Ushauri wenu wanaJF, mke wangu ana tabia za umbea

Ushauri wenu wanaJF, mke wangu ana tabia za umbea

ACHA KABISA mambo ya kukaa kwenu, wala usingoje kuhamia kwenye nyummba yako
pia usiwakaribishe ndugu yeyote katika ndoa yenu, hata vitab vinasema
nenda kapnge na chukua vyumba viwili au vichache ili ndugu wasije
Mkeo muheshimu ndio Ndoa itaduu,tuseme na yeye angeleta ndugu zake mngekaa kweli?
hii habari inaonesha hata wewe unahusika kusambaza au kumnyanyasa mkeo
Nimepokea ushauri wako
 
Una tatizo wewe ka mwanaume kwanini uishi kwenu, huna msimamo hafu huna maamuzi ka mwanaume unamsikiliza mamako, inapokuja swala na hii issue don't base one side utavunja ndoa, hafu pia wewe ni mwenyeji wa ukanda wa pwani mbona umbeya ni jambo la kawaida tu.

Hama hapo kwenu na acha kumsema mkeo ka chini mrekebishane na huyo mkeo mumekutana akili zenu sawa yani pipa na mdomo. Na wewe uache umbeya mwanaume haipendezi
Wala siegemei upande wowote..nayafanyia kazi nayoyaona wala siambiwi na mtu nakuupata ukweli..kuishi nyumbani sio kama nashida nasi kila anaeishi kwao anashida yakipato wala pakukaa lahasha
 
Wewe umemchoka mkeo na hujielewi unapenda kumlaumu mwenzako sana wewe ni malaika oa mke wa pili maana ndo akili za waswahili.
Mim sio malaika namdhaifu yangu pia na wala sijamchoka mke wangu ..wala misilaumu kwalolote nihali yaktk kumjenga mke wangu kuwa mke bora.kwani ww apo umekamilika kwa kila kitu...naishi ktk madhaifu ya mke wangu ndio maana natafuta namna bora yakumsaidia ktk madhaifu yake yapungua najua hayawezi kuisha kwa mtu yoyote yule..kuja huku nikutaka kupata maarifa zaidi..ndio maana imani yangu inasema tafuta elimu hata kama iko china kuja huku jf nikupata elimu zaid ya wanajukwaa hili
 
Atakuwa mzaramo ndo hujilundika na umbeya ni jadi maana ka mention mambo ya somo Mara apate umbeya wa wanawake, inasikitisha mwanaume kutokujielewa
Mwanaume kamaili niyule anayapokea jamabo nakulifanyia kazi ndio maana waswahili wanasema usidharau maneno hata kama yanatoka kwa kichaa/mwehu
 
Lakini Kwa nyuzi zako wewe nikumlaumu tu huku wewe ukisahau huna msimamo unapiga umbeya na mamako na ndunguzo kuhusu mkeo unategemea nini. Mwishowe hyo ndoa itavunjika be careful ka na mkeo mjenge mji wenu yani nyie mnaolea kwenu utegemee nini. Hamieni kwenu muone ka hayo maneno hayajafa na heshima ikawepo. Usipende kumsema mkeo na kumlaumu, nyie ndo
Mim sio malaika namdhaifu yangu pia na wala sijamchoka mke wangu ..wala misilaumu kwalolote nihali yaktk kumjenga mke wangu kuwa mke bora.kwani ww apo umekamilika kwa kila kitu...naishi ktk madhaifu ya mke wangu ndio maana natafuta namna bora yakumsaidia ktk madhaifu yake yapungua najua hayawezi kuisha kwa mtu yoyote yule..kuja huku nikutaka kupata maarifa zaidi..ndio maana imani yangu inasema tafuta elimu hata kama iko china kuja huku jf nikupata elimu zaid ya wanajukwaa hili
Mna maakosa aisee.
 
