kantasundwa
JF-Expert Member
- May 25, 2020
- 1,548
- 2,384
Tulia wee segitoHaya mafuasi ya chadema ni mafala sana kama mafuasi ya kinjekitile, aliyewaita manyumbu hajakosea kabisa. Ushindi huo labda kushinda nyumbani mkiosha vyombo na mahawala zenu.
Tulia wee segitoHaya mafuasi ya chadema ni mafala sana kama mafuasi ya kinjekitile, aliyewaita manyumbu hajakosea kabisa. Ushindi huo labda kushinda nyumbani mkiosha vyombo na mahawala zenu.
Fungua thread zao hapa tunajadili ushindii wa chadema,usitutoe.nje ya mada dadaMuulize Janeth taabu aliyopata na watoto wake dhidi ya mwanamke aitwaye Kabula.
Muulize Salma alivyokuwa anagombana na vimada wa mumewe na kwa nini yule mwimbaji aliyeimba "Wanawake na maendeleo" alipewa ubunge viti maalum na baadaye ndoa yake kuota mbawa?
Muulize Hadija kwa nini mumewe aliitwa "Shemeji" na wanafunzi.?
Kama uwezo wako wa kufikiri umeishia hapo basi una tatizo linalohtaji ufumbuzi wa kitabibu. Mleta mada kaongelea siasa na mukakati yao kama Chama na akawatia moyo wenzake kutokatishwa tamaa na vikwazo wanavyokumbana navyo. Mwisho akaahidi ushindi. Ukatoka ulikotoka na kuanzisha habari za maisha binafsi ya mtu mmoja tena ukijumuisha kwa pamoja utadhani tukio lililompata limefanywa na Chama chote. Nami nikakupa mifano ya maisha ya Marais 3 ambao wamekuwa wenyeviti wa chama chako kwa miaka 25. Tena nimemuacha makusudi mmoja ambaye ni mlevi Komba aliyeviziwa na mkewe akiwa amelewa na kuteguliwa mguu. Nakisihi usihusishe maisha binafsi ya watu maana wa upande wako ni wachafu kuliko unavyojidanganya.Fungua thread zao hapa tunajadili ushindii wa chadema,usitutoe.nje ya mada dada
We are fighting for a noble cause!maisha bora kwa kila mtanzania,ustawi wa jamii ya watanzania,Haki,Uhuru etcSolomon Mahlangu was fighting for a noble cause, a cause that was good for all South Africans and a cause that he real belived in. That is why freedom indeed was eventually achieved.
Sasa CHADEMA tangu alipo ondoka Dr Silaa, hamjui mnapigania nini! Tangu mumlete Lowassa kuwa Rais wenu mlipoteza ile nia na wananchi wamepoteza imani kwenu. Hamuwezi kupigania yeyote. Mmebaki na nadharia tu na usikute ni wewe mwenye hiyo nadheria tu!
Solomon Mahlangu lived and died for his cause - nyinyi mna bei. Bei kama hela au kutokana na dhulma ndani ya chama chenu.
And generally you are Sellouts!
Kama kwako Kinjekitile alikuwa fala na nyumbu basi wazazi wako wana hasara kubwaHaya mafuasi ya chadema ni mafala sana kama mafuasi ya kinjekitile, aliyewaita manyumbu hajakosea kabisa. Ushindi huo labda kushinda nyumbani mkiosha vyombo na mahawala zenu.
Chadema ni lifestyle!chadema ni mabadiliko,chadema ndio njia tumeamua kuifuataCDM ilikua ni ile ya 2010 enzi za dr slaa, kwasasa hakuna chochote
Andishi lako ni kielelezo cha tatizo lako la lishe duni ambalo limesababisha utapiamlo wa kichwaniHatuwezi kuwapa nchi wazinzi
Kama tu mnaweza kusaliti ndoa zenu mpaka mnateguka miguu,mkipewa dola ,mtatafuna wanawake wa nchi nzima
Kaka Mshana Jr leo nimeota Mara 3 zinapigwa kura Kati ya wagombea watatu mh magufuli
Wanachuo wa kampasi ya Mazimbu Sua mna matatizo Sana..Ushindi unakuja CHADEMA
Tell my people that l love them ,and they must continue the fight ,my blood will nourish the tree that will bear the fruits of freedom, Aluta continue!! " "waambie watu wangu kuwa nawapenda nawaendelee mapambano, damu yangu itarutubisha mti ambao utazaa matunda ya uhuru ! Mapambano yaendelee!! "
Haya ni maneno ya Solomoni Mahlangu Kijana mdogo wa miaka 22 wakati akinyongwa Na serikali mabeberu huko Afrika Kusini mwaka 1976.
