Ushauri wa haraka unahitajika

Ushauri wa haraka unahitajika

Huyo Mme ndio ana vuruga familia yake mwenyewe why anataka MTU mwingine wkt yuko na wa kwake tayari. Mke ajue ili aamue tu, maana hata asipojua Leo ata jua tu wakati mwingine duniani hakuna siri.
And she ll be the one to blame!!
 
Kama huyo mdogo hawezi muamini mpenz wake amuache tu.....lla kabla hawajaachana afanye mchakato wa kumuaribia huyo mpuuzi ndoa yake ili akili imkae sawa.
Ohoooooo!!
Jackie hawezi kufanya hicho kitu cha kumharibia mwenzie kwakweli, sio mtu wa visasi.
 
Siku hizi nikitoka JF kidogo nikirudi nakuta ID kibao zimeunganishwa.

Sasa unafikiri mimi mjinga naweza kuwa na kutongoza wewe kwa ID nyingine.
Id gani zimeunganishwa?
Ulikuwa unanitambulisha wifi kila wiki, now naona zhiiiiiiii!!!
 
Back
Top Bottom