Ushauri wangu kwako Tundu Lissu

Ushauri wangu kwako Tundu Lissu

Usiweke hitimisho kwa mwanadamu mwenye utashi, juzi tu tulikua tunasema hivi hivi kwa mbowe ! Lakini leo hii ndie mtu mbaya katika upinzani kuliko wote inavyo semekana.
Kwa lissu naweka hitimisho mkuu, huyo na Mnyika ndio pekee nawaamini. Wako principled sana na upinzani na hilo lipo wazi sana.

Mbowe alikua haaminiki tokea issue ya Lowassa 2015 na alikua moderate sana so sio kweli alikua anaaminika kihivyo.
 
Salaamu kwako Lissu&waTanzania
kwa ujumla.
Ninao ushauri mdogo kwako
ndugu A.T.Lissu.
Ninajua,unaijua Tanzania,
Na unawajua watanzania walivyo.

Mosi.
Watanzania kwa asili tu,ni wanafki&wabinafsi.
(Katika hili utafiti uliwahi kufanyika,na waTZ wakaongoza duniani)

Pili
Unaowapigania,hajui unachokipigania.
Hivyo,unajitesa bure&kutesa familia yako.
Wenzako wanawaza ngono,pombe,wanawake,
starehe,kupiga pesa&kupambania watoto wao.
Hicho unachokipigania inawezekana ni maslahi yako,siyo yao.

Tatu
Hii ndiyo Tanzania ambayo watanzania wanaitaka.
Kama ni ubaya,wanafanyiana
wao kwa wao,wanaibiana wao
kwa wao n.k.
Ni furaha ya mtu kuona wengine wakitaabika.
Furaha ya tajiri,ni kuwepo
kwa maskini,furaha ya shibe ni awepo mwenye njaa.
Ukibisha,waulize wenye njaa,wamekuwaje walipopata chakula,vyeo n.k.
Hii ndiyo TZ wanayoitaka wenyewe.

Nne
Umekuwa gerezani,muda sasa.
WaTZ wameishia kubweka&kuufyata mkia.
Bado una Imani nao?

Tano
Uzalendo huanzia nyumbani
Kuwa mzalendo na familia yako,mke na watoto wako.
Patana na serikali,nenda zako ulaya kaishi na familia yako.
Saidia na ndugu zako.
Wewe siyo Mungu,waTZ waachie Mungu aliyewaumba.
Kama kweli wanateseka,
yeye ataona cha kufanya.

Ni ushauri tu.
Let the man pursue his calling. Hakuna ukombozi ambao umewahi kuletwa na wananchi wote.

Kina Nyerere, Mandela na wapigania uhuru wengine wangekuwa intellectually bankrupt kama wewe, Africa ingekuwa bado iko chini ya wakoloni wa kizungu!
 
Usiweke hitimisho kwa mwanadamu mwenye utashi, juzi tu tulikua tunasema hivi hivi kwa mbowe ! Lakini leo hii ndie mtu mbaya katika upinzani kuliko wote inavyo semekana.
Serious unamfananisha Lisu na Mbowe? Huyo Mbowe ni mara ngapi ameshutumiwa kuhusu utata wake kwenye pesa hata na wanacdm wenzake?
 
Kwa lissu naweka hitimisho mkuu, huyo na Mnyika ndio pekee nawaamini. Wako principled sana na upinzani na hilo lipo wazi sana.

Mbowe alikua haaminiki tokea issue ya Lowassa 2015 na alikua moderate sana so sio kweli alikua anaaminika kihivyo.
Kwenye hii issue ya lowasa lisu na uhusika wowote labda?
 
Serious unamfananisha Lisu na Mbowe? Huyo Mbowe ni mara ngapi ameshutumiwa kuhusu utata wake kwenye pesa hata na wanacdm wenzake?
Sija mfananisha bali nimeweka angalizo kwa mdau alie sema ana mwamini lisu kuliko mwana siasa yoyote ndio nikamwambia hata mbowe ile 2010-15-20 tulikua tunaimbishwa hivyo hivyo ila leo ni kinyume chake!
 
Salaamu kwako Lissu&waTanzania
kwa ujumla.
Ninao ushauri mdogo kwako
ndugu A.T.Lissu.
Ninajua,unaijua Tanzania,
Na unawajua watanzania walivyo.

