Ushauri wa haraka unahitajika

Ushauri wa haraka unahitajika

Yaani kama huyo jackie ana amua kumuacha amuache ila sio kwasababu kaka yake huyo dogo ana mtaka, mtu ana mke tena na mtoto lakini bado ana endekeza ngono nje ya ndoa!!
Huyo anatakiwa kufundishwa kuwa ukioa unatakiwa kuacha michezo ya tamaa tamaa.....
Yeye apambane tu kama watakuja kuachana waachane kwa mambo mengine sio kwasababu kaka mtu alishindwa kuheshimu ndoa yake ....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asprin ndiye alikutia nuksi bwana siyo mimi.

Kaa naye mbali.
Mara hii ushamgeuka???

Vipi lkn babu mabibi zangu hawajamboo???

-casie
-mzigu
-----------
--+-+---+
.............
Hao wengine malizia
 
Mara hii ushamgeuka???

Vipi lkn babu mabibi zangu hawajamboo???

-casie
-mzigu
-----------
--+-+---+
.............
Hao wengine malizia
Lazima nimgeuke najua kabisa hawezi mfikia huyo mkwe wa avatar u-HB.

Hao wanapambana na hali zao siku hizi hata hatutafutani sijui wamekufa.
 
Lazima nimgeuke najua kabisa hawezi mfikia huyo mkwe wa avatar u-HB.

Hao wanapambana na hali zao siku hizi hata hatutafutani sijui wamekufa.
Kwani babu Huyo wa kwenye avatar humjui, mume wa mtu huyoo

wanapambana na hali zao
 
Hivi kuna wanaume wangapj duniani? Unapoteza mda wako kupigania watu wa familia moja, at the end of the day unaharibu mahusiano ya watu(familia). Go search for other men, they're plenty out there.
 
Ukweli huwasilishwa kwa hekima na Busara.

Destiny ya Jackie kama ipo kwa huyo dogo wa John itatimia tuu. John asiwe fisi kiasi hicho, akumbuke Mungu hapendi tabia yake!
 
Ili na yao yavurugike!! Sidhani kama hiyo itakua hatua nzuri maana kuvuruga ndoa/familia ya mtu sio jambo dogo!!

Huyo Mme ndio ana vuruga familia yake mwenyewe why anataka MTU mwingine wkt yuko na wa kwake tayari. Mke ajue ili aamue tu, maana hata asipojua Leo ata jua tu wakati mwingine duniani hakuna siri.
 
Matokeo ya baada ya kuelezwa ndio yanayomuwazisha bibie, kwakuwa John hayuko tayari kuadmit ukweli. Hivyo bibie anaona kama atakaangwa zaidi.
Kama huyo mdogo hawezi muamini mpenz wake amuache tu.....lla kabla hawajaachana afanye mchakato wa kumuaribia huyo mpuuzi ndoa yake ili akili imkae sawa.
 
Lazima nimgeuke najua kabisa hawezi mfikia huyo mkwe wa avatar u-HB.

Hao wanapambana na hali zao siku hizi hata hatutafutani sijui wamekufa.
Na wewe unapambana na nani?
 
Hivi kuna wanaume wangapj duniani? Unapoteza mda wako kupigania watu wa familia moja, at the end of the day unaharibu mahusiano ya watu(familia). Go search for other men, they're plenty out there.
Kumbe sio wachache tena!!!
 
Ukweli huwasilishwa kwa hekima na Busara.

Destiny ya Jackie kama ipo kwa huyo dogo wa John itatimia tuu. John asiwe fisi kiasi hicho, akumbuke Mungu hapendi tabia yake!
Amen!
 
Back
Top Bottom