Ushauri wenu, dunia naona mviringo!

Ushauri wenu, dunia naona mviringo!

Bona siku hizi hofu ya mungu na neno lake hamna au haiko, mtu amekwambia ni mke wa mtu, kusikia hayo tu, ungepiga STOP,ufahamu upandacho ndicho unavuna period, pale huyu mke wa mtu alikuambia hilo ungemwambia asante wa kuwa mkweli kuazia leo sisi ni marafiki tu, hakuna zaidi, haijalishi hana mtoto , mume hazai au hili au kile, ni mke wa MTU. ungempa ushauri kaa hi hivyo muadapt mtoto, yeye na mume wake au umuachie maamuzi, lakini story za awe mpenzi zingeoshia hapo.mimi hata binti akiniambia ako na boyfreand , story mimi nasimalizia hapo, bona mabinti warembo wa kutupa wamejaa, bona niende kuharibu ndoa ya mtu, na nivuje amri ya mungu, NOT ME PLS
 
Asante mods kwa kuhamishia huku jukwaa lake.
Sasa nitatiririka, maisha si kama mtu ujipangiavyo, kuna milima na mabonde.......tuendelee!
 
Braza kum* ya Bure ni NGUMU SANAA KUIACHA.
Yaani K imejileta mwenyewe halafu uipotezee

Hiiii bagoshaaaaa.

#YNWA
Kwa maelezo ya mtoa mada, haijajileta..
Mtoa mada ndiyo kaanza kumtongoza huyo dada!

Kistaarabu alitakiwa amuache haraka sana baada ya kugundua huyo dada ameolewa.

Anyway, mimi ni nani hata niwapangie cha kufanya..

Sent from my SM-J105H using JamiiForums mobile app
 
Kwa maelezo ya mtoa mada, haijajileta..
Mtoa mada ndiyo kaanza kumtongoza huyo dada!

Kistaarabu alitakiwa amuache haraka sana baada ya kugundua huyo dada ameolewa.

Anyway, mimi ni nani hata niwapangie cha kufanya..

Sent from my SM-J105H using JamiiForums mobile app
Yaliyotokea huko mbele ni ya kusikitisha, kufurahisha na hata kutia moyo.
Maisha sivyo unavyopenda kuyachukulia, na wanawake wana akili ya ziada kuliko sisi wanaume.
 
kuna mada zikiletwa hapa wanaume wote mioyo inapoaaa, wanageuka washauri wazuri, wanakua kama walokole flani hivi, nahisi hadi pmb husinyaa kama nyanya mbovu , yani kichwani kwangu huwa nawaona kama kifaranga cha kuku kilichonyeshewa na mvua.....ikiletwa mada ya kugonga mke wa mtu.
Habun we huwa unawaonaje???🙄
 
kuna mada zikiletwa hapa wanaume wote mioyo inapoaaa, wanageuka washauri wazuri, wanakua kama walokole flani hivi, nahisi hadi pmb husinyaa kama nyanya mbovu , yani kichwani kwangu huwa nawaona kama kifaranga cha kuku kilichonyeshewa na mvua.....ikiletwa mada ya kugonga mke wa mtu.
Habun we huwa unawaonaje???🙄
Yaani wewe dada ndo unajua.
Wanaume wengi hawajui kuwa kimaisha wanawake huwa wanafikiria mbali zaidi na kupima mambo mengi zaidi.
Na ndiyo essence ya hii stori.
 
kuna mada zikiletwa hapa wanaume wote mioyo inapoaaa, wanageuka washauri wazuri, wanakua kama walokole flani hivi, nahisi hadi pmb husinyaa kama nyanya mbovu , yani kichwani kwangu huwa nawaona kama kifaranga cha kuku kilichonyeshewa na mvua.....ikiletwa mada ya kugonga mke wa mtu.
Habun we huwa unawaonaje???
Hahaaaaaa... Kuna comment zinachekesha mno. Sasa wewe Evelyn Salt umefikiria nini
 
Hahaaaaaa... Kuna comment zinachekesha mno. Sasa wewe Evelyn Salt umefikiria nini
hahahha pitia thread za mwanaume kugonga mke mtu, yani wanaume wanakua wametangaziwa msiba, wanaume wanashusha waraka wa mitume, ila ngoja meza ipinduke mme wa mtu agonge utasikia....piga mbususu ya bure, acha uzembe kula papuchi hiyo.... maneeenah!!!
 
hahahha pitia thread za mwanaume kugonga mke mtu, yani wanaume wanakua wametangaziwa msiba, wanaume wanashusha waraka wa mitume, ila ngoja meza ipinduke mme wa mtu agonge utasikia....piga mbususu ya bure, acha uzembe kula papuchi hiyo.... maneeenah!!!
Bado ni yaleyale! Uzinzi hauna justification..

Sent from my SM-J105H using JamiiForums mobile app
 
Huko kote ni mbali sana. Yeye ni mume wa mtu wa ndoa; kwa huyo dada alikuwa anatafuta nini whether ameolewa or not? Unless dini yake iwe inamruhusu wake wengi, so alitaka kuongeza mke.
Bona siku hizi hofu ya mungu na neno lake hamna au haiko, mtu amekwambia ni mke wa mtu, kusikia hayo tu, ungepiga STOP,ufahamu upandacho ndicho unavuna period, pale huyu mke wa mtu alikuambia hilo ungemwambia asante wa kuwa mkweli kuazia leo sisi ni marafiki tu, hakuna zaidi, haijalishi hana mtoto , mume hazai au hili au kile, ni mke wa MTU. ungempa ushauri kaa hi hivyo muadapt mtoto, yeye na mume wake au umuachie maamuzi, lakini story za awe mpenzi zingeoshia hapo.mimi hata binti akiniambia ako na boyfreand , story mimi nasimalizia hapo, bona mabinti warembo wa kutupa wamejaa, bona niende kuharibu ndoa ya mtu, na nivuje amri ya mungu, NOT ME PLS
 
Kwa kweli nimekula somo, usicheze na mwanamke aliyedhamirua yake!
Kuna ndugu yangu mmoja nae namuona kabisa anavoelekea kupigwa na kitu kizito kichwani....ana maisha ya amani na mkewe, kuna gubegube mmoja waliachana wakiwa na mtoto, yule dada karudi tena Mimi wifi mtu nilishapewa alert " huyo mke akae atulie kakako ni mme wangu" sasa broo anarembuliwa anadhani kuna mapenzi ngoja aoneshwe rangi.....
 
Back
Top Bottom