Mosi.
Watanzania kwa asili tu,ni wanafki&wabinafsi.
(Katika hili utafiti uliwahi kufanyika,na waTZ wakaongoza duniani)

Pili
Unaowapigania,hajui unachokipigania.
Hivyo,unajitesa bure&kutesa familia yako.
Wenzako wanawaza ngono,pombe,wanawake,
starehe,kupiga pesa&kupambania watoto wao.
Hicho unachokipigania inawezekana ni maslahi yako,siyo yao.

Tatu
Hii ndiyo Tanzania ambayo watanzania wanaitaka.
Kama ni ubaya,wanafanyiana
wao kwa wao,wanaibiana wao
kwa wao n.k.
Ni furaha ya mtu kuona wengine wakitaabika.
Furaha ya tajiri,ni kuwepo
kwa maskini,furaha ya shibe ni awepo mwenye njaa.
Ukibisha,waulize wenye njaa,wamekuwaje walipopata chakula,vyeo n.k.
Hii ndiyo TZ wanayoitaka wenyewe.

Nne
Umekuwa gerezani,muda sasa.
WaTZ wameishia kubweka&kuufyata mkia.
Bado una Imani nao?

Tano
Uzalendo huanzia nyumbani
Kuwa mzalendo na familia yako,mke na watoto wako.
Patana na serikali,nenda zako ulaya kaishi na familia yako.
Saidia na ndugu zako.
Wewe siyo Mungu,waTZ waachie Mungu aliyewaumba.
Kama kweli wanateseka,
yeye ataona cha kufanya.

Ni ushauri tu.
Kama watanzania hatuelewi Lisu anapigania nini, kwanini hadi leo yuko magereza? Kesi si ingekuwa imeshafutwa maana watanzania hawamuelewi? Uzuri Lisu anajua tabia za Watanzania ila ameamua kufikisha mwisho wa huu ukondoo. Yaani kwa maneno marahisi Lisu angetaka hayo maisha unayotaka ayaishi, angeshayapata muda sana.
 
Sija mfananisha bali nimeweka angalizo kwa mdau alie sema ana mwamini lisu kuliko mwana siasa yoyote ndio nikamwambia hata mbowe ile 2010-15-20 tulikua tunaimbishwa hivyo hivyo ila leo ni kinyume chake!
Kwa taarifa yako watu hawakuwa na imani na Mbowe, bali ndio alikuwa mwenyekiti. Watu walikuwa ni imani na Dr. Slaa sio Mbowe. Usichanganye imani ya watu na cheo alichokuwa nacho Mbowe. Huyo aliyesema ana imani na Lisu, ni kwa uhalisia uliopo sasa, sasa ataamua kubadilika hataendelea kumuamini. Una ushauri mwingine boss?
 
Mageuzi na upiganiaji haki haufanywi na mamilion ya watu.... Ni wenye akili 5 tu!! , afu watu hawafundishwi kupigania haki ni asili ya mtu!. We unafikiri TL hatujui wtz?, unafikiri anafanya jambo asilolijua?.
Wewe umefanya nini kumsaidia TL?, mapambano yanahitaji watu jasiri wasiongalia wangapi wapo nyuma yao....!!.
 
Kwa taarifa watu hawakuwa na imani na Mbowe, bali ndio alikuwa mwenyekiti. Watu walikuwa ni imani na Dr. Slaa sio Mbowe
Labda kama nilisimuliwa ila kwa vile niliona na nilikuwa mwana chama nachelea kusema unaongopea.
 
Kwa taarifa watu hawakuwa na imani na Mbowe, bali ndio alikuwa mwenyekiti. Watu walikuwa ni imani na Dr. Slaa sio Mbowe. Usichanganye imani ya watu na cheo alichokuwa nacho Mbowe. Huyo aliyesema ana imani na Lisu, ni kwa uhalisia uliopo sasa, sasa ataamua kubadilika hataendelea kumuamini. Una ushauri mwingine boss?
Tumedanganywa muda mrefu sana hadi Jan 2025
 
Nyerere na Mandela,na wangekuwa na mawazo kama haya Tanganyika na SA zisingefikia hatua.
Mungu ameumba kila mtu na hatima yake kusudi lake hapa duniani,hata wanayama tofauti kwa vipaji tofauti..kuna SIMBA na kuna FISI

SIMBA ni SIMBA hawezi kuwa FISI na FISI ni FISI hawezi kuwa MBWA.
Sio watu wote wanaweza kuwa MACHAWA sio watu wote wanajiuza utu wao kwa vipande vya pesa
sio watu wote wanaweza kumwabudu mwanadamu mwenzai na kumlamba viatu na matako mwanadamu mwenzao.

