Ushawahi Kupendwa Mpaka Ukawa Unahisi Kero?

Ushawahi Kupendwa Mpaka Ukawa Unahisi Kero?

Ilishawahi nitokea.

HUko shinyanga, maeneo uzunguni.
Kuna binti mmoja nilimuapproach
Bahati nikakuta binti hana makuu, harafu ni bikira.(kwa mjibu wake)
Nikaamua ni achane nae bila kuosha rungu.

Huyu binti alikuwa anasumbua, sio calls si text .
Akituma sms ukajibu baada ya nusu saa. Analalamika kweli.

Sema alikuwa mzuri.
 
Kuna huyu anaenitongoza mpk hapa ameshakuwa unqualified.. yaani ana kera hajali hata umelala saa 7 anapiga Simu.. muda wa kazi masimu ma sms kama ananidai figo yake..

Hayo mapenzi ni ya under 25 sie wazee hatuyawezi masimu ma sms kama nina damu yake siweziii
Shukuru umepata wa hvyo...mm nikiwa natongoza..siku ya kwanza nakutafta sana ila baada ya hapo ndani ya wiki naweza kukutafta mara moja ttu
 
Wakuu
Katika maisha ya mahusiano tunapitia mengi,unaweza ukapendwa sana mpaka ukawa unahisi ni kero sasa

Mtu kila saa anakutafuta,anakutumia text,anakupigia,ukimjibu au ukichelewa kumjibu anakulaumu na "mbona kimya" zinakuwa nyingi

Hali hii mimi binafsi huwa siipendi na ikitokea mwanamke wa namna hii basi nampiga chini haraka sana,siwezi kuwa saa niko na simu tu nachati au naongea na wewe kama nimekosa kazi ya kufanya.

Nimeachana na first11 ya wanawake dizaini hii.

Usawahi kudate na mdada au mwanaume wa namna hii? Hali ilikuwaje,ulikabiliana nae vipi na mahusiano yako bado yapo?
Cc Binti Sayuni03
Demu anapiga simu usiku saa 8 nimelala analeta mahaba yake,Hizo mambo siwezi
 
Back
Top Bottom