The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 18,158
- 51,083
Safi kabisa,nimekupenda bure Dada yangu.Ushauri ni kwamba.
Mruhusu awe anakwambia wewe kila kitu kibaya kuhusu familia yako. Hivo atayamwaga kwako na hatoyapeleka nje.
Safi kabisa,nimekupenda bure Dada yangu.Ushauri ni kwamba.
Mruhusu awe anakwambia wewe kila kitu kibaya kuhusu familia yako. Hivo atayamwaga kwako na hatoyapeleka nje.
Huyu ikiwa muandiko wake ni wa hovyo,je ataweza kuicontrol familia zaidi ya 3 zinazoishi nyumba moja?Daah, huu mwandiko ni shida
Nshambembeleza sana kwaupendo hasemi zaid yakutoa malalamiko yake nkiwa nimeoka kwenda kazini tena kwa njia sms nasikakaa tukajadili kuzungumza kama wanando nami nimeshashauri sana ndoa bora inamara nimawasiliano lakini amekua habadilikiUshauri ni kwamba.
Mruhusu awe anakwambia wewe kila kitu kibaya kuhusu familia yako. Hivo atayamwaga kwako na hatoyapeleka nje.
Nami nangojea tukaishi ktk mazingira yetu ili nijionee atakavokua kama akiwa hivi ndo nkasema nipate busara hivi ila jicho langu la tatu nimeweza kuhisi kama nikitabia ambacho kimerithiwa maana baba mkwe alishanidokeza vitu flani flani ambavyo havipendi kwa mama mkwe wangu ambvyo baadhi hata mke wangu anavyoHuyo anaathiriwa na mazingira
Nenda kaishi mazingira ya peke yenu uone atakavyokuwa mpole
Mkuu wengne sio kama tukaa kwetu tunashida hapana tuna ajira zetu binafsi ambazo ndizo zinaendesha familiaHuyo n chaguo lako komaa na size yako kama sio ujinga unakaaje na mke wako kwenu
Asante kwa ushauri nimeupokea mungu akubarikiNi wewe ndio uliosababisha yote hayo na umbea na visa havitaisha hapo mpaka uhame tu
Huyo ni mke wako na njia za kumrekebisha zipo nyingi ila la kwanza ondoka hapo
Nami naupokea kwa mikono miwiliSafi kabisa,nimekupenda bure Dada yangu.
Hapo kwenye kumpa mkewe mimba, ina maana kwenye miaka mitatu ya ndoa hawana mtoto?Mkuu nimesoma mwanzo mpaka mwisho ingawa kwa tabu sana.
1. Hama kwenu kakae hata chumba kimoja na mkeo.
2. Mpe mimba mpate mtoto.
3. Mkanye mkeo mkiwa wawili usiache wazazi wawasaidie hata ishu ndogo.
4. Mpende mkeo na waheshmu wazazi wako.
5. Narudia hama kwenu na nenda mbali kaanze maisha....
Mwandiko tutaajari wakutuandikia wangne damu zetu ni ujasilia mali kwaiyo kama hatujui kuandika wataifanya kazi ya kutunadikia watu wangne tuwape ujira hakuna alieperfect kwa kila kitu hata ww unamadhaifu yako huo ndio ukweliHuyu ikiwa muandiko wake ni wa hovyo,je ataweza kuicontrol familia zaidi ya 3 zinazoishi nyumba moja?
Shukrani kwa ushauri wakoMmmnh...Mwanaume unaandika maandishi mengi sana bwana...
Kama umemchoka mkeo endeleeni kuishi hapo kwa wazazi wako..!
Easy brother,usichukulie serious sana,hii ni JF,tupo pamoja mkuu na pole sana katika mitihani unayoipitia,Mungu atakusaidia In sha Allah.Mwandiko tutaajari wakutuandikia wangne damu zetu ni ujasilia mali kwaiyo kama hatujui kuandika wataifanya kazi ya kutunadikia watu wangne tuwape ujira hakuna alieperfect kwa kila kitu hata ww unamadhaifu yako huo ndio ukweli
Nikawaida kwa wasoma vitabu maana hawezi shindwa andika maneno mengi kama anaweza kusoma vitabu vingi kwa mwaka anashindwaje kuandika maneno mengiIla we mleta uzi umeleta uzi kweli!
Umeandika Ndeeeefu, maneno mengi mno.
Shukran brotherEasy brother,usichukulie serious sana,hii ni JF,tupo pamoja mkuu na pole sana katika mitihani unayoipitia,Mungu atakusaidia In sha Allah.
ACHA KABISA mambo ya kukaa kwenu, wala usingoje kuhamia kwenye nyummba yakoHapana mkuu kila kitu kiko poa mjengo uko mwishoni kukamilika kama miezi miwili imebaki kuisha kabisa nakuhamia na nawife anajua hilo nashangaa kwanini kawa gafla hivi
Mkuu nshajiongeza kuhusu hilo nanyumba yangu iko mwishoni kabisa kuisha nawife anaijua hiyo hali nashangaa amekua niwavitimbi sana kwavitu ambavyo anajua anamda mfupi tu wakukaa ukweni
Ww ni mzaramo?