Ni Kweli na ni wengi sanaBasi kuna wenzako bila kupigwa mziki na sherehe ikafanyika hawaoni km wameolewa
✍️
Acha tu ameshapatikana sema anaringaUtapata wakufanana naye
😂😂😂Utapata wakufanana naye
Na wewe ukiwemo au unajitoaNi Kweli na ni wengi sana
Hujakamatima wewe, tema mate chini🤣🤣Of all the things ni kupelekeshwa ndio sipendagi😀
Hapo ni kamzozo madamMie naamini wanawake wa hivyo wapo sana
Acha tu ameshapatikana sema anaringa
😂😂😂Hatar sanaMTU anajiogopa.😂😂😂
Yaani hataki MTU anayefanana naye. Dunia inamambo Sana
Ningekuwa jamaa ningewaacha na masikitiko sana, nisingeangalia nimetoa posa au la, ningetokomea tu pasipojulikana.Ila wanaume acha tuitwe wanaume kuna sister yangu mmoja alikua anampelekesha jamaa yake kipindi jamaa kashatoa posa mahari kalipa mipango ya ndoa inaendelea sasa masuala ya sherehe ndio akaanza kumpelekesha yaan hadi nikasema wanawake hawa basi tu sijui wanawazaga nini,
✍️
Nimesema wengi na Mimi humohumoNa wewe ukiwemo au unajitoa
✍️
Kama enzi za kutokuwa nayo uliendeshwa na kuteswa ukizipata ndo muda wako.
Mfano, mwananke anasema anasafiri kwenda mkoani kikazi na boss wake, ukijitahidi kuuliza unaambiwa tulia bana ndo hii kazi inaleta mchango mezani, ukija kupata nawe usisafiri?
Aliyekuwa anaheshimiana inavyostahili huwezi kuwakuta huko
Tatiyo wanawake kama hao tunawapata kwa sababu tunawambato sana. Mozoni unajua anapenda shoo lakini unaona haweyi kuwa mlezi au mwalimu wa watoto wangu. Na kama mwanaume unajua kuwa kinachotuunganisha ni kitu cha kijinga.Ukipata mwanamke anayeamini katika mihangaiko yako, kazi yako, anayeamini kwenye safari yako na kuwa nawe katika hali ngumu na changamoto na anakuunga mkono, akaonyesha ushirikiano bila kufanya usaliti kwa wanaume wengine au hali yoyote mshikilie.
Wanawake wengi (siyo wote) ni vikwazo vya kihisia, kiakili na kirasilimali kwa wanaume wenye malengo mema, mazuri, makubwa na ya muda mrefu.
Nimekaa pale nasubiri povu la wanawake wenzangu![]()
Ptuh😀Hujakamatima wewe, tema mate chini🤣🤣
Hahahah mtihani sheikhTatiyo wanawake kama hao tunawapata kwa sababu tunawambato sana. Mozoni unajua anapenda shoo lakini unaona haweyi kuwa mlezi au mwalimu wa watoto wangu. Na kama mwanaume unajua kuwa kinachotuunganisha ni kitu cha kijinga.
Imeandikwa kila mtu atampata wa kufanana naye.
Kama wewe ni good boy then utampata aliye mwema
Sometimes life is not fairKwa Hiyo Uria (aliyeporwa mke na Daud), akiwa vitani, na kuishia kufa kwa kutokutaka kuacha vitu kuja kulala na mkewe kuna Mabaya alifanya mpaka hayo yote yakamkuta?
Sibiri wajeUkipata mwanamke anayeamini katika mihangaiko yako, kazi yako, anayeamini kwenye safari yako na kuwa nawe katika hali ngumu na changamoto na anakuunga mkono, akaonyesha ushirikiano bila kufanya usaliti kwa wanaume wengine au hali yoyote mshikilie.
Wanawake wengi (siyo wote) ni vikwazo vya kihisia, kiakili na kirasilimali kwa wanaume wenye malengo mema, mazuri, makubwa na ya muda mrefu.
Nimekaa pale nasubiri povu la wanawake wenzangu![]()