Ushauri wa bure: Usioe career woman!

Ushauri wa bure: Usioe career woman!

List inaongezeka, bila kuwasahau ma single mass.
Ila kuna siku nilimsikia ma Samia akisema ye akifika kwa mmewe, humpigia goti, heshima tele.
 
Na Elimu aliyosemeshwa na wazazi wake kwa mapesa kibao itaishia wap!? Unahic ni haki
Acha mawazo mgando, kwani dhumuni la elimu ni kuajiriwa ?! Ebo !! Dhumuni la kupata elimu ni kuwa na uwezo wa kutatua changamozo zinazotuzunguka. Kwahyo kua na elimu na kuolewa anakua mke bora anaeweza kutatua changamoto.
 
Pole yako wewe unaishi dunia ipi gharama za maisha ni juu mno wewe usomeshe( elimu bora kizazi hiki ni private school gharama zake ni juu ) ,ujenge , ulishe familia, usaidie ndugu, michango ya harusi kwa mshahara upi mkuu
Nyie mnalalamika career woman ni wale mmepata pesa mnaacha wanawake zenu mliosota nao mkiwa chuo unadandia hao mashangingi ya mjini unayakuta yako ready made dada ana gari ana nyumba anawaka lazima yakukute ila mtu umesota naye toka Alevel mpaka chuo hawezi kuwa kigego period!!!
 
Bibi yako alikuwa single Bibi kweli si Kweli.
hakuna mwanamke anayependa kuamka asubuhi na mapema kuwahi kazini, kuwaacha watoto pengine wadogo wanaonyonya kwenda kutafuta riziki.Tatizo wanaume mkiona mnategemewa 100% basi ni full manyanyaso kwa mkeo.
bibi yangu aliniasa "soma shule kwa bidii upate kazi nzuri uwe na kipato usimtegemee mwanaume sana mana utaishi maisha ya huzuni"
nazingatia ushauri wake mana kaona mengi, hata ukinambia kuchagua kati ya kuacha kazi na kuacha mume , kazi yangu ni mpenzi wangu wa moyo
 
Mleta mada hujiamini una inferiority complex kwa wanawake wenye kipato pole sana, dunia imebadilika lazima ukubaliane na hali hii haikwepeki
Mungu ndo aliamuru majukumu ya kutunza familia kwa jasho ni ya mume na mwanamke anamajukumu ya kuzaa kwa uchungu na kulea, sasa sijui na Mungu alikua na inferiority complex ??!
 
Tatizo ni kutokujiamini tu huyu ndo anaamini mwanamke ni dhaifu hastahili kujitaftia kipato. Mimi nimekuwa sehemu wamama ndo bread winners wa familia na wanachapa kazi kweli kweli.
Hujajibu swali langu, Mungu ndo aliamuru mwanaume kutunza familia kwa jasho lake na mwanamke kuzaa kwa uchungu na kulea. JE NA MUNGU ALIKUA HAJIAMINI ?! Na kutuonyesha mfano Mungu aliwatumia wanaume tu kama wanafunzi wa Yesu wote wanaume, Manabii, wafalme na waamuzi wote wanaume ila wanawake kawatumia kuzaa na kulea kama Maria mama wa Yesu. JE MUNGU PIA ALIKUA HAJIANIMI ? MBONA HAKUMLETA YESU WA KIUME NA WA KIKE ?!! (am sure hii text hutajibu)
 
Pole yako wewe unaishi dunia ipi gharama za maisha ni juu mno wewe usomeshe( elimu bora kizazi hiki ni private school gharama zake ni juu ) ,ujenge , ulishe familia, usaidie ndugu, michango ya harusi kwa mshahara upi mkuu
Nyie mnalalamika carrier woman ni wale mmepata pesa mnaacha wanawake zenu mliosota nao mkiwa chuo unadandia hao mashangingi ya mjini unayakuta yako ready made dada ana gari ana nyumba anawaka lazima yakukute ila mtu umesota naye toka Alevel mpaka chuo hawezi kuwa kigego period!!!
Inaonyesha wazi haujui wala hajapata kujishughulisha kujua kwanini wewe ni mwanamke na sisi ni wanaume. Andiko lako limekaa kiakili ya kianamke anamke, eti maisha yapo juu ada, ujenzi, lishe sikia wewe ndo maana tukaitwa wanaume ndo maana yatupasa kutimiza yote hayo na zaidi. Mungu aliposema kwa josho alimaanisha yatupasa kufanya kazi kwa juhudi kweli kweli. Hii dhana ya kusaidiana bakini nayo huko huko Dar na wanaume wenu wala chips, binafsi mke wangu ni MALKIA uliona wapi malkia anafanya kazi ?!
 
