufa katika umri mdogo.Kijijini kwao limejengwa sanamu lake,Solomo Mahlangu freedom square,etc


Nimeanza na hii historia ya Solomon Mahlangu ili kuwakumbusha wanaMabadiliko popote kuwa Tusiogope,tusikate tamaa,ushindi unakuja CHADEMA na kamwe hakuna awezaye kuzuia ushindi huo!huu ni mwaka wa uchaguzi na wengi wamejeruhiwa na kukatishwa tamaa na matendo ya baadhi ambao wameishiwa pumzi!Wamwishowe pumzi kwa kuwa ubunge na udiwani ni swala la kufa na kupona kwao,wameishiwa pumzi kwa kuwa wanataka kufaidi mabadiliko waliyopigania!wameishiwa pumzi kwa kuwa ni wabinafsi.


Rai yangu kwako wewe mpenda mabadiliko,tuendelee kupambana kwa kuwa sisi ni sauti ya wasio na sauti,mabadiliko kwa ajili ya vizazi vijavyo....hakika majina yetu yataandikwa katika historia ya Washindi kama Solomon Mahlangu


Ujasiri wa kukemea uovu huzaa heshima,na utu katika jamii hata ukifa leo utakumbukwa ,unafiki na ubinafsi huzaa dhambi ya mauti ,na hata kama ukifa leo hautakumbukwa.


Kwa ajili yako wewe Mama ambaye hujui utawapa nini watoto wako nitaendelea kupigania mabadiliko...
Kwa ajili yako wewe kijana ambaye umehitimu masomo yako na huna ajira nitaendelea kupigania mabadiliko....
Ushindi unakuja CHADEMA!
Usiogope! Usiogope! Usiogope!


We have God We have the power


Nanyaro EJ

Mwenyekiti Arusha Mjini
Solomon Mahlangu was fighting for a noble cause, a cause that was good for all South Africans and a cause that he real belived in. That is why freedom indeed was eventually achieved.
Sasa CHADEMA tangu alipo ondoka Dr Silaa, hamjui mnapigania nini! Tangu mumlete Lowassa kuwa Rais wenu mlipoteza ile nia na wananchi wamepoteza imani kwenu. Hamuwezi kupigania yeyote. Mmebaki na nadharia tu na usikute ni wewe mwenye hiyo nadheria tu!
Solomon Mahlangu lived and died for his cause - nyinyi mna bei. Bei kama hela au kutokana na dhulma ndani ya chama chenu.
And generally you are Sellouts!
 
Solomon Mahlangu was fighting for a noble cause, a cause that was good for all South Africans and a cause that he real belived in. That is why freedom indeed was eventually achieved.
Sasa CHADEMA tangu alipo ondoka Dr Silaa, hamjui mnapigania nini! Tangu mumlete Lowassa kuwa Rais wenu mlipoteza ile nia na wananchi wamepoteza imani kwenu. Hamuwezi kupigania yeyote. Mmebaki na nadharia tu na usikute ni wewe mwenye hiyo nadheria tu!
Solomon Mahlangu lived and died for his cause - nyinyi mna bei. Bei kama hela au kutokana na dhulma ndani ya chama chenu.
And generally you are Sellouts!
Nchi ni kiongozi mmoja tu wakitaifa ndo unaweza kumuona nakupata picha zake za kwenye vilabu vya pombe. a.k.a mlevi wa taifa.
JamiiForums1171215835.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ushindi unakuja CHADEMA

Tell my people that l love them ,and they must continue the fight ,my blood will nourish the tree that will bear the fruits of freedom, Aluta continue!! " "waambie watu wangu kuwa nawapenda nawaendelee mapambano, damu yangu itarutubisha mti ambao utazaa matunda ya uhuru ! Mapambano yaendelee!! "


Haya ni maneno ya Solomoni Mahlangu Kijana mdogo wa miaka 22 wakati akinyongwa Na serikali mabeberu huko Afrika Kusini mwaka 1976.


Waliomnyonga wamekufa na wengine watakufa na kamwe hawatakumbukwa popote,lakini Solomon Mahlangu angali anaishi kwenye mioyo ya wengi licha ya kufa katika umri mdogo.Kijijini kwao limejengwa sanamu lake,Solomo Mahlangu freedom square,etc


Nimeanza na hii historia ya Solomon Mahlangu ili kuwakumbusha wanaMabadiliko popote kuwa Tusiogope,tusikate tamaa,ushindi unakuja CHADEMA na kamwe hakuna awezaye kuzuia ushindi huo!huu ni mwaka wa uchaguzi na wengi wamejeruhiwa na kukatishwa tamaa na matendo ya baadhi ambao wameishiwa pumzi!Wamwishowe pumzi kwa kuwa ubunge na udiwani ni swala la kufa na kupona kwao,wameishiwa pumzi kwa kuwa wanataka kufaidi mabadiliko waliyopigania!wameishiwa pumzi kwa kuwa ni wabinafsi.


