Ushauri wenu, dunia naona mviringo!

Ushauri wenu, dunia naona mviringo!

Baba nani?
Tazama ya kale yamepita yamekua mapya, hauamini kama hayo ni maneno kutoka kwa Baba K na M

Hapa tu wiki hii nimevuka mitego ya hatari, kama sio tuition ya mwaka jana ingekua najutia. Sasa hivi sidanganyiki!!

Na mie kile kipindi niliiona duara kabisa yaani dunia mviringo.
 
Bona siku hizi hofu ya mungu na neno lake hamna au haiko, mtu amekwambia ni mke wa mtu, kusikia hayo tu, ungepiga STOP,ufahamu upandacho ndicho unavuna period, pale huyu mke wa mtu alikuambia hilo ungemwambia asante wa kuwa mkweli kuazia leo sisi ni marafiki tu, hakuna zaidi, haijalishi hana mtoto , mume hazai au hili au kile, ni mke wa MTU. ungempa ushauri kaa hi hivyo muadapt mtoto, yeye na mume wake au umuachie maamuzi, lakini story za awe mpenzi zingeoshia hapo.mimi hata binti akiniambia ako na boyfreand , story mimi nasimalizia hapo, bona mabinti warembo wa kutupa wamejaa, bona niende kuharibu ndoa ya mtu, na nivuje amri ya mungu, NOT ME PLS
Andika vzuri
 
Kwa hiyo mwamba amri ya Mungu unaijua kwa mke wa mtu tu, haukusoma kwamba hata hao mabinti unaosema wapo wengi amri inakataza? Pia usiwe vuguvugu. Kama unazotaja amri, fuata zote hauwezi kutekeleza chache tu.

Wewe sema tu nafsi yako inakusuta au hauoni vizuri kuwa na mke wa mtu, usilete mambo ya amri kabisa.
okay well understood sir, madam
 
Em taja mkoa kwanza ndo tujue km hapo mrembo no8 anataka mtoto au anataka kukusambazia voltage

Haiwezekani hilo tukio litokee Mbeya/Bukoba halafu tukwambie baharia Go ahead,utatutia dhambi ya mauaji bure.
 
Back
Top Bottom