Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,371
- 14,481
Hawataki kula pipi na maganda yake.Duuh hilo la kutotumia kinga wanawake wanalipenda sana.
Hawataki kula pipi na maganda yake.Duuh hilo la kutotumia kinga wanawake wanalipenda sana.
Na ninyi Wanawake kuna mada zenu huwaziletwa hapa,huwa mnabaki kimyaaaa! Km vile Mtu anayesutwa.kuna mada zikiletwa hapa wanaume wote mioyo inapoaaa, wanageuka washauri wazuri, wanakua kama walokole flani hivi, nahisi hadi pmb husinyaa kama nyanya mbovu , yani kichwani kwangu huwa nawaona kama kifaranga cha kuku kilichonyeshewa na mvua.....ikiletwa mada ya kugonga mke wa mtu.
Habun we huwa unawaonaje???![]()
Naona umesahau kuwa amekaa nje au mbali na mkewe kwa mwaka. Usisahahu kuwa mwili wa mwanaume Hauna reshuffle, upo active 24/7 na kila siku mbegu zinatengenezwa. Lazima atafute njia ya kuzitoa.Na yeye si ameoa, angeanza kuiheshimu ndoa yake kwanza.
Tunawahurumia Sana wasipatwe na ugonjwa wa chekachekambunye ya bure sio ya kuacha mwamba....piga tu
Naona umesahau kuwa amekaa nje au mbali na mkewe kwa mwaka. Usisahahu kuwa mwili wa mwanaume Hauna reshuffle, upo active 24/7 na kila siku mbegu zinatengenezwa. Lazima atafute njia ya kuzitoa.
Majukumu dada yanabana. Mke anaangalia watoto hamna wa kumwachia. Najaribu kujiweka kwenye viatu vya mleta mada, hili jambo nalielewa.Angesafiri kwa mama watoto au mama watoyo angemfuat huko alipo wapoozane engines. Hizi hela za kuzitafuta at the expense of your family; madhara yake tunakujaga kuyaona ikiwa too late
kuna mada zikiletwa hapa wanaume wote mioyo inapoaaa, wanageuka washauri wazuri, wanakua kama walokole flani hivi, nahisi hadi pmb husinyaa kama nyanya mbovu , yani kichwani kwangu huwa nawaona kama kifaranga cha kuku kilichonyeshewa na mvua.....ikiletwa mada ya kugonga mke wa mtu.
Habun we huwa unawaonaje???🙄
Sasa kinachowafanya waone wanaonewa huwa ni nini??? wakati nao wanachakata wake za watu....😁Sasa hujajua tu, wagongaji wakubwa wa wake za watu ni waume za watu, na kinyume chake...
Hiyo ndio trend ya sasa...
sasa kinachowafanya waone wanaonewa huwa ni nini??? wakati nao wanachakata wake za watu....😁
Ngoja tuone sehemu zilizo bakia.Amekwambia amekosea njia? Na kama alikosea njia, basi angempa mkewe talaka kisha akaoe huyo ambaye yupo kwenye njia sahihi naye.
Ukitaka kuishi maisha ya ufuska kwa uhuru: usioe wala kuolewa. Ndoa ni Agano linalofaa kuheshimiwa
Aaah mi sio kama Esma kuingilia ingilia mahusiano ya bro....akipigwa la hiroshima ntaenda kumpa pole 😂😂😂 kisha narudi kupambana na yanguMuokoe ndugu yako wewe nipe namba ya mkewe nimstue aisee fanya fasta kabla mambo hayajaharibika😅
HahahahahahAaah mi sio kama Esma kuingilia ingilia mahusiano ya bro....akipigwa la hiroshima ntaenda kumpa pole 😂😂😂 kisha narudi kupambana na yangu
Na vifungu vya biblia vya kukataza dhambi huwa wanavikumbukakuna mada zikiletwa hapa wanaume wote mioyo inapoaaa, wanageuka washauri wazuri, wanakua kama walokole flani hivi, nahisi hadi pmb husinyaa kama nyanya mbovu , yani kichwani kwangu huwa nawaona kama kifaranga cha kuku kilichonyeshewa na mvua.....ikiletwa mada ya kugonga mke wa mtu.
Habun we huwa unawaonaje???![]()





Suleiman na mitume wake mbona wanakoma
Kila mtu abaki na necha zake.... wanawake necha zetu nyingi ni siri make pale bustanini rol modo wetu aliongea mengi na baby nyokaNa vifungu vya biblia vya kukataza dhambi huwa wanavikumbuka
Ila sasa ije ikoegemea upande wao sasaaaaaaSuleiman na mitume wake mbona wanakoma
![]()
Wanajifanya watakatifukuna mada zikiletwa hapa wanaume wote mioyo inapoaaa, wanageuka washauri wazuri, wanakua kama walokole flani hivi, nahisi hadi pmb husinyaa kama nyanya mbovu , yani kichwani kwangu huwa nawaona kama kifaranga cha kuku kilichonyeshewa na mvua.....ikiletwa mada ya kugonga mke wa mtu.
Habun we huwa unawaonaje???![]()
Wanakua watoto wa mwamposa kumbe zombies tu....Wanajifanya watakatifu
wanakua watoto wa mwamposa kumbe zombies tu....
waendelee tu kugongewa ili waanze na kuimba kwaya kabisaHadi unajihisi tupo kwenye Imani, Upendo na Miujiza