Rai yangu kwako wewe mpenda mabadiliko,tuendelee kupambana kwa kuwa sisi ni sauti ya wasio na sauti,mabadiliko kwa ajili ya vizazi vijavyo....hakika majina yetu yataandikwa katika historia ya Washindi kama Solomon Mahlangu


Ujasiri wa kukemea uovu huzaa heshima,na utu katika jamii hata ukifa leo utakumbukwa ,unafiki na ubinafsi huzaa dhambi ya mauti ,na hata kama ukifa leo hautakumbukwa.


Kwa ajili yako wewe Mama ambaye hujui utawapa nini watoto wako nitaendelea kupigania mabadiliko...
Kwa ajili yako wewe kijana ambaye umehitimu masomo yako na huna ajira nitaendelea kupigania mabadiliko....
Ushindi unakuja CHADEMA!
Usiogope! Usiogope! Usiogope!


We have God We have the power


Nanyaro EJ

Mwenyekiti Arusha Mjini
1. Je umesikia ya kuwa B K Membe anajiunga na chama chenu?

2. Je unajua ya kuwa B K Membe ni mbobezi wa taaluma gani?

3. Je unajua ya kuwa kwa taaluma ya B K Membe ukiisaliti serikali unashitakiwa kwa uhaini?

4. B K Membe amekuwa ni mwalim wa mda mrefu wa chuo fulani hapa Tanzania je unajua alikuwa ni mwalim wa chuo gani?

ENDELEA KUJIPA MOYO. YA LOWASA YATAKUWA NI CHA MTOTO.
 
Ushindi unakuja CHADEMA

Tell my people that l love them ,and they must continue the fight ,my blood will nourish the tree that will bear the fruits of freedom, Aluta continue!! " "waambie watu wangu kuwa nawapenda nawaendelee mapambano, damu yangu itarutubisha mti ambao utazaa matunda ya uhuru ! Mapambano yaendelee!! "


Haya ni maneno ya Solomoni Mahlangu Kijana mdogo wa miaka 22 wakati akinyongwa Na serikali mabeberu huko Afrika Kusini mwaka 1976.


Waliomnyonga wamekufa na wengine watakufa na kamwe hawatakumbukwa popote,lakini Solomon Mahlangu angali anaishi kwenye mioyo ya wengi licha ya kufa katika umri mdogo.Kijijini kwao limejengwa sanamu lake,Solomo Mahlangu freedom square,etc


Nimeanza na hii historia ya Solomon Mahlangu ili kuwakumbusha wanaMabadiliko popote kuwa Tusiogope,tusikate tamaa,ushindi unakuja CHADEMA na kamwe hakuna awezaye kuzuia ushindi huo!huu ni mwaka wa uchaguzi na wengi wamejeruhiwa na kukatishwa tamaa na matendo ya baadhi ambao wameishiwa pumzi!Wamwishowe pumzi kwa kuwa ubunge na udiwani ni swala la kufa na kupona kwao,wameishiwa pumzi kwa kuwa wanataka kufaidi mabadiliko waliyopigania!wameishiwa pumzi kwa kuwa ni wabinafsi.


Rai yangu kwako wewe mpenda mabadiliko,tuendelee kupambana kwa kuwa sisi ni sauti ya wasio na sauti,mabadiliko kwa ajili ya vizazi vijavyo....hakika majina yetu yataandikwa katika historia ya Washindi kama Solomon Mahlangu


Ujasiri wa kukemea uovu huzaa heshima,na utu katika jamii hata ukifa leo utakumbukwa ,unafiki na ubinafsi huzaa dhambi ya mauti ,na hata kama ukifa leo hautakumbukwa.


Kwa ajili yako wewe Mama ambaye hujui utawapa nini watoto wako nitaendelea kupigania mabadiliko...
Kwa ajili yako wewe kijana ambaye umehitimu masomo yako na huna ajira nitaendelea kupigania mabadiliko....
Ushindi unakuja CHADEMA!
Usiogope! Usiogope! Usiogope!


We have God We have the power


Nanyaro EJ

Mwenyekiti Arusha Mjini

Bila kuwa na tume huru ya uchaguzi ni kupoteza muda kaka.
 
