The Monk
Platinum Member
- Oct 12, 2012
- 20,318
- 46,060
Nna rafiki zangu wawili wamewahi kunihadithia mmoja ilimtokea mtihani wa shule ya msingi na mwingine sekondari.
Engineering Science, somo langu pendwa kuliko masomo yote nikiwa na G.R.A Titomb pembeni utaniambia nini?
Mwaka wetu tuliletewa mtihani wa Electical Drafting wa ajabu sana, kwanza walichelewa kuutuma ukaja mchana tena kwa fax, pili tulitegemea utakua nyanya kama kawaida, baada ya kugawiwa karatasi za maswali nakumbuka nilipotoka nilisema hapa ntapata Banda au Mswaki, haingewezekana kupata katikati, yaani ni A au F. Nashukuru mambo yakaenda vizuri. Huu ndio mtihani pekee ningeweza kutokewa na hali kama hiyo, kama haikutokea siku hiyo, haitatokea tena.
Engineering Science, somo langu pendwa kuliko masomo yote nikiwa na G.R.A Titomb pembeni utaniambia nini?
Mwaka wetu tuliletewa mtihani wa Electical Drafting wa ajabu sana, kwanza walichelewa kuutuma ukaja mchana tena kwa fax, pili tulitegemea utakua nyanya kama kawaida, baada ya kugawiwa karatasi za maswali nakumbuka nilipotoka nilisema hapa ntapata Banda au Mswaki, haingewezekana kupata katikati, yaani ni A au F. Nashukuru mambo yakaenda vizuri. Huu ndio mtihani pekee ningeweza kutokewa na hali kama hiyo, kama haikutokea siku hiyo, haitatokea tena.
