Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 14,970
- 35,342
Huyo ni yeye. Mwanaume akiniletea ujinga kwa kweli tusijuane. Sitaki hekaheka.
Huyo ni yeye. Mwanaume akiniletea ujinga kwa kweli tusijuane. Sitaki hekaheka.
Sa si unakuwa wa Mihangaiko mwenzio was Mapumziko.Umenena vyema ila wengi wao hawa kaka zetu wakikaa vizuri kiuchumi ndio wanaanza kutafuta wale wanaita type zao ila wale waliohangaika nao kipindi wapo majalala wanawaona washamba.
lakini pembeni unaangilia japo kidogo mara chache😂Nimebahatika kumpata mmoja katika hao wachache waliopo.
Huwa najihisi ni mmoja ya Wanaume wachache waliobarikiwa kumpata Mwanamke wa aina hiyo.
Akija kubadirika basi itakuwa tayari tumeshaingia kwenye umri wetu wa Uzee, ila kwasasa wacha niendelee kufaidi uwepo wake.
Mungu ni mwema 🙏
Wa hiv unakuta wamepigwa matukio hatari , kiufupi wamevurugwa .Nadhani Vijana mtanielewa Kwa nini hampaswi kuwathamini na kuwachukulia Serious Wanawake(wengi wapo namna Hii ya aliyeandika comment Hii)
Yote aliyoyaandika hapa, basi wafanyieni hivyo hivyo.
Ingawaje wapo Wadada Wema ambao hawapo kama huyu. Mkiwapata wapeni heshima Yao na muwapende.
WA hivi wachezeeni kisha waacheni solemba
Ushindwe ulegee hatuwezi kuliwa ovyoo kwa sababu hatujajenga makao niwewe ujenge makao kwangu ili nikupe attention mwanaume ndio baba wa familia so kama haoni namfaa basi .Nadhani Vijana mtanielewa Kwa nini hampaswi kuwathamini na kuwachukulia Serious Wanawake(wengi wapo namna Hii ya aliyeandika comment Hii)
Yote aliyoyaandika hapa, basi wafanyieni hivyo hivyo.
Ingawaje wapo Wadada Wema ambao hawapo kama huyu. Mkiwapata wapeni heshima Yao na muwapende.
WA hivi wachezeeni kisha waacheni solemba
Inategemea na mazingira yao wamekua wakiishi vipi kwa hiyo si rahisi kutaja yupi hakua makini.Ambae hakua makini hapo unaona atakuwa nani, mwanamke au mwanaume ?![]()
Mara chache sana, kwenye siku 365 za mwaka huangalia pembeni labda mara 10 tu 🤪🏃🏃🏃🏃🏃lakini pembeni unaangilia japo kidogo mara chache😂
Good very Good hujakosea napenda akili yako inawaza sharp nikweli nimepigwa matukio hadi sina maneno yakusemaWa hiv unakuta wamepigwa matukio hatari , kiufupi wamevurugwa .
Tuliopo humu ndio tupo kitaa dada yangu humu sio sayari nyingne .Ushindwe ulegee hatuwezi kuliwa ovyoo kwa sababu hatujajenga makao niwewe ujenge makao kwangu ili nikupe attention mwanaume ndio baba wa familia so kama haoni namfaa basi .
Mtu hawezi mdhamini mtu asiyemdhamini .
Sijali ukinipondea humu maana sina mpango wakuolewa na mtu humu so hilo ni wazo lako next
Ona akili zenu wanaumeSa si unakuwa wa Mihangaiko mwenzio was Mapumziko.
Kuna ubaya gani ?


Nimewanyooshea mikono juu 

hivi mzee nataka kujua,Mara chache sana, kwenye siku 365 za mwaka huangalia pembeni labda mara 10 tu 🤪🏃🏃🏃🏃🏃
Kupigwa tukio ni kawaida tu .Good very Good hujakosea napenda akili yako inawaza sharp nikweli nimepigwa matukio hadi sina maneno yakusema
Usisemeee hvooooSiku hz ht kama tuna kiapo cha damu ukianza misbehaving tu...na me natafuta namna yangu ya kujipa furaha
Maana huko bar kumejaaa waume za watu wakiwa na furaha halafu wake zao wanahaha na watoto nyumbani
Philipino na Hollywood zilishawavuruga kitambo siku hizi wanawake wanaamini TV kuliko akili zao.Ona akili zanu wanaumeNimewanyooshea mikono juu
Ndio mana wadada wengi wameona cha mno hasa, hawataki kuanza na mwanaume chini hawataki mambo kama haya
Usikwepeshe mada baba Bear. Nyie wababa muwapende wadada waliohangaika na nyie kipindi mpo juu ya mawe. Mkiwa hamna hela mnakuaga vipofu ngoja sasa mzipate.Philipino na Hollywood zilishawavuruga kitambo siku hizi wanawake wanaamini TV kuliko akili zao.
Kusema ukweli kabisa jambo hili huwa gumu kwa Wanaume wengi sana.hivi mzee nataka kujua,
inawezekana mwanaume kua mwaminifu 100% mpaka anakufa??
we umekula chumvi, uzoefu wako ukoje, umewahi kuona hii kitu??
Saivi ni muda wa mwanaume kujitolea kwangu ndio ni fuateKupigwa tukio ni kawaida tu .
Mwanamke wa hivyo kwa Dunia ya leo kumpata labda usubiri waanze kuuzwa wale wanawake wanaotengenezwa na Elon Musk.


kmmmk