Mwambie mume wako awasomeshe ili waje kua wake bora
 
Mungu ndo aliamuru majukumu ya kutunza familia kwa jasho ni ya mume na mwanamke anamajukumu ya kuzaa kwa uchungu na kulea, sasa sijui na Mungu alikua na inferiority complex ??!
Hapo unamsingizia Mungu kwa kutokujiamini tangia kale watu wote wanafanya kazi. Sasa wanaume waoga hutumia biblia ka fimbo ya ukandamizaji wa wanawake eti wasifanye kazi. Siku hizi sio lazima utoke jasho kuna AC. Mimi kuwa na mwanaume asiye jiamini hivi kwa kweli hapana eti nisifanye kazi ili mtuonee eeeh, kazi lazima wanawake tufanye kwa bidii hyo ya kutegemea kuomba omba hela ni umaskini kwanza huna hela ya kumpendezesha mke akae tu eti azae.
 
Akili ni mali kila mtu anayoyakwake.
Unazo za kwako tena ni unawaza mbali vibaya mno.
Hujui mwanamke ni atakayekusaidia ukifukuzwa kazi.
Au ukipata tatizo lolote wanaume ambao hawataki maendeleo ya mwanamke.
1.ni wabinafsi
2.hawajitambui
3.wanajifanyaga wanajua kila kitu ila huwa ni maboya.
4.Wao kama wameoa wake zao hawajasoma wanakaa tu ndani wanalala nakuamka wanawasifu kama ndio mabosi wa dunia .
Wanakaripiwa hajapika au kitu fulani na wanaume wanapenda wawe wakubwa kama nini juu wao watoke makazini waenjoy maisha wanawake wawe ndani wakiwasubiria .
Wawe malooser na wasiwe na mbele wala nyuma.
Ila hawajui kuwa maisha nikusaidiana nope.
Wao wanataka wanawake zao wawe na vikazi vidogo tu.
Iliwaweze kuwapa attention saa yeyote.
Ukipata wanaume kama hao ni wanasampuli wa umama so ni bora ukiwa na mchumba au boyfriend wanamna kama ya huyu kaa mbali nao.
Kaaaa mbali nayo ni wabaya watakurudisha nyuma kimaendeleo.
Dah hii ni kali mtu anaacha kuwaza hela maisha magumu anadiscuss wanawake na wadada wanaojituma huo ni UMAMA BIG TIME.
mkalike wote 35 mko juu
😫😫😫😫😫😫😫😫😫😫
 
Hujajibu swali langu, Mungu ndo aliamuru mwanaume kutunza familia kwa jasho lake na mwanamke kuzaa kwa uchungu na kulea. JE NA MUNGU ALIKUA HAJIAMINI ?! Na kutuonyesha mfano Mungu aliwatumia wanaume tu kama wanafunzi wa Yesu wote wanaume, Manabii, wafalme na waamuzi wote wanaume ila wanawake kawatumia kuzaa na kulea kama Maria mama wa Yesu. JE MUNGU PIA ALIKUA HAJIANIMI ? MBONA HAKUMLETA YESU WA KIUME NA WA KIKE ?!! (am sure hii text hutajibu)
Hapo unamtumia Mungu vibaya hafu hilo ni agizo tu la wanadamu kutokuheshimu binadamu na unajua utaratibu wa zamani hakumuona mwanamke ka ni kitu ndo maana walikuwa hawahesabiwi au kupiga kura so hata waandika maandiko wa enzi hzo waliandika hayo ka sehemu ya utamaduni wao ila jinsi mabadiliko yanavoenda kuna changes. So.hapo tusimsingizie Mungu dini imetumika kumu undermine mwanamke kwanza kubeba mimba tu ni kazi kubwa kuliko huko kutoka jasho.

