Ninachofahamu mimi, hapo sio suala la heshima tu, ni zaidi ya hapo. Na ukweli Lema akifuata ushauri kama huu hawezi kuongoza wananchi wake kwa mafanikio, Gambo ameletwa Arusha kwa mkakati maalum, na yeye Gambo haamini katika heshima, anaamini katika uhuni! Mwacheni Lema, anajua anachokifanya!Ndugu yangu Chabusalu, hapo umekosea, heshima wananchi wa Arusha kwa Mheshimiwa Lema haiwezi kushushwa na Mhe. Gambo kwa kutotambua mchango wa Mhe. Lema. Ninajua Mheshimiwa Lema amekosea, tena sana katika hili.
Mfano wako hauingii katika mkakati unaofanywa na Gambo dhidi ya ubunge wa Lema, Gambo hata kama hana IQ lakini anatumika kumvuruga Lema kwa maslahi ya CCM, kumuunga mkono Lema haiwezi kuwa ni ufinyu wa mawazo, pengine kama unapenda kutumia lugha hiyo ungeigeuza kwa Gambo!Hii ni sawa na kichaa amekukuta unaoga akachukua nguo zako nawe ukatoka uchi wa mnyama kumfukuza huyo kichaa ili umnyang'anye nguo zako. Lazima wewe ndiye utaonekana ni kichaa. Kwa muungwana chuchumaa tafuta mbinu mbadala.
Mh Lema alichokifanya ni ujinga+ na hata wanaomuunga mkono fikra zao ni finyu+
nadhani pale utatuzi haukufikiwa
sawa kabisa. ukimfukuza chizi ukiwa uchi we ndo unaonekana chiziHii ni sawa na kichaa amekukuta unaoga akachukua nguo zako nawe ukatoka uchi wa mnyama kumfukuza huyo kichaa ili umnyang'anye nguo zako. Lazima wewe ndiye utaonekana ni kichaa. Kwa muungwana chuchumaa tafuta mbinu mbadala.
Mh Lema alichokifanya ni ujinga+ na hata wanaomuunga mkono fikra zao ni finyu+
Kwa jinsi yeyote ile, ulipata daraja la tano (5) kidato cha nne.Uongozi ni busara, hekima, uvumilivu, staha na maarifa.
Awali ya yote niseme tuu kuwa si lengo langu kujikita kwenye mzizi wa tatizo la ugomvi kati ya RC Gambo na Mh. Lema, hatahivyo, nachukua fursa hii kuongelea mtafaruku uliotokea juzi kwenye uzinduzi wa zahanati ya mama na mtot jijini Arusha.
Mengi yamesemwa ila kwa bahati mbaya naona shutuma nyingi zikielekezwa kwa RC Gambo. Kwa maoni yangu hata kama RC Gambo alikuwa ndio chanzo lakini Mh. Lema amekosea sana. Ngoja nifafanue;-
Jambo la kumpongeza mtu ni jambo la kiungwana tuu ila sio kitu cha lazima na sio kosa wala dhambi. Kwa jinsi nionavyo mimi, ugomvi ule wa juzi ulitokana na kitendo cha RC Gambo kutokumtambua Lema (kwa jina lake binafsi) kama mdau muhimu katika ufanikishaji wa mradi huo.
Pia kitendo cha RC Gambo kutoa historia isiyo sahihi (kwa mujibu wa Lema na wenzake).
Mosi, ni kwele kiongozi anaweza akakosea kutoa taarifa flani, hii inaweza ikawa kwa bahati mbaya au kwa makusudi. Inapotokea hali kama hiyo, nini unapaswa kufanya? Je, Lema alichukua njia sahihi na stahiki?
Pili, mchakato ule kwa nielewavyo mimi haukufanywa na Lema kama Lema bali ulifanywa na watu mbalimbali wakiwa kama taasisi, yaani Arusha Development Fund (ArDF).
Sasa ni kwanini Lema apige kelele kuwa amefanya kazi usiku na mchana na iweje asitambuliwe, yaani yeye kwa jina lake ilihali RC Gambo alishatambua mchango mkubwa wa ArDF kwenye mafanikio ya mradi? Lema ameonesha ubinafsi ama kwa lugha nyingine yeye ndio alikuwa anafanya siasa kwenye jambo lisilo la kisiasa.
Tatu, taifa limepata aibu na hali ile unauweka mradi kwenye wakati mbaya. SWALI; N i nani aliyesababisha hali hiyo? N RC Gambo kwa kushindwa kumtambua Lema kwa jina lake binafsi au Mh. Lema aliyepaza sauti na kuleta taharuki kwa sababu jina lake halijatajwa.
Mimi naona Mh. Lema ndio alikosea kufanya vurugu zile mbele za wageni kwani kama ni kweli ana uchungu na watu wa Arusha angetulia kwani shughuli ilikuwa inaenda vizuri halafu baadae akatengeneza mazingira ya kuongea ukweli.
Kupayuka na kupiga kelele mbele za wageni ambae kwa mujibu wa Lema wanaujua ukweli kuwa yeye ndio aliwatafuta kulikuwa hakuna maana yoyote bali ni kulidhalilisha taifa na kujidhalilisha yeye binafsi.