Solomon Mahlangu was fighting for a noble cause, a cause that was good for all South Africans and a cause that he real belived in. That is why freedom indeed was eventually achieved.
Sasa CHADEMA tangu alipo ondoka Dr Silaa, hamjui mnapigania nini! Tangu mumlete Lowassa kuwa Rais wenu mlipoteza ile nia na wananchi wamepoteza imani kwenu. Hamuwezi kupigania yeyote. Mmebaki na nadharia tu na usikute ni wewe mwenye hiyo nadheria tu!
Solomon Mahlangu lived and died for his cause - nyinyi mna bei. Bei kama hela au kutokana na dhulma ndani ya chama chenu.
And generally you are Sellouts!
Hata huyo Slaa unayemlilia hapa ana bei, kama alivyojiuzulu alitangaza kuacha siasa, halafu baadae akapewa ubalozi huko nje, nikuulize ile ni nafasi ya nini, sio siasa? au ni ualimu kwa akili yako!.

Slaa kakaa Chadema muda wote akituaminisha CCM kumeoza, halafu baadae anapewa ugali na kiongozi wa CCM hiyo hiyo na anaula hiyo ni akili ya wapi!

Huna ujualo my friend; unapozungumzia kununuliwa hizo ni tabia za baadhi ya wanasiasa wa kitanzania, na kununuliwa kupo kwa aina nyingi, hata ubinafsi ni sawa na kununuliwa. Wapo waliokimbilia CDM lowassa alipokuja, then wakarudi CCM alipoondoka, wale nao ni wabinafsi usiniambie wanajua wanachopigania zaidi ya matumbo yao.

Hivyo ni ufinyu wa upeo unaouonesha hapa kwa kuihukumu taasisi yote kwa matendo ya baadhi ya wanachama wake, wapo wasafi hawastahili hiyo hukumu yako. Mbowe mpaka leo bado yupo CDM licha ya majanga yote aliyofanyiwa na serikali ya CCM, huyu lazima aungwe mkono na wapenda mabadiliko wote wanaojielewa. Lissu.....

Mabadiliko sio kitendo cha kulala na kuamka uwe umeshakipata, hiyo ni sawa na vita. Wapo askari watakaofia njiani lakini mapambano lazima yaendelee, kuwaza kususa eti kwasababu baadhi ya askari wako wamepotea ni ushamba.
 
1. Je umesikia ya kuwa B K Membe anajiunga na chama chenu?

2. Je unajua ya kuwa B K Membe ni mbobezi wa taaluma gani?

3. Je unajua ya kuwa kwa taaluma ya B K Membe ukiisaliti serikali unashitakiwa kwa uhaini?

4. B K Membe amekuwa ni mwalim wa mda mrefu wa chuo fulani hapa Tanzania je unajua alikuwa ni mwalim wa chuo gani?

ENDELEA KUJIPA MOYO. YA LOWASA YATAKUWA NI CHA MTOTO.
Tazama kibuyu kingine hiki, unatujazia hisia zako hapa halafu unataka zijadiliwe!.

Werevu wanajadili facts, sio hisia, wacha ushamba.
 
Hatuwezi kuwapa nchi wazinzi
Kama tu mnaweza kusaliti ndoa zenu mpaka mnateguka miguu,mkipewa dola ,mtatafuna wanawake wa nchi nzima
Muulize Janeth taabu aliyopata na watoto wake dhidi ya mwanamke aitwaye Kabula.
Muulize Salma alivyokuwa anagombana na vimada wa mumewe na kwa nini yule mwimbaji aliyeimba "Wanawake na maendeleo" alipewa ubunge viti maalum na baadaye ndoa yake kuota mbawa?
Muulize Hadija kwa nini mumewe aliitwa "Shemeji" na wanafunzi.?
 
Ushindi unakuja CHADEMA

Tell my people that l love them ,and they must continue the fight ,my blood will nourish the tree that will bear the fruits of freedom, Aluta continue!! " "waambie watu wangu kuwa nawapenda nawaendelee mapambano, damu yangu itarutubisha mti ambao utazaa matunda ya uhuru ! Mapambano yaendelee!! "


Haya ni maneno ya Solomoni Mahlangu Kijana mdogo wa miaka 22 wakati akinyongwa Na serikali mabeberu huko Afrika Kusini mwaka 1976.


