Young murrah
JF-Expert Member
- Mar 31, 2014
- 415
- 459
Naunga mkono hoja Kabisa na experience na ukichonena tuombe uhai tu
Mkuu na hili ndo hua wazo langu kua mke namfungulia miradi anasimamia mimi ndo boss wake ila kwa hili la yeye kuajiriwa na kua na boss huko ndo HAPANA NAPINGAUshawahi kujiuliza ukifa nani atalea familia yako?
Ofcourse wanawake wasomi na wenye kazi wengi wao kwenye swala zima la mahusiano uwaga wajinga wajinga hivi hawajui na wana kibri hatukatai.
Mi nadhani kazi na elimu sio kigezo cha mke mwema kabisaaaaaaa.
Kikubwa ni kufungua biashara ambayo mke anakuwa msimamizi na ww msimamizi mkuu ila lzm mke ajifunze kutafuta pesa hata km sio kwa kufanya kazi basi biashara.
Kwa maisha ya sasa lzm mke na mume wafanye kazi km team kwenye kila nyanja ingawa kwa approach hii lzm huo a mke wakueleweka.
Kwani huyo kaolewa mkuu ?Nadhani anachojaribu kufikisha hapa.. ninkwamba wanawake wengi ambao ni carrier woman huwa wana ile sence ya kutaka mamlaka ndani ya nyumba.
Ila japo si wote, wapo waelewa na wenye kutii waume zao na kusimama katika nafasi zao kama wake..(type ya kina mama samia suluhu).
Sema ni wachache mno..
Waliobaki Mungu saidia
hawa marioo wanashida sana wakishafukuzwa huko wanakimbilia hukuNadhani kua na mwanamke asiye na ajira (carrier woman) ni bora zaidi maana kuna tofauti ya kimaumbile na kimajukumu kati ya mwanamke na mwanaume.
Majukumu ya mwanaume ni tofaut na ya mwanamke, jukumu la kutafuta fedha na kutunza familia ni la mwanaume. Hua nawachekesha rafiki zangu kwa kuwaambia kua mwanamke mwenye ajira, kazi au mamlaka ya uongozi sio mwanamke ni mwanaume ila tu hana mpipi. Kuishi na mwanamke wa aina hii inabidi ujipange bru, ni kuish na mwanaume mwenzako ala tu yeye ana K, itakupasa kua mvumilivu sanaa
Unajua kua asilimia kubwa ya ndoa zinazovunjika ni zile za "carrie women" je wajua ajua nchi zinazoongoza kwa devoce rates ni nchi zinazohamasisha usawa wa kijinsia, hata humu jf uwanja wa mahusiano, nimegundua wanawake wengi wanaotafuta mume ni carrier women. amimi amini wakwambia, mfumo dume ndio njia bora kwa jamii na hili linakamilika pale mume anapokua the sole bread finder.
Responsibility brings Authority and Respect. Sasa kuna watakaosema kua kuoa mwanamke mfanya kazi inaleta maendeleo mapema kwasabab ya kusaidiana, kwanza niseme Siamini katika dhana ya kusaidiana na mwanamke hii dhana imekaa kizembe zembe, kimwanaume wa dar, mwanaume mzima anajitetea kutaka kusaidiwa kuleta maendeleo seriouslly ?..! Wanawake ndo wanapenda kusaidiwa na mwanaume pia anataka asaidiwe ?! Nadhani this is irresponsibility.
Na kama mwanaume atataka "kusaidiwa" na mwanamke kuleta maendeleo basi akubali kugawana mamlaka, heshima na mke wake. Yani kuwe hakuna mume wala mke wote ni sawa, mwanamke akiamua kurudi saa sita usiku hakuna kuhoji. Mwisho naomba nitoe ushauri kua kama unaweza kumudu stress kila kukicha, malumbano, kushitakiana oa carrie woman, ila kama ungependa kuishi kwa amani tele oa house wife.
Ushauri wa mwisho sasa fanya unavyofanya ila usioe single mother afu ukuto ndo carrier woman aise aise
Umecomment jambo ambalo ni irrelevant na huu mjadalaNyie ndio type ya wanaume mnauouliwa na wake zenu ili wake zenu wapate kujimilikisha mali na uhuru wa kudinywa!
Mwache awe na input itapunguza mivutano ukifa.
(ndugu zako VS mkeo)
Vipi akifa yeye nani atalea familia?!Ushawahi kujiuliza ukifa nani atalea familia yako?
Ofcourse wanawake wasomi na wenye kazi wengi wao kwenye swala zima la mahusiano uwaga wajinga wajinga hivi hawajui na wana kibri hatukatai.
Mi nadhani kazi na elimu sio kigezo cha mke mwema kabisaaaaaaa.
Kikubwa ni kufungua biashara ambayo mke anakuwa msimamizi na ww msimamizi mkuu ila lzm mke ajifunze kutafuta pesa hata km sio kwa kufanya kazi basi biashara.
Kwa maisha ya sasa lzm mke na mume wafanye kazi km team kwenye kila nyanja ingawa kwa approach hii lzm huo a mke wakueleweka.
Kinga nzuri ya mwanamke itakayomuweka mbali na kiburi na dharau ni kumshika MUNGU maana atamuongoza kufanya maamuzi sahihi na sio hawa wanawake ambao hawajui hata ukurasa m'moja wa bible kila siku wao wasoma post za Instagram na facebook halafu halafu wanaleta ujinga ujinga......Nadhani anachojaribu kufikisha hapa.. ninkwamba wanawake wengi ambao ni carrier woman huwa wana ile sence ya kutaka mamlaka ndani ya nyumba.
Ila japo si wote, wapo waelewa na wenye kutii waume zao na kusimama katika nafasi zao kama wake..(type ya kina mama samia suluhu).
Sema ni wachache mno..
Waliobaki Mungu saidia
Yap ameolewa. Kwa mumewe hamu mfahamu.Kwani huyo kaolewa mkuu ?