Ushauri wa Zitto kwa Lema na RC Gambo

Ushauri wa Zitto kwa Lema na RC Gambo

mcubic

JF-Expert Member
Joined
Mar 3, 2011
Posts
10,310
Reaction score
6,548
Nakasirishwa sana kuona viongozi vijana wanafanya mambo ya hovyo. Mkuu wa mkoa wa Arusha mdogo wangu Mrisho Gambo una dhamana zaidi kwa vijana. Mnapofanya mambo ya kijinga mnaharibu nafasi ya vijana kuaminiwa zaidi. Kaa na Mbunge Godbless Lema mnywe kahawa pale New Arusha na muanze upya. Ndugu yangu Lema nashauri punguza munkari. Juhudi zako Arusha haziwezi kufutika kirahisi. Nakushauri kaa chini na Mkuu wa Mkoa wako mpige mstari muanze Kazi upya kwa pamoja. Viongozi jiepusheni kuonyesha hasira zenu hadharani. Sio hekima.
 
Mkuu Zitto hivi unashushaje "munkari" kwa mtu aina ya Gambo?RC mwenye kisasi na fitina kila wakati??

Ni bahati mbaya watu wengi wanaliona hili tukio ktk "clip" ya vipande vipande.Bwana mdogo Gambo hakufanya uungwana toka mwanzo;alialikwa lkn hakutaka kuja kwa sharti la Lema kutokutakiwa kuwepo yeye atakapokuwapo.Hata alipofika mesa kuu;alitoa mkono kwa watu lkn akamruka Lema.Hii ilikuwa "indicator" tosha kuwa RC kaja kwa shari.Mkuu wakati mwingine mbwai mbwai tu...kama mtu ana madaraka na jeshi la kukuweka ndani,basi wewe uwe na ujasiri na uthubutu wa kuukemea uonevu;hata kama huwezi kumpiga mtu;basi hata mchukie na kumkaripia tu...hii ndio silaha iliyobaki lwa Lema.

Jitihada zikafanyika kwa kumpigia katibu mkuu kiongozi;akiwa kama sehemu ya mamlaka ya juu ya RC atumie nafasi yake kumshawishi mkuu wa mkoa kufika ili pawepo na uwakilishi wa kiserikali katika jambo la heri kama lile;baada ya kutakiwa na "watu wa juu" kufika bado Gambo alichelewa sana eneo la tukio;na hata alipofika aliamuru MC asimpe Lema nafasi ya kuongea na akataka yeye ndio aanze kuongea ili kuuwa protocol,na kwa sabb ya itifaki,angeongea yeye kulikuwa hakuna "room" tena ya Lema kuongea na upotoshaji ule ungemea kama mmea kandokando ya kijito.

Ili kuweka historia sawa,Lema ilibidi aseme palepale,maana hata hao wafadhili huyo Gambo hawamjui,mkataba uliingiwa na Lema wakati Gambo akiwa Korogwe akimtukana Mwanasheria wa Wilaya ya Korogwe kuwa ana degree ya chupi.Hao Maternity hawamjui Gambo kwa sbb wakati wanaleta ramani ya hospitali ya Mama na Mtoto pale Arusha,Gambo alikuwa kwenye kizimba cha Tume ya Maadili ya Utumishi wa Umma akijibu mashitaka yake ya kukiuka taratibu za utumishi wa Umma.

Ukiwa hujawahi kukaa katikati ya siasa za Upinzani Afrika utamuona Lema "Chizi".Lkn ule ndio upinzani wa Afrika,lazima uwe chizi,lazima ujifyatue kudeal na watu aina ya Gambo.Vijana wasio na rekodi yoyote ya maana ktk utumishi wa umma,unatia aibu kwa kuanza kuelezea historia ya ujenzi na umiliki wa kiwanja kwa maneno ya vijiweni badala ya documents.Ile ni aibu,aibu kwa aliyemteua na anayemuacha Gambo kwenye nafasi ile mpaka sasa.

Nina milion 6.5,nikipata laki tano naweza kufunguka zaidi,kwa sasa ngoja niishie hapa,Nitafungwa;lkn Gambo aache uhuni,asijipendekeze kijinga jinga;historia itamuhukumu.Hakuna Ukuu wa Mkoa wa kudumu.
 
Hili lisipite bila mimi kutoa mawazo yangu.

reaction ya Lema haikubaliki kabisa, alichofanya Lema ni too medieval. Angesubiri jamaa amalize yake kwa heshima ya wale wageni waliokaa pale, then angewaeleza privately mustakabali wa kisiasa ulivyo.

