Tigershark
JF-Expert Member
- Oct 9, 2018
- 7,051
- 12,572
- Thread starter
- #81
Sina taarifa hizo,ila saint John ni chuo kikubwa pale Dodoma!Ndio kile kilichofungiwa na TCU juzi?
Sina taarifa hizo,ila saint John ni chuo kikubwa pale Dodoma!Ndio kile kilichofungiwa na TCU juzi?
Prac za physics kibongobongo bila kufoji lazima ufeli tu maana kama ya umeme unaweza kuunganisha metre bridge mara inagoma kuwaka yani purukushani tu...Nikiwa advance pale kibaha,nakumbula kuna jamaa mmoja mlokole hakutaka mambo ya kufoji kwamba ni dhambi!Tukaingia Prac ya physics,ilitakiwa tufanye 3!Ngoma ya kwanza ni kutafuta specific gravity ya sample liquid "x"!Kiuhalisia prac hiyo inahitaji utulivu sana na hali ya hewa iwe stable throughout the experiment!Na kwa lisaa limoja huwezi maliza ukiamua kufanya!Basi jamaa akakomaa kufanya,mpaka muda unaisha hajakusanya hata nusu ya data!Tukahamia chumba kingine,hali ikawa hivyo hivyo,hakufanikiwa kumaliza prac ya 1 na ya 2!Tulivyoingiq room ya mwisho kwa ajili ya prac ya mwisho,tuliona anavyotetemeka!Ikabidia tumwambie asifanye prac tena,tukawa tunapokezana kijanja kumpa sheet za majibu naye anakiri!Kweli alifanikiwa kucopy kutoka kwetu prac zote 3!
Tulipotoka nje tulimpiga madongo sana,tukamueleza unaweza jiharibia maisha bure eti kisa ulokole!
Yaaaa inakuaga hivyo unakuta wanafunzi mko zaidi ya miaka tatuDaah halafu unajua shule nyingine wanafunzi ni wengi kwahiyo inabidi upige practical chapu upate result maana kuna kuhamishwa kupelekwa kwenye swali jingine...Mitihani hii acha kabisa mkuu,unaweza kulia kwenye chumba cha mtihani
Hawa necta ni noma sanaKweli aisee,kufoji ni lazima kama unataka kufaulu!Prac za physics kibongobongo bila kufoji lazima ufeli tu maana kama ya umeme unaweza kuunganisha metre bridge mara inagoma kuwaka yani purukushani tu...
Paper za chuo hazina stress sana kama za sekondari!Chuo si unajua unaweza kuja kusapua!!!!Engineering Drawing(Autocad Software) ilinifanya nipige bao jepesi ndani ya paper.
Zamani nilikuwa nasikia kwa wana hii issue ila ilipokuja nitokea ndio niliamini.
Paper ilikuwa masaa matatu kwa kawaida nilikuwa na speed sana kwenye hii drawing sasa nimeingia kwenye paper hivi ile siku kila kitu nakiona chepesi mno nikasema kimoyo moyo leo dk zero namaliza.
Nikajikuta nimekwisha tumia saa moja na nusu hafu sioni nilichofanya mara mwili wote nikaona kama unaenda mbio hivi mara mbao najaribu kujizuia hivi nikashindwa kabisa.
Ila baada ya kupiga bao pale(Bila kupenda) nikamaliza paper fresh kabisa ila ilinibidi niongeze niwe na speed ya light.
Nikaja kuona hii inatokea pale unajua kila kitu halafu unaona unashindwa kufanya /kutatua kutokana unaona upo nyuma ya muda
Hahaahaha,ila waliofanya hizo paper miaka ya 1990 kurudi nyumawalikuwa vichwa sana!Ukiziona hizo paper unaweza kata tamaa ya kusoma!Tafuta past papers za Enguneering science uifanye nadhani utapiga mabao matamu zaidi.
Hahahaahaahaaaaaa!Kabisa mkuu, mwili una "defending mechanisms" dhidi ya stress/maumivu yanayokuja ghafla na ndio maana watu wengine huzimia, wanawake huingia kwenye siku zao nje ya ratiba kabisa, na wanaume hupizi hata kama huna nguvu za kiume hahaha
Hatari mkuu!😁😁😁😁umeenichekesha wewe si kwa sauti ile hhahhahaha
Kwanza watu bright ndio walikuwa wanaenda umeme!Unanikumbusha Iyunga guys walipenda kwenda MTC(MUST) kisa misosi.hahahahahah
Ila waliosoma tech hasa wa umeme ndio walikuwa wanapasua sana
TCU yavifuta vyuo vikuu vya TEKU na SJUT na kusitisha mafunzo kwa vyuo vikuu 5 - JamiiForumsSina taarifa hizo,ila saint John ni chuo kikubwa pale Dodoma!
Hizo ndo nzuri zimesimama .Hahaahaha,ila waliofanya hizo paper miaka ya 1990 kurudi nyumawalikuwa vichwa sana!Ukiziona hizo paper unaweza kata tamaa ya kusoma!
Walitunyang'anya shule yetu bureee!Aiseee!Ila saint John haiko msalato,iko jirani na Kikuyu,au jirani na mtaa wa uzunguni!
Hahahahaaaaaaaa,lecture wetu yeye alikuwa akitutisha kuwa kila mwaka wanaokuja kusapua lazima ajaze shato(costa)!Hizo ndo nzuri zimesimama .
Mwaka flani chuoni mwaka wa mwisho niliingia UE na course work 5%. Siku ya UE sasa pepa lilikuwa limesimama haswa, huku Lecturer anapita anasema " wengine mnapoteza muda tu hapa, mwakani lazima mje hapa "
Kilichofuata ni burudani isiyomithilika ikiambatana na mguno.
Nikilikumbuka lile bao hatari sana niltamani hata ile room iwe na cctv camera ningeenda kuomba nione nilivyopambana kulizuia lile bao.Paper za chuo hazina stress sana kama za sekondari!Chuo si unajua unaweza kuja kusapua!!!!
Hahahahaaaa,nakumbuka Auto card jamaa alisahau kusave time to time,si unajua atmost every 15 minutes lazima usave progress yako incase umeme ukikata ghafla!!!!
Sasa umeme ukakata,tulisikia jamaa akitoa huo mguno!Tukajua kichwa kishaliwa!!!!!
Autocard raha sana ukiizoea software,yaani ukitoka kwenye paper unakuwa unajua kanisa umepasua!!!!!
Wazee wa kutrim!!!!!