Ushauri wangu, Wananchi wasipojitokeza kuandamana 29th October

Ushauri wangu, Wananchi wasipojitokeza kuandamana 29th October

thegreat1510

JF-Expert Member
Joined
Mar 2, 2021
Posts
1,433
Reaction score
3,791
Kuna kila dalili huenda wakajitokeza wachache wakakamatwa au wasijitokeze kabisa.

Baada ya 29th October itakuwa wakati mzuri wa wanaharakati wa Tanzania kukata tamaa.

Watanzania inabidi waachwe kwenye mateso na changamoto ambazo zitaamsha akili zao bila kuwepo yeyote wa kuwasemea.

Idadi ya watanzania wajinga bado ni kubwa sana, hata wale wanaoelewa mambo ni waoga, hii inarudisha nyuma jitihada zozote za kuikomboa nchi.
 
Kupiga kura tu kwenyewe safari hii ni mtiti! Wanahamasishana ccm wenyewe wakisaidiwa na vile vyama shikizi vinavyoshiriki uchaguzi na baadhi ya viongozi wa dini na mila. Kama kuhamasisha kupiga kura ni mtiti sembuse kutoka kuandamana?
 
Watanzania wengi wamelizika na maisha yao.
Ili mradi mtu anapata pesa ya kula, na kiakiba kidogo.
Akishashabikia simba na yanga, au bongofleva,
Mwingine akishaenda kwenye nyumba za ibada akapewa matumaini
Maisha ndio yameisha hapo.

Hawa watu kushituka usingizini ni mpka hali iwe mbaya sana.
 
Kuna wananchi hawataenda kupiga kura wala hawatajitokeza kuandamana japokuwa wapo upande wa kuandamana. Huu upande wa kuandamana una watu wengi ila hawatajitokeza!
 
Kuna kila dalili huenda wakajitokeza wachache wakakamatwa au wasijitokeze kabisa.

Baada ya 29th October itakuwa wakati mzuri wa wanaharakati wa Tanzania kukata tamaa.

Watanzania inabidi waachwe kwenye mateso na changamoto ambazo zitaamsha akili zao bila kuwepo yeyote wa kuwasemea.

Idadi ya watanzania wajinga bado ni kubwa sana, hata wale wanaoelewa mambo ni waoga, hii inarudisha nyuma jitihada zozote za kuikomboa nchi.

..watu hawatajitokeza kwenye kupiga kura, wala kuandamana.

..wasimamizi wa kura wapite nyumba kwa nyumba kuhakikisha wananchi wanapiga kura.
 
Mbona kama umeshakata tamaa kwamba hawatajitokeza....mimi nitakuwa live insta, jf na twita nikifuatilia kwa ukaribu
1000058037.jpg
 
Kuna wananchi hawataenda kupiga kura wala hawatajitokeza kuandamana japokuwa wapo upande wa kuandamana. Huu upande wa kuandamana una watu wengi ila hawatajitokeza!

..shida haiko kwenye kuandamana

..shida iko kwenye kujitokeza kupiga kura.

..ilani na mgombea wamekosa mvuto.

..kila mtu kapanik anabembeleza watu wakapige kura bila kuwashawishi kwanini.
 
..shida haiko kwenye kuandamana

..shida iko kwenye kujitokeza kupiga kura.

..ilani na mgombea wamekosa mvuto.

..kila mtu kapanik anabembeleza watu wakapige kura bila kuwashawishi kwanini.
ishu hasa ndiyo hiyo ya kujitokeza, huu umati mkubwa unaojitokeza kujaza mikutano ya kampeni nchi nzima kama watajitokeza kupiga kura basi CCM haina haja ya kuhimiza wananchi wajitokeze kupiga kura maana tayari ina kura milioni 13 za wanachama wake, ukichanganya na hawa wanaojaza viwanja watasogea mpaka milioni 20. Milioni 40 hata wasipopiga kura CCM itatangazwa kushinda.
 
Kuna kila dalili huenda wakajitokeza wachache wakakamatwa au wasijitokeze kabisa.

Baada ya 29th October itakuwa wakati mzuri wa wanaharakati wa Tanzania kukata tamaa.

Watanzania inabidi waachwe kwenye mateso na changamoto ambazo zitaamsha akili zao bila kuwepo yeyote wa kuwasemea.

Idadi ya watanzania wajinga bado ni kubwa sana, hata wale wanaoelewa mambo ni waoga, hii inarudisha nyuma jitihada zozote za kuikomboa nchi.
Umetumwa kuleta proganda zilishindwa
 
Back
Top Bottom