Sasa hyo kutumia wanaume si ilikuwa tu utamaduni ka zamani hakukuwa na gari usafiri ulikuwa wa punda hafu hao mitume wameandikwa kwa sababu ya uanaume zamani wanawake walikuwa hawaandikwi popote, pia Yesu mbona Maria, Magdalene na Martha wameandikwa kiufupi.

Usitumie maandiko Ku justify ur inferiority complex kwa umepigwa kibuti na mwenye kukuzidi useme, hyo hyo dini ilitumika kujustify.utumwa wa wazungu kwa weusi.
 
Oyoo acheni utoto na mkue nyie vimbola maish magumu mnawaza ukichaa kama mtu mmoja namnukuu " wanawake sio lazima wafanye kazi ila sana sana wao wafikirie kuolewa na jinsi ya kutunza mume dah hambadiliki bado tupo enzi za utumwa.
Au UMAMA
Au what ever i mean i want to say MORE but kama hata humu wapo watu kama wewe uliyetoa mada basi wanaume wa tz.
Wapo nyuma kimaendeleo.
Kabisa hujui tu 35 wamekubaliana na uchovu kama huo basi wanawake tuweni makini.
 
Alichokisema mtoa mada kina ukweli ndani yake wachache wataelewa anachomaanisha lkn tukirudi kwenye tabia hicho ni kitu ambacho hakitabiriki kuna ambao wanakaa majumbani Lkn ni malaya na viburi
 
Hujajibu hoja, anyweiz ndo akili za wanawake always emotional and zero logic. Na misikusema namsingizia Mungu ni hoja yako ya mwanamke kufanya kazi na kujishindanisha na wanaume. andiko langu lipo straight endelen kufanya kazi na vibur viwajae huku tuna wapiga mpipi na kuwaacha. Nawewe nakuona meno pause inakunyemelea ngoja ifike ndo ukuja na post za "a serious man wanted to be a husband"
Kwa comment hii tu inaonyesha ur biased haishangazi ndo ulivolelewa kutokuamini wanawake yet wanakuamiza kichwa eti logic zero Mara emotions ur too low honestly.
Acha kutumia Mungu ka kichaka cha justification zako za udhaifu na malezi ya kikale eti wanawake zero logic then wanakuumiza kichwa, hafu unaanzisha Uzi kuwashawishi wanaume wanaojielewa waunge mkono hoja yako real!!!

Kazi tutafanya kwa bidii kujikwamua kiuchumi na sema lazima umaskini wakipato na fikra ufyekelewe mbali, wanawake tunafanya kazi tusonge mbele.

Hiyo ya mpipi mbona kawaida k iliumbwa itumike ikikaa tu bure itavunda, mie mwenyewe huwapiga vibuti wengine tu.

Menopause haiwezi nikuta, pia menopause ni stage moja wapo ya ukamilifu wangu ka mwanamke nikifikia umri flani haishangazi sana mkuu njoo na hoja nyingi, jazba hazisaidii.

Sisi ndo wanawake tulioumbwa na changes hazikwepeki sasa wewe endeleq kuishi zama ya mawe utakuwa depressed Mpaka.
#Wanawakenamaendeleo
 
Nadhani anachojaribu kufikisha hapa.. ninkwamba wanawake wengi ambao ni carrier woman huwa wana ile sence ya kutaka mamlaka ndani ya nyumba.

Ila japo si wote, wapo waelewa na wenye kutii waume zao na kusimama katika nafasi zao kama wake..(type ya kina mama samia suluhu).
Sema ni wachache mno..
Waliobaki Mungu saidia
Wanawake kama katika 10 utapata m1 au unaweza usipate kabisa katika hao 10
 
Back
Top Bottom