Sioni tofauti ya mtu kufanya kituko cha ajabu mbele ya wakwe zako. say kuvua nguo
 
Hili lisipite bila mimi kutoa mawazo yangu.

reaction ya Lema haikubaliki kabisa, alichofanya Lema ni too medieval. Angesubiri jamaa amalize yake kwa heshima ya wale wageni waliokaa pale, then angewaeleza privately mustakabali wa kisiasa ulivyo.

Sioni tofauti ya mtu kufanya kituko cha ajabu mbele ya wakwe zako. say kuvua nguo
Jamii ingeelewa vipi kama gambo ameamua kuupotosha ukweli kwa makusudi?
Hebu vaa viatu vya Lema uone inauma kiasi gani
 
Mkuu Zitto hivi unashushaje "munkari" kwa mtu aina ya Gambo?RC mwenye kisasi na fitina kila wakati??

Ni bahati mbaya watu wengi wanaliona hili tukio ktk "clip" ya vipande vipande.Bwana mdogo Gambo hakufanya uungwana toka mwanzo;alialikwa lkn hakutaka kuja kwa sharti la Lema kutokutakiwa kuwepo yeye atakapokuwapo.Hata alipofika mesa kuu;alitoa mkono kwa watu lkn akamruka Lema.Hii ilikuwa "indicator" tosha kuwa RC kaja kwa shari.Mkuu wakati mwingine mbwai mbwai tu...kama mtu ana madaraka na jeshi la kukuweka ndani,basi wewe uwe na ujasiri na uthubutu wa kuukemea uonevu;hata kama huwezi kumpiga mtu;basi hata mchukie na kumkaripia tu...hii ndio silaha iliyobaki lwa Lema.

Jitihada zikafanyika kwa kumpigia katibu mkuu kiongozi;akiwa kama sehemu ya mamlaka ya juu ya RC atumie nafasi yake kumshawishi mkuu wa mkoa kufika ili pawepo na uwakilishi wa kiserikali katika jambo la heri kama lile;baada ya kutakiwa na "watu wa juu" kufika bado Gambo alichelewa sana eneo la tukio;na hata alipofika aliamuru MC asimpe Lema nafasi ya kuongea na akataka yeye ndio aanze kuongea ili kuuwa protocol,na kwa sabb ya itifaki,angeongea yeye kulikuwa hakuna "room" tena ya Lema kuongea na upotoshaji ule ungemea kama mmea kandokando ya kijito.

Ili kuweka historia sawa,Lema ilibidi aseme palepale,maana hata hao wafadhili huyo Gambo hawamjui,mkataba uliingiwa na Lema wakati Gambo akiwa Korogwe akimtukana Mwanasheria wa Wilaya ya Korogwe kuwa ana degree ya chupi.Hao Maternity hawamjui Gambo kwa sbb wakati wanaleta ramani ya hospitali ya Mama na Mtoto pale Arusha,Gambo alikuwa kwenye kizimba cha Tume ya Maadili ya Utumishi wa Umma akijibu mashitaka yake ya kukiuka taratibu za utumishi wa Umma.

Ukiwa hujawahi kukaa katikati ya siasa za Upinzani Afrika utamuona Lema "Chizi".Lkn ule ndio upinzani wa Afrika,lazima uwe chizi,lazima ujifyatue kudeal na watu aina ya Gambo.Vijana wasio na rekodi yoyote ya maana ktk utumishi wa umma,unatia aibu kwa kuanza kuelezea historia ya ujenzi na umiliki wa kiwanja kwa maneno ya vijiweni badala ya documents.Ile ni aibu,aibu kwa aliyemteua na anayemuacha Gambo kwenye nafasi ile mpaka sasa.

Nina milion 6.5,nikipata laki tano naweza kufunguka zaidi,kwa sasa ngoja niishie hapa,Nitafungwa;lkn Gambo aache uhuni,asijipendekeze kijinga jinga;historia itamuhukumu.Hakuna Ukuu wa Mkoa wa kudumu.

Well said.
Ni dhahiri shahiri huu ugomvi wa Mbunge Lema na RC Gambo unaelekea kubaya. Wakti wowote tunaweza kushuhudia kilichotokea Mwanza hivi karibuni kati ya RC na RAS kurushiana chupa za maji kwenye kikao! RC Gambo anaonekana hana maadili na hikima za kuongoza watu! Sijui hata JPM alipomteua kuwa RC alitumia vigezo gani!!