Wewe umeshamhukumu mkeo ni mbeya uko one side unategemea nini. Comments za wote zimekushauri kuhama ila still una mlaumu mkeo inaonyesha umemchoka. Na mkeo naye mvumilivu anaolewa na mwanaume asiyejitambua yani anaoa akiwa kwao. Namhurumia mwanamke mwenzangu Mimi ningeshachapa lapa na wote mgekula kichambo cha haja.
Wala siegemei upande wowote..nayafanyia kazi nayoyaona wala siambiwi na mtu nakuupata ukweli..kuishi nyumbani sio kama nashida nasi kila anaeishi kwao anashida yakipato wala pakukaa lahasha
 
Lakini Kwa nyuzi zako wewe nikumlaumu tu huku wewe ukisahau huna msimamo unapiga umbeya na mamako na ndunguzo kuhusu mkeo unategemea nini. Mwishowe hyo ndoa itavunjika be careful ka na mkeo mjenge mji wenu yani nyie mnaolea kwenu utegemee nini. Hamieni kwenu muone ka hayo maneno hayajafa na heshima ikawepo. Usipende kumsema mkeo na kumlaumu, nyie ndo Mna maakosa aisee.
Hivi hujaona mahali nimekuambia kua baba mkwe wangu anajua tabia za mwanae zakukuza maneno kwa mambo anayomulekeza kuyafanya ndio maana nkasema kuja hapa nikupata elimu zaid..kwetu papo natutuahimia baada ya muda mwezi na nusu...nimeweka kama akiba ya kudeal na tabia za namna hii ambazo mzazi wake alie mlea anathibitisha hilo nami nimeliona vipi nikwepe ukweli badala yakutafuta mbinu za kudeal nao
 
Mkuu nashauri muhame hapo nyumbani ili kupunguza maneno kwa sababu inaonekana mna familia kubwa sana ndo mana maneno yanakuwa mengi...but kwa tabia hizo za mke wako nakuonea huruma sana uko mbele....
 
Mkuu sijafika mwisho Wa Uzi wako,nimeishia pale uliposema unaishi kwa baba na mama for almost 4 years,naona mke wako yuko sahihi kuwasema vibaya wakwe zake
 
Mimi nimeusoma wote hajaongelea ishu ya mtoto. Na ukisoma between lines ni kuwa mke wake ni mama wa nyumbani na hayupo busy. Angekua anafanya kazi au ana watoto wa kumkeep busy asingehangaika na ishu ndogo ndogo kama hizo.

Ukikosa shughuli kila neno kwako ni ishu.
Hapo kwenye kumpa mkewe mimba, ina maana kwenye miaka mitatu ya ndoa hawana mtoto?
Nauliza sababu sijaisoma.
 
Piga bati chumba kimoja hamieni mtamalizia mbele kwa mbele, unakaaje nyumbani kwa wazazi wako....


Ole wake mtu aje kunioa anipeleke kwa wazazi wake nkakae mfyuuuuu
 
Hayo ni matatizo ya baba mzima kuoa na kukaa kwenu

Mdogo wako nae anaoa anakaa kwenu

Nyie wazima kweli

Acha mkeo afanye umbea tu

Maana mngekuwa mnaishi kwenye mji wenu wewe na mkeo huo muda angeutumia kufanya usafi na kulima mbogamboga

Pia huna ukaribu na mkeo unategemea umbea amwambie nani?

Tatu huyo somo nae mbea mchonganishi tu

Nne umeegemea kwa ndugu zako as if wao ni malaika

Tano ulipaswa uwe ushajua madhaifu na strength za mkeo kabla ya kumuoa sizisingekusumbua

Sita matokeo ya kuishi kwenu hayo mkeo hayupo huru hata akununua sare ya harusi tu mama mkwe mdomo juu kuanza maswali....

Kubwa hameni miaka 39 unaishi kwenu

Heeeeei

Pulizi
 
Acha kusikiliza maneno ya watu ndoa ni yako usipojirekebisha hutakuwa unadumu na mwanamke
Hivi hujaona mahali nimekuambia kua baba mkwe wangu anajua tabia za mwanae zakukuza maneno kwa mambo anayomulekeza kuyafanya ndio maana nkasema kuja hapa nikupata elimu zaid..kwetu papo natutuahimia baada ya muda mwezi na nusu...nimeweka kama akiba ya kudeal na tabia za namna hii ambazo mzazi wake alie mlea anathibitisha hilo nami nimeliona vipi nikwepe ukweli badala yakutafuta mbinu za kudeal nao
 
Mkuu embu fanya uhame hapo ukakae mbali kabsa kinyume na hapo ndoa itakushinda SIGNATURE "Cheap things sometime is expensive"
 
Back
Top Bottom