Andie
JF-Expert Member
- Oct 11, 2011
- 712
- 1,643
- Thread starter
- #61
Carrier woman mwingine huyu hapa na mihemuko yake. Taratibu mama naona hyo akili unayotambia hata huna, maana umeshindwa kungamua na kutafakari mambo, kama kweli sisi wa mawazo haya ndo tunarudisha nchi nyuma unaweza kueleza ni vipi Dubai na Quatar ni miongoni mwa nchi tajiri huku wanawake wanawake wakiwa hawafanyi kazi ukilinganisha na Uganda yenye sera ya 50 kwa 50 tangu miaka ya 1990 ikiwa nchi ya kwanza kua na makamu wa raisi mwanamke na bunge lililojaa wabunge wanawake lakini ni miongoni mwa nchi masikini kabisa ?!!Insecurity imekujaa, wacha wanaume wa ukweli waoe zao carrier women, hujui hata mtoto kua na akili mara nyingi sana anarithi kwa mama? nyie ndo mnaorudisha nchi nyuma.