Ushauri wa haraka unahitajika

Ushauri wa haraka unahitajika

hahaaha mie naiongelea hii mpya !ile nimeiweka pending ! sirudii makosa mamy sasa hv mwezi ukiisha natega mikono kbs nipewe dau langu ! huyu uzur anapiga kitu cha pepsi tena kwa nadra ! yaan hela itaonekana! anivishe mie mkewe !yaan sasa hv NO FAKE ZONE shoo !ni mwendo wa mabrand tu ! magucci sijui mann sijabahatikaha kuvaa cl nakuambia dec ninacho mguuni
Yale maziwa ya nido makubwa na ada za wanetu alishalipa?
 
Aunt espy hi miss u mnooo babu Daby hajambo.



Mi naona mdogo mtu aambiwe ukweli maisha mengine yaendelee ukizingatia kaka yke ana mke....awaachie penzi laooo
 
Ninafuraha ya kuwa penzin na wewe dear ila watu wasiojulikana wanaokumendea wananipa mawazo sana

Sent using Jamii Forums mobile app


we unamsikiliza Behaviourist na hukumbuki huu ni mwanzo wa mwezi?? na dawa inaonekana hajameza! we mwangalie kuanzia nxt week km atasumbua ! ni dawa zimeisha ! na huyu le don himsef donlucchese huyu nataka nimpe ofa ya kumpeleka club ! nimemis kias kudance mume walau nicheze' turn up' jaman!hana sumu kabisaaaaa!
 
Niliwahi kukutana na hicho kisanga, afanye km ametoa sadaka hilo penzi lake, yaani amuache mdogo wake john na asimwambie kitu chochote atapata bwana mwingine wa kumuoa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio kashindwa kupima sasa ikabidi atafute msaada zaidi.
yote ni majibu sahihi sema namshauri zaidi aangalie lipi litampa furaha yeye kama kupotezea amkose dogo ts fine kama ataamua kuwa muwazi kwa dogo pia ni sahihi aangalie vipi moyo wake utakua na amani

Madame S
 
Aunt espy hi miss u mnooo babu Daby hajambo.



Mi naona mdogo mtu aambiwe ukweli maisha mengine yaendelee ukizingatia kaka yke ana mke....awaachie penzi laooo
Matokeo ya baada ya kuelezwa ndio yanayomuwazisha bibie, kwakuwa John hayuko tayari kuadmit ukweli. Hivyo bibie anaona kama atakaangwa zaidi.
 
asante mwanamke mwemzangu kwa kuijali ndoa yangu 'mupya'! nataka nirekebishe makosa ya kulle ya kwanza !huyu ni mwendo wa kumbeba tu mgongon na alivyo mdg kiumri ah sina shida mie !yaan namlea km mwanangu wa 1! maana nimempita 22yrs !yaan kitu damu changaaaaaaaaaaaaaaaaaa

Hivi Mbiti unajua una issues wewe!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom