Ushauri wenu, dunia naona mviringo!

Ndio mana Matako yako meusi kama pua ya job.....
 
Wanakuwa utafikiri wameshukiwa na Roho Mtakatifu; wanayajua maandiko hao hutoamini [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Eeh watu na co-parents zao sasa
 
Amekwambia amekosea njia? Na kama alikosea njia, basi angempa mkewe talaka kisha akaoe huyo ambaye yupo kwenye njia sahihi naye.

Ukitaka kuishi maisha ya ufuska kwa uhuru: usioe wala kuolewa. Ndoa ni Agano linalofaa kuheshimiwa
Kwani ndoa ndo kifungo cha kufanya uishi kwa tabu na kukosa furaha maisha yako yote?

Ukikosea njia kwani vibaya kurudi na kutafuta njia nyingine iliyosahihi.?
 
Teh nakuelewa Mwenyekiti. Ila Necha tu isiwapitie wake zao.
necha katibu necha [emoji849]
ujue sisi wanaume tulivoumbwa ni tofauti na nyie wanawake, necha yetu ni watu wa kutoridhika na mwanamke mmoja ndivyo tulivoumbwa mfano....mwamba wetu Suleiman alikua na wake wengi pia, sijui unanielewa!!!!
 
Tatzo una andika vitu ili uteke attentions za watu.
Ebu andika mambo yote yaliyotokea ili iwe rahis kujua unashauri juu ya kitu gan
 
necha katibu necha 🙄
ujue sisi wanaume tulivoumbwa ni tofauti na nyie wanawake, necha yetu ni watu wa kutoridhika na mwanamke mmoja ndivyo tulivoumbwa mfano....mwamba wetu Suleiman alikua na wake wengi pia, sijui unanielewa!!!!
Eeh ni necha jamani hata mtume nae alikuwa na wake 700 na masuria 300 (michepuko) kwahio ni swala la nature tu
 
Free papuchi unaiachaje sasa lazma urare nayo mberee😅😅😅
 
Wamekutana pwagu na pwaguzi. Na kila siku tunawasema singo mommas hawana misimamo; sasa sijui hao singo daddies wanaopasha viporo na wazazi wenzao ndiyo wana misimamo? Kuna watu wana allergy na amani; ngoja tusubiri hilo la Hiroshima sisi
yule dada yupo kwa ajili ya revenge ya kuachwa, na anaona ile nafasi ni yake kabisa....asipojibebesha mimba nyingine sijui tu, ndugu yangu anaenda kupigwa la Hiroshima
 
Wanawake wa siku hizi wa ajabu sana, mwanaume ndio aliumbwa kutawala hivo kuwa na wanawake wengi ndio alama ya kutawala....😁
Wanawake wa sikuhizi nyie sindio mmegeuka wajuba mnatupiga sound mtupe mbunye 😅
 
Tatizo wanawake wa siku hizi hawataki kuwa kama mama zao na bibi zao. Tuwaache wamuenzi role model wao Mfalme Suleiman
Wanawake wa siku hizi wa ajabu sana, mwanaume ndio aliumbwa kutawala hivo kuwa na wanawake wengi ndio alama ya kutawala....[emoji16]
 
Gari limeshakubali kuwaka,wewe ingiza tu gia ushauri wa Nini tena?!.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…