Hapana sina mtoto wa kike wote midume. (ngoja nikujhbu kwa herufi zako) JAPO NIMEJITAHID KUPATA MTOTO WA KIKE SIJAFANIKIWA KUPATA, ILA NINGEPATA MTOTO WA KIKE NINGEMSOMESHA KWANI ELIMU NI KWAAJILI YA KUAJIRIWA ?!! ELIMU NI KWAAJILI YA KUTATUA CHANGAMOTO ZA BINADAMU. SO AKIOLEWA AKIWA NA ELIMU NI BORA SANA. MKE WANGU AMESOMA ILA HAJAAJIRIWA NAMUANZISHIA MIRADI NA MIMI NDO BOSS WAKE.NAJIULIZA HIVI UNAONGEA YOTE HAYO UNAMTOTO WA KIKE KWELI WEWE!! MWANAO UNAMPANGO WA KUMSOMESHA HAMA LA!!! ME NADHANI USIMSOMESHE HATA DARASA MOJA ILI ASIJE AKASUMBUA WATU BAADAE.. HAKUNA KITU KABISAA
We madam, mungu alimuumba Adam kua kiongoz wa Hawa na hivyo ndo itakua sku zote
Mkuu nlimpata dem mhasibuu kiukwel nlikuwa napata kila nnachotaka lakn nlimkimbia mwenyeweee maaan kila siku anarud anadai kachokaaa yaaan n shidaaaAlafu mkuu sida siyo kufanya kazi, tatizo ni wakianza kupata vipesa, dharau zinaanza, atataka arudi saa sawa na wewe mkula home, mzigo hakuna ati kachoka, hatimizi kilichomleta ndoani, wazee wetu walikuwa na akili sana ,.
Hii hoja ya mtoa mada ni ukatili wa kijinsia pia?Kampeni ya kuwakatisha tamaa wanawake wawe hohehahe inaendelea.
Okoa jahazi mkuuWiselly said, yani ni wachache sanaaa. Kazin kwetu kuna wadada wawili na masters zao nawaona wanaisogelea meno pause na hakuna hata engagement ya kuigiza.
Katika fasihi kipengele kigumu kuliko vyote ni "maudhui"Umecomment jambo ambalo ni irrelevant na huu mjadala
Na Elimu aliyosemeshwa na wazazi wake kwa mapesa kibao itaishia wap!? Unahic ni hakiHata babu alivyomwoa bibi, bibi alikuwa nurse, lakini alivyotia miguu yake ndani ,kazi no , na wameishi kwa furaha tuu more than 78 years mpaka mzee anafariki, me nikikuoa, kazi hakuna kufanya, mwanaume abaki kuwa mwanaume ,
Mfumo dume uheshimiwe., asilimia 98
% kwa 2% na siyo 50%50%
100 kwa 0.1Mzee unaharibia wadada flani na Masters zao ila nafikir wapo wanawake rare breed ambao ni career ladies wenye nidhamu za kimke
Tatizo ni kutokujiamini tu huyu ndo anaamini mwanamke ni dhaifu hastahili kujitaftia kipato. Mimi nimekuwa sehemu wamama ndo bread winners wa familia na wanachapa kazi kweli kweli.pambana na UANAUME WAKO UNAOBEBWA NA UDHAIFU WA MWENZI WAKO!
yani kwa kifupi watu kama nyie hamdindishi mpk muwe mnaombwa hela ya kula!!
Mtu akisema naomba hela ya kitunguu,we ndo unafika climax!!
Psyuuuuuu