Ushauri wa bure

Ushauri wa bure

Kama unamtu serious humu mwambie asiwe anajirahisisha , kama unajua unamtu punguza kuishi humu kama single lady au single man jitoe humu, maana sasa wengine ila sio mie , wanajua waliohumu wapo free kumbe kashikwa.

Unajua bisa mtu wako anasoma unatongoza humu mtu mwingine inakera . Hata kama ukimuhakikishia haupo na mtu humu kama hujipi mipaka sio fresh.

Mwisho pendeni kutopotezea mtu muda kumdanganya yupo mwenyewe , onesha upo na mtu , jieshimu acha kutongoza au kutongozwa kila kitu kiwe na mipaka . Good evening
anamchekea sana mshamba_hachekwi ananiuzi na mm nikaona nilipize 😅
 
Back
Top Bottom