Waliomnyonga wamekufa na wengine watakufa na kamwe hawatakumbukwa popote,lakini Solomon Mahlangu angali anaishi kwenye mioyo ya wengi licha ya kufa katika umri mdogo.Kijijini kwao limejengwa sanamu lake,Solomo Mahlangu freedom square,etc
Nimeanza na hii historia ya Solomon Mahlangu ili kuwakumbusha wanaMabadiliko popote kuwa Tusiogope,tusikate tamaa,ushindi unakuja CHADEMA na kamwe hakuna awezaye kuzuia ushindi huo!huu ni mwaka wa uchaguzi na wengi wamejeruhiwa na kukatishwa tamaa na matendo ya baadhi ambao wameishiwa pumzi!Wamwishowe pumzi kwa kuwa ubunge na udiwani ni swala la kufa na kupona kwao,wameishiwa pumzi kwa kuwa wanataka kufaidi mabadiliko waliyopigania!wameishiwa pumzi kwa kuwa ni wabinafsi.
Rai yangu kwako wewe mpenda mabadiliko,tuendelee kupambana kwa kuwa sisi ni sauti ya wasio na sauti,mabadiliko kwa ajili ya vizazi vijavyo....hakika majina yetu yataandikwa katika historia ya Washindi kama Solomon Mahlangu
Ujasiri wa kukemea uovu huzaa heshima,na utu katika jamii hata ukifa leo utakumbukwa ,unafiki na ubinafsi huzaa dhambi ya mauti ,na hata kama ukifa leo hautakumbukwa.
Kwa ajili yako wewe Mama ambaye hujui utawapa nini watoto wako nitaendelea kupigania mabadiliko...
Kwa ajili yako wewe kijana ambaye umehitimu masomo yako na huna ajira nitaendelea kupigania mabadiliko....
Ushindi unakuja CHADEMA!
Usiogope! Usiogope! Usiogope!
We have God We have the power
Nanyaro EJ
Mwenyekiti Arusha Mjini
Kinachonishangaza kwa hivi vyama vya upinzani ndio hicho.Bila kuwa na tume huru ya uchaguzi ni kupoteza muda kaka.
Na wewe kweli unaipenda ccm au tumbo lako?Solomon Mahlangu was fighting for a noble cause, a cause that was good for all South Africans and a cause that he real belived in. That is why freedom indeed was eventually achieved.
Sasa CHADEMA tangu alipo ondoka Dr Silaa, hamjui mnapigania nini! Tangu mumlete Lowassa kuwa Rais wenu mlipoteza ile nia na wananchi wamepoteza imani kwenu. Hamuwezi kupigania yeyote. Mmebaki na nadharia tu na usikute ni wewe mwenye hiyo nadheria tu!
Solomon Mahlangu lived and died for his cause - nyinyi mna bei. Bei kama hela au kutokana na dhulma ndani ya chama chenu.
And generally you are Sellouts!
Hatuwezi kuwapa nchi wazinzi
Kama tu mnaweza kusaliti ndoa zenu mpaka mnateguka miguu,mkipewa dola ,mtatafuna wanawake wa nchi nzima
Kinachonishangaza kwa hivi vyama vya upinzani ndio hicho.
Wanajua dhahiri bila tume huru ya uchaguzi hawawezi kushinda hata wafanyeje...lakini ataona wanang'ang'ania kushiriki uchaguzi.
Wakishashindwa wanaanza kulaumu.
Ajabu kabisa.
Na huyo wa kwenu anayezalisha mpaka wake za watu, au mnadhani hatuyajui? Mbona wote ni wazinzi tu?Hatuwezi kuwapa nchi wazinzi
Kama tu mnaweza kusaliti ndoa zenu mpaka mnateguka miguu,mkipewa dola ,mtatafuna wanawake wa nchi nzima
Wanachuo wa kampasi ya Mazimbu Sua mna matatizo Sana..
Yani unataka kuanza kulinganisha kijana smart kama Solomon kulash Mahlangu na vitu vya kijinga kama Chadema, chama kinachopngozwa na walevi+Wazinifu.
Napenda chama chochote kinacho jali wananchi wake. Wewe huitaki CCM sababu ya viongozi wa zamani na visalia vyao vichache katika uongozi huu wa awamu ya tano. Lakini tangu Dr. Magufuli awe mwenyekiti wa CCM (sisemi Rais), CCM imebadirika siyo ya kupenda tumbo tena. Ila tu kwa visalia tu na wale wenye mawazo ya ccm ya zamani.Na wewe kweli unaipenda ccm au tumbo lako?
Nyinyi ubaya wenu hayo mnayatamka tu hamuwezi kuyatekeleza! Mfano wenu ni kama mama mwenye mtoto anayeumwa kwashiakor akienda clinik na akaulizwa mtoto anampa chakula gani - anaanza; maziwa, mayai, Samaki, dagaa na uji wa lishe na ninamnyonyesha!We are fighting for a noble cause!maisha bora kwa kila mtanzania,ustawi wa jamii ya watanzania,Haki,Uhuru etc
mabadiliko ya kweli na uhuru wa kweli...yes baadhi yetu wamekuwa na bei hii ni kawaida hata enzi za mabeberu huko Afrika Kusini baadhi walisaliti a cause!baadhi wakasimama imara and paid the price