Ushauri wangu kwako Tundu Lissu

Ushauri wangu kwako Tundu Lissu

Watanganyika wapumbavu sasa hivi mkombozi wao eti tapeli Gwajima.
Aiseee Tanzania kuna watu wajinga sana.
Mtu kapiga pesa za CCM baada ya kuona Dili lake la u president limebumba leo kawa mpinzani wa Rais na Watanganyika wanamwona shujaa
Hii id mi ileile iliyokuwa inaweia mguu miaka kadhaa nyuma au hii ni nyingine?
 
Lissu ni agent wa CIA mchongo wake umesanuka acha aozee selo
Fedhuli kikwete ameshikwa na tumbo la uharo, majumba, biashara na mapesa yake aliyotuibia na kuficha huko US wanataka kumpokonya vyote. Lissu amewashika pabaya Wajinga ninyi.
 
Back
Top Bottom