Waliomnyonga wamekufa na wengine watakufa na kamwe hawatakumbukwa popote,lakini Solomon Mahlangu angali anaishi kwenye mioyo ya wengi licha ya kufa katika umri mdogo.Kijijini kwao limejengwa sanamu lake,Solomo Mahlangu freedom square,etc


Nimeanza na hii historia ya Solomon Mahlangu ili kuwakumbusha wanaMabadiliko popote kuwa Tusiogope,tusikate tamaa,ushindi unakuja CHADEMA na kamwe hakuna awezaye kuzuia ushindi huo!huu ni mwaka wa uchaguzi na wengi wamejeruhiwa na kukatishwa tamaa na matendo ya baadhi ambao wameishiwa pumzi!Wamwishowe pumzi kwa kuwa ubunge na udiwani ni swala la kufa na kupona kwao,wameishiwa pumzi kwa kuwa wanataka kufaidi mabadiliko waliyopigania!wameishiwa pumzi kwa kuwa ni wabinafsi.


Rai yangu kwako wewe mpenda mabadiliko,tuendelee kupambana kwa kuwa sisi ni sauti ya wasio na sauti,mabadiliko kwa ajili ya vizazi vijavyo....hakika majina yetu yataandikwa katika historia ya Washindi kama Solomon Mahlangu


Ujasiri wa kukemea uovu huzaa heshima,na utu katika jamii hata ukifa leo utakumbukwa ,unafiki na ubinafsi huzaa dhambi ya mauti ,na hata kama ukifa leo hautakumbukwa.


Kwa ajili yako wewe Mama ambaye hujui utawapa nini watoto wako nitaendelea kupigania mabadiliko...
Kwa ajili yako wewe kijana ambaye umehitimu masomo yako na huna ajira nitaendelea kupigania mabadiliko....
Ushindi unakuja CHADEMA!
Usiogope! Usiogope! Usiogope!


We have God We have the power


Nanyaro EJ

Mwenyekiti Arusha Mjini
Mungu ibariki CHADEMA
 
Asante kwa andiko zuri linalo tia moyo
Ushindi unakuja CHADEMA

Tell my people that l love them ,and they must continue the fight ,my blood will nourish the tree that will bear the fruits of freedom, Aluta continue!! " "waambie watu wangu kuwa nawapenda nawaendelee mapambano, damu yangu itarutubisha mti ambao utazaa matunda ya uhuru ! Mapambano yaendelee!! "


Haya ni maneno ya Solomoni Mahlangu Kijana mdogo wa miaka 22 wakati akinyongwa Na serikali mabeberu huko Afrika Kusini mwaka 1976.


Waliomnyonga wamekufa na wengine watakufa na kamwe hawatakumbukwa popote,lakini Solomon Mahlangu angali anaishi kwenye mioyo ya wengi licha ya kufa katika umri mdogo.Kijijini kwao limejengwa sanamu lake,Solomo Mahlangu freedom square,etc


Nimeanza na hii historia ya Solomon Mahlangu ili kuwakumbusha wanaMabadiliko popote kuwa Tusiogope,tusikate tamaa,ushindi unakuja CHADEMA na kamwe hakuna awezaye kuzuia ushindi huo!huu ni mwaka wa uchaguzi na wengi wamejeruhiwa na kukatishwa tamaa na matendo ya baadhi ambao wameishiwa pumzi!Wamwishowe pumzi kwa kuwa ubunge na udiwani ni swala la kufa na kupona kwao,wameishiwa pumzi kwa kuwa wanataka kufaidi mabadiliko waliyopigania!wameishiwa pumzi kwa kuwa ni wabinafsi.


Rai yangu kwako wewe mpenda mabadiliko,tuendelee kupambana kwa kuwa sisi ni sauti ya wasio na sauti,mabadiliko kwa ajili ya vizazi vijavyo....hakika majina yetu yataandikwa katika historia ya Washindi kama Solomon Mahlangu


Ujasiri wa kukemea uovu huzaa heshima,na utu katika jamii hata ukifa leo utakumbukwa ,unafiki na ubinafsi huzaa dhambi ya mauti ,na hata kama ukifa leo hautakumbukwa.


Kwa ajili yako wewe Mama ambaye hujui utawapa nini watoto wako nitaendelea kupigania mabadiliko...
Kwa ajili yako wewe kijana ambaye umehitimu masomo yako na huna ajira nitaendelea kupigania mabadiliko....
Ushindi unakuja CHADEMA!
Usiogope! Usiogope! Usiogope!


We have God We have the power


Nanyaro EJ

Mwenyekiti Arusha Mjini
 
Haya mafuasi ya chadema ni mafala sana kama mafuasi ya kinjekitile, aliyewaita manyumbu hajakosea kabisa. Ushindi huo labda kushinda nyumbani mkiosha vyombo na mahawala zenu.
 
Back
Top Bottom