Mimi nimshauri Rais Magufuli kama anataka kazi zifanyike kwa ajili ya Maendeleo ya Arusha na Tanzania kwa ujumla,afanye 1 kati ya mambo 2. Moja, ni wakti wa kumtumbua na kutengua u-RC wa GAMBO. Kama hilo haliwezekani kwa maana kwamba Gambo bado ni lulu kwa Serikali ya CCM basi Gambo ahamishiwe Makao makuu ya TAMISEMI au IKULU na awekwe ofisi ambako hawezi kuwa anakutana na watu kila siku kama RC!

JPM amekuwa akijinasibu kuwa MAENDELEO HAYANA VYAMA, sasa kama Mkuu wa mkoa anataka kuzuia maendeleo ya kujengwa Hospitali tena ya kuhudumia kina Mama na Watoto hafai kuwa Kiongozi hata kidogo!!
 
Jamii ingeelewa vipi kama gambo ameamua kuupotosha ukweli kwa makusudi?
Hebu vaa viatu vya Lema uone inauma kiasi gani
hakuna kuuma, busara wakati mwingine ichukue nafasi yake.

kwani kama watu wanakuona ni mweupe na mtu akasema wewe ni cheusimangala utawalipukia kama alivyofanya, si utawaacha watu waone wenyewe
 
Hili lisipite bila mimi kutoa mawazo yangu.

reaction ya Lema haikubaliki kabisa, alichofanya Lema ni too medieval. Angesubiri jamaa amalize yake kwa heshima ya wale wageni waliokaa pale, then angewaeleza privately mustakabali wa kisiasa ulivyo.

Sioni tofauti ya mtu kufanya kituko cha ajabu mbele ya wakwe zako. say kuvua nguo


Bora Lema kamchana Kama mbwai mbwai tu
 
Hili lisipite bila mimi kutoa mawazo yangu.

reaction ya Lema haikubaliki kabisa, alichofanya Lema ni too medieval. Angesubiri jamaa amalize yake kwa heshima ya wale wageni waliokaa pale, then angewaeleza privately mustakabali wa kisiasa ulivyo.

Sioni tofauti ya mtu kufanya kituko cha ajabu mbele ya wakwe zako. say kuvua nguo
Huzijui siasa za Arusha, wala hujui mkakati wa CCM dhidi ya Arusha. Una hekima lakini huwezi kutumia hekima hiyo kwa kinachofanywa na Gambo! Na ukweli reaction ya Lema iko pouwa, na ndio pekee itakayoisaidia nchi katika mazingira ya sasa. Hekima hupelekwa kwa wenye hekima!
 
Wote wamefanya ujinga, mnaweza kupigana madongo kisiasa bila kutoka kwenye ajenda kubwa ya siku ambayo ni hospitali.
 
Siasa nzuri zilete maendeleo. Siasa chafu/za maji taka zisiruhusiwe katika kukwaza fursa za maendeleo.

Ukizingatia kuwa huo ni mradi wa afya. Anayemkataa mwingine, anakataa huduma kuwagikia wananchi/wanufaika.

Swali. Kulikuwa na haja gani ya kuibuka mvutano?
 
Busara ya aina gani, kwa mfano?
kuna aina ngapi za busara?

busara ni moja tu.

wangetafutana baada ya tukio,ila mbele za watu ni kuonesha tabia mbaya.
au
Lema angesimama akauliza kwa ustaarabu,mbona unapindisha mambo mkuu??.

yeye akasimama kupinga na mwenzie akampinga,basi wakawa wanapingana!!!
 
Nakasirishwa sana kuona viongozi vijana wanafanya mambo ya hovyo. Mkuu wa mkoa wa Arusha mdogo wangu Mrisho Gambo una dhamana zaidi kwa vijana. Mnapofanya mambo ya kijinga mnaharibu nafasi ya vijana kuaminiwa zaidi. Kaa na Mbunge Godbless Lema mnywe kahawa pale New Arusha na muanze upya. Ndugu yangu Lema nashauri punguza munkari. Juhudi zako Arusha haziwezi kufutika kirahisi. Nakushauri kaa chini na Mkuu wa Mkoa wako mpige mstari muanze Kazi upya kwa pamoja. Viongozi jiepusheni kuonyesha hasira zenu hadharani. Sio hekima.
busara hii angekuwa nayo alipokuwa Chadema ingesaidia kuufanya upinzani uwe imara zaidi. badala ya kuwa kirusi ndani ya chama, angekaa kunywa kahawa na Mbowe, Mnyika, etal kuweka sawa mamba.

otherwise, ni zilonga mbali zitenda mbali!
 
Back
Top Bottom