Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 25,624
- 69,377
Wakachunge![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
huyu mwanafunzi hafai kwakweli,kwakweli wasukuma kuwafundisha inahitaji kipaji. Nalendwa mchukue msukuma mwenzio mkapike michembe tu kwakweli.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakachunge![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
huyu mwanafunzi hafai kwakweli,kwakweli wasukuma kuwafundisha inahitaji kipaji. Nalendwa mchukue msukuma mwenzio mkapike michembe tu kwakweli.
Eti mvuta bangi wako!!
Mimi kwakweli nitacheka sana, tajikuta naharibu badala ya kutengeneza.
Hahah!, kwa kweli. Kama mambo yenyewe haya, tukapike michembe tu...lol!
Sent using Jamii Forums mobile app
Stress mbaya unaweza zeeka kbl ya 30, km mmea unamfanya afurahi basi nimembarikihahaha aliwah niambia pm mbiti nishauri yoooooooote lakini sio mmea !siwez uacha mzuri sana ndo umenifanya nikastick had leo ! nilikua nahis maluweluwe tu hahah !ila ni mdada poa sana !
hahah hicho chakula jaman mie kilishanishinda jamen ! yan jaman uwiii ! last week nilikua kwenye familia ya wasukuma wakapika mchana na karanga za kukaanga ! hebu imagne jaman ! na nisivyoweza kushinda njaa nilichukua maharage tu ! dah mchembe haapana
Huku unammasage mapajaHahaha!, na bado hapo hujaambiwa unatakiwa kumwangalia usoni...lol!
Wasukuma mnajijua wenyewe na mapishi yenu, hayo madude sijawahi kuyaelewa kwakweli. Acha tu na visosi viwashindehahah hicho chakula jaman mie kilishanishinda jamen ! yan jaman uwiii ! last week nilikua kwenye familia ya wasukuma wakapika mchana na karanga za kukaanga ! hebu imagne jaman ! na nisivyoweza kushinda njaa nilichukua maharage tu ! dah mchembe haapana

Wasukuma mnajijua wenyewe na mapidhi yenu, hayo madude sijawahi kuyaelewa kwakweli. Acha tu na visosi viwashinde![]()
![]()
![]()
![]()