SIo kila mtu ni MNAFIKI..

Kila mtu ashinde mechi zake ,ukiamua kuwa CHAWA well and good for you not for everybody.
 
1. Mkuu kama Ulisomeshwa na Wazazi wako Jitahidi kuitumia Taaluma Yako Vizuri, Iwe faida kwa Taifa.

2. Elimu uliyoipata jitahidi Kuitendea haki Sio Upumbavu kama Unao Ufanya.

3. Sijui kama Hujui Ama Hujawasoma Yesu, Mohamed, Nyerere, Mandera, Samora nk
Ukombozi huwa Unaletwa na Mtu mmoja.

4. Kumbuka Zanzibar Matibabu ni Bure,
Tanganyika Mama zetu wajawazito wanateseka na gharama kubwa za Matibabu.

MUNGU AKUPE AKILI.
BAO LILILOKUZAA BORA LINGEENDA KWENYE MGOMBA TUKALA NDIZI, KULIKO WEWE MAKU
 
Salaamu kwako Lissu&waTanzania
kwa ujumla.
Ninao ushauri mdogo kwako
ndugu A.T.Lissu.
Ninajua,unaijua Tanzania,
Na unawajua watanzania walivyo.

Mosi.
Watanzania kwa asili tu,ni wanafki&wabinafsi.
(Katika hili utafiti uliwahi kufanyika,na waTZ wakaongoza duniani)

Pili
Unaowapigania,hajui unachokipigania.
Hivyo,unajitesa bure&kutesa familia yako.
Wenzako wanawaza ngono,pombe,wanawake,
starehe,kupiga pesa&kupambania watoto wao.
Hicho unachokipigania inawezekana ni maslahi yako,siyo yao.

Tatu
Hii ndiyo Tanzania ambayo watanzania wanaitaka.
Kama ni ubaya,wanafanyiana
wao kwa wao,wanaibiana wao
kwa wao n.k.
Ni furaha ya mtu kuona wengine wakitaabika.
Furaha ya tajiri,ni kuwepo
kwa maskini,furaha ya shibe ni awepo mwenye njaa.
Ukibisha,waulize wenye njaa,wamekuwaje walipopata chakula,vyeo n.k.
Hii ndiyo TZ wanayoitaka wenyewe.

Nne
Umekuwa gerezani,muda sasa.
WaTZ wameishia kubweka&kuufyata mkia.
Bado una Imani nao?

Tano
Uzalendo huanzia nyumbani
Kuwa mzalendo na familia yako,mke na watoto wako.
Patana na serikali,nenda zako ulaya kaishi na familia yako.
Saidia na ndugu zako.
Wewe siyo Mungu,waTZ waachie Mungu aliyewaumba.
Kama kweli wanateseka,
yeye ataona cha kufanya.

Ni ushauri tu.
Duh 🙄 !
 
Mkuu hata mimi huwa nawaza ni kwanini ameamua kuteseka kwa ajili ya watu wasiojitambua.

Ila katika hii dunia lazima watu kama Lissu wawepo tu hata kama hupendi. Hata katika harakati za kupigania uhuru kuna waliokuwa na mawazo kama yako.

Kuna watu hawawezi kuwa na amani kwa kuwa na furaha binafsi ya muda mfupi, hupenda kuwe na mabadiliko yatakayowanufaisha wengi kwa muda mrefu.
 
Lissu hakua decision maker so asingeweza kataa ila kwa sasa ni mwenyekiti unadhani kuna fisadi wa CCM anaweza kuja chadema na kupewa urais? Hata Mnyika alikua wazi kuwa aliumia sana ila tu hakuwa na namna akasusa tu mpaka alipo heal.
Bro tusiongee sana mwana siasa ni mwana siasa tu kesho anaweza kugeuka hadi ukashindwa kushangaa, ona Yeriko na msigwa , juzi ile unadhani mtazamo unao waonannao leo ingewezekana?
 
Back
Top Bottom