Ushauri wenu, dunia naona mviringo!

Ushauri wenu, dunia naona mviringo!

Em nionyeshe maandiko yanayosema hivyo
Source: anywhere
PhotoGrid_1641603955863.jpg

View attachment 2072826
 
Hata na hivo the earth is sphere na mpaka kuna evidences we ulikuwa wapi mpaka leo ndo unaona dunia ni mviringo?
 
PART III
"Kuna kitu sikukuambia, mpenzi,mume wangu anaumwa sana, tena kwa muda mrefu" alisema Clara

Moyo ukapiga paaaa.....!
Nikajisemea moyoni , mama yangu ukimwi huo!

Bibie aliona mkanganyiko wangu.
Baada ya muda nami nikapata nguvu ya kumuuliza.

"Ameathirika na ugonjwa gani", nilimuuliza.
Bibie alika kimya kwa muda, hakujua mimi huku moyo unadunda kama pampu ya maji.
Nilimuuliza mara ya pili anachoumwa mumewe, maana nilanza kukosa uvumilivu.

Clara alianza taaratibu kuelezea.
Mme wake katika kazi yake alipata matatizo ta kifua, inaelekea huko kiwanda anachofanya alivuta hewa chafu iliyomuathiri mfumo wa hewa na mapafu.
Aliniambia kwa miaka yote wameoana alianza kuugua taratibu lakini katika mwaka huu mmoja uliopita anashindwa kupumua sawasawa.
Aliniambia mwaka ule mmoja waliooana ndiyo amekuwa angalau anaweza tendo la ndoa,pamoja na mapungufu kuwa hawezi kuzaa, ila mwaka huu mzima uliopita amekuwa akiuguza tu na hawezi hata kudiriki kufanya tendo la ndoa.

Nilimuuliza tena sasa kwa kutaka uhakika, kama hajaathirika na ukimwi.
Clara alijibu, tena kwa kujimini na kushangaa, kuwa hapana, yeye tatizo lake ni hayo mapafu yanayomkosesha kupumua na mwili kukosa nguvu.

Nikashusha pumzi, si kwa furaha bali kwa kushukuru kuwa kawingu ka kufikiria kuwa sasa naweza kuwa nimeathirika na mimi, kamepita, ingawaje bado wasiwasi ulikuwepo moyoni bado.

Baada ya hapo ndio tukarudi kwenye bomu letu.
Mimba.
Nikamuuliza sasa itakuwaje watu wakiuliza umepata wapi mimba, na wanajua kuwa mume wako hawzi.

Hapo ndio nikatambua kuwa wanawake wanatuzidi.
Akanieleza kuwa siri ya ndani kwao ni yeye na mume wake, hakuna anayejua lolote, hata ndugu zake.

Sasa, nikamuuliza mumwe wako je , akiuliza mimba hiyo ya nani.
Bibie alinyamaza, machozi yakamlenga lenga, na alijibu taratibu kuwa kwa hali aliyonayo mumewe hajakata tamaa lakini kwa kweli ni changa moto.

Kwa mazungumzo hayo tuliyokuwa nayo, hata bia iliteremka kwa shida.
Na niliyotaraji ya rematch hayakuwepo tena.
Mpaka narudi Dar kwa kweli niliona kama nimepatikana , wala sijapata.

Ikapita miezi miwili hivi, usiku wa saa mbili nikapata simu toka kwa Clara.
"Mpenzi" , aliniambia
"Mume wangu amefariki"
Niliangusha simu chini kwa mshtuko.
Baada ya kupata fahamu, nikajua nimekula nanasi na maganda yake.

Itaendelea Part IV, coming soon!

Evelyn Salt,​

Heaven Sent,​

The Monk,​

Habun,​

Vishu Mtata,​

Smart911

 
PART III
"Kuna kitu sikukuambia, mpenzi,mume wangu anaumwa sana, tena kwa muda mrefu" alisema Clara

Moyo ukapiga paaaa.....!
Nikajisemea moyoni , mama yangu ukimwi huo!

Bibie aliona mkanganyiko wangu.
Baada ya muda nami nikapata nguvu ya kumuuliza.

"Ameathirika na ugonjwa gani", nilimuuliza.
Bibie alika kimya kwa muda, hakujua mimi huku moyo unadunda kama pampu ya maji.
Nilimuuliza mara ya pili anachoumwa mumewe, maana nilanza kukosa uvumilivu.

Clara alianza taaratibu kuelezea.
Mme wake katika kazi yake alipata matatizo ta kifua, inaelekea huko kiwanda anachofanya alivuta hewa chafu iliyomuathiri mfumo wa hewa na mapafu.
Aliniambia kwa miaka yote wameoana alianza kuugua taratibu lakini katika mwaka huu mmoja uliopita anashindwa kupumua sawasawa.
Aliniambia mwaka ule mmoja waliooana ndiyo amekuwa angalau anaweza tendo la ndoa,pamoja na mapungufu kuwa hawezi kuzaa, ila mwaka huu mzima uliopita amekuwa akiuguza tu na hawezi hata kudiriki kufanya tendo la ndoa.

Nilimuuliza tena sasa kwa kutaka uhakika, kama hajaathirika na ukimwi.
Clara alijibu, tena kwa kujimini na kushangaa, kuwa hapana, yeye tatizo lake ni hayo mapafu yanayomkosesha kupumua na mwili kukosa nguvu.

Nikashusha pumzi, si kwa furaha bali kwa kushukuru kuwa kawingu ka kufikiria kuwa sasa naweza kuwa nimeathirika na mimi, kamepita, ingawaje bado wasiwasi ulikuwepo moyoni bado.

Baada ya hapo ndio tukarudi kwenye bomu letu.
Mimba.
Nikamuuliza sasa itakuwaje watu wakiuliza umepata wapi mimba, na wanajua kuwa mume wako hawzi.

Hapo ndio nikatambua kuwa wanawake wanatuzidi.
Akanieleza kuwa siri ya ndani kwao ni yeye na mume wake, hakuna anayejua lolote, hata ndugu zake.

Sasa, nikamuuliza mumwe wako je , akiuliza mimba hiyo ya nani.
Bibie alinyamaza, machozi yakamlenga lenga, na alijibu taratibu kuwa kwa hali aliyonayo mumewe hajakata tamaa lakini kwa kweli ni changa moto.

Kwa mazungumzo hayo tuliyokuwa nayo, hata bia iliteremka kwa shida.
Na niliyotaraji ya rematch hayakuwepo tena.
Mpaka narudi Dar kwa kweli niliona kama nimepatikana , wala sijapata.

Ikapita miezi miwili hivi, usiku wa saa mbili nikapata simu toka kwa Clara.
"Mpenzi" , aliniambia
"Mume wangu amefariki"
Niliangusha simu chini kwa mshtuko.
Baada ya kupata fahamu, nikajua nimekula nanasi na maganda yake.

Itaendelea Part IV, coming soon!

Evelyn Salt,​

Heaven Sent,​

The Monk,​

Habun,​

Vishu Mtata,​

Smart911

Sasa naanza kupata picha ya nn kinakusumbua
 
Back
Top Bottom