Nyakageni
JF-Expert Member
- Feb 1, 2011
- 15,044
- 5,114
Hana ubavu huo, haya makelele anapiga kwa kuwa yuko ndani ya chama. Akiondoka ndani ya CDM kitu pekee anachoweza kushinda ni ubunge wake, na kwa kuwa ni jimbo liloiloko kijijini, ingekuwa ni mbunge kama wa Ubungo hata jimbo hapati
akitoka Chadema hata ubunge hawezi kushinda.