Gambo angekataa kufungua hapo sawa ila kiongozi amekuja, amewashukuru wadau sasa yeye ilikuwaje apige kelele kama sio uhuni na utoto wa kutaka sifa rahisi?
Tatizo letu Watanzania tunalichukulia hili jambo kiushabiki CCM vs CDM. Kwa mtazamo huo tutafeli na mimi sasa simshangai tena Mh. Lema bali nawashangaa wale wanaounga mkono kitendo chake kiovu.
Mpuuzi kweli wewe. Mbona alimtambua mawalla?Uongozi ni busara, hekima, uvumilivu, staha na maarifa.
Awali ya yote niseme tuu kuwa si lengo langu kujikita kwenye mzizi wa tatizo la ugomvi kati ya RC Gambo na Mh. Lema, hatahivyo, nachukua fursa hii kuongelea mtafaruku uliotokea juzi kwenye uzinduzi wa zahanati ya mama na mtot jijini Arusha.
Mengi yamesemwa ila kwa bahati mbaya naona shutuma nyingi zikielekezwa kwa RC Gambo. Kwa maoni yangu hata kama RC Gambo alikuwa ndio chanzo lakini Mh. Lema amekosea sana. Ngoja nifafanue;-
Jambo la kumpongeza mtu ni jambo la kiungwana tuu ila sio kitu cha lazima na sio kosa wala dhambi. Kwa jinsi nionavyo mimi, ugomvi ule wa juzi ulitokana na kitendo cha RC Gambo kutokumtambua Lema (kwa jina lake binafsi) kama mdau muhimu katika ufanikishaji wa mradi huo.
Pia kitendo cha RC Gambo kutoa historia isiyo sahihi (kwa mujibu wa Lema na wenzake).
Mosi, ni kwele kiongozi anaweza akakosea kutoa taarifa flani, hii inaweza ikawa kwa bahati mbaya au kwa makusudi. Inapotokea hali kama hiyo, nini unapaswa kufanya? Je, Lema alichukua njia sahihi na stahiki?
Pili, mchakato ule kwa nielewavyo mimi haukufanywa na Lema kama Lema bali ulifanywa na watu mbalimbali wakiwa kama taasisi, yaani Arusha Development Fund (ArDF).
Sasa ni kwanini Lema apige kelele kuwa amefanya kazi usiku na mchana na iweje asitambuliwe, yaani yeye kwa jina lake ilihali RC Gambo alishatambua mchango mkubwa wa ArDF kwenye mafanikio ya mradi? Lema ameonesha ubinafsi ama kwa lugha nyingine yeye ndio alikuwa anafanya siasa kwenye jambo lisilo la kisiasa.
Tatu, taifa limepata aibu na hali ile unauweka mradi kwenye wakati mbaya. SWALI; N i nani aliyesababisha hali hiyo? N RC Gambo kwa kushindwa kumtambua Lema kwa jina lake binafsi au Mh. Lema aliyepaza sauti na kuleta taharuki kwa sababu jina lake halijatajwa.
Mimi naona Mh. Lema ndio alikosea kufanya vurugu zile mbele za wageni kwani kama ni kweli ana uchungu na watu wa Arusha angetulia kwani shughuli ilikuwa inaenda vizuri halafu baadae akatengeneza mazingira ya kuongea ukweli.
Kupayuka na kupiga kelele mbele za wageni ambae kwa mujibu wa Lema wanaujua ukweli kuwa yeye ndio aliwatafuta kulikuwa hakuna maana yoyote bali ni kulidhalilisha taifa na kujidhalilisha yeye binafsi.
Gambo angekataa kufungua hapo sawa ila kiongozi amekuja, amewashukuru wadau sasa yeye ilikuwaje apige kelele kama sio uhuni na utoto wa kutaka sifa rahisi?
Tatizo letu Watanzania tunalichukulia hili jambo kiushabiki CCM vs CDM. Kwa mtazamo huo tutafeli na mimi sasa simshangai tena Mh. Lema bali nawashangaa wale wanaounga mkono kitendo chake kiovu.
hilo la upuuzi ni la kwako labda ufupi wa akili yako ndio umekufanya unione mm mpuuzi labda akili ingekuwa kidogo ungeona nikisema kumtambua mtu ni jambo la kiungwana ila sio lazima na si dhambiMpuuzi kweli wewe. Mbona alimtambua mawalla?
Whatever u say... truth will always remain intactKwa jinsi yeyote ile, ulipata daraja la tano (5) kidato cha nne.
Yeah, the truth that you scored div. 5, that has to be said!Whatever u say... truth will always remain intact
Haiondoi wewe kuwa mpuuzi. Unaangalia unapoangukia badala ya kisiki ulichojikwaa.hilo la upuuzi ni la kwako labda ufupi wa akili yako ndio umekufanya unione mm mpuuzi labda akili ingekuwa kidogo ungeona nikisema kumtambua mtu ni jambo la kiungwana ila sio lazima na si dhambi