Ushauri wa bure: Usioe career woman!

Ushauri wa bure: Usioe career woman!

Vipi akifa yeye nani atalea familia?!
Yeye ametaka ndoa ambayo mume anatoa kila kitu mke amekaa nyumbani,akife mke mume ataendelea nawajibu wake km provider,sasa akifa mume ambaye ndo provider nani atalea familia ili hali mke alikuwa nyumbani tu?????
 
hakuna mwanamke anayependa kuamka asubuhi na mapema kuwahi kazini, kuwaacha watoto pengine wadogo wanaonyonya kwenda kutafuta riziki.Tatizo wanaume mkiona mnategemewa 100% basi ni full manyanyaso kwa mkeo.
bibi yangu aliniasa "soma shule kwa bidii upate kazi nzuri uwe na kipato usimtegemee mwanaume sana mana utaishi maisha ya huzuni"
nazingatia ushauri wake mana kaona mengi, hata ukinambia kuchagua kati ya kuacha kazi na kuacha mume , kazi yangu ni mpenzi wangu wa moyo
 
Jamani,kwahiyo tusiwasomeshe mabinti zetu?
huu uzi kama siuelewi msimamo wake for the destiny of our beloved daughters..
Kusoma si lazima aje kua carrier woman, na hata mimi mke wangu ni msomi ila ni mke wa nyumbani. Tena kama ni msomi ndo vzuri zaidi., kwahyo wasomeshe mabinti zako ila wajengee hulka ya kua wake sio wafanyakaz
 
Kwa hili la wanawake kufanya kazi/kujishughulisha haliepukiki kirahisi kwa sasa. Ni kuangalia na aina ya kazi anayofanya.
 
Hongera Kwanza bwana mdogo kwa kutoa wazo zuri,

Kaulimbiu zilizopo sasa hasa hizi za usawa wa kijinsia zinaiandaa vema sana kesho ya mtoto wa kike, lakini kesho ya mtoto wa kiume ni Jitihada na uwezo wake Mwenyewe!
 
Hamna haja ya kusomesha mtoto wa kike si ndio mkuu
La hasha, kwan elimu ni kwa ajili ya kuajiriwa tu au kua na uwezo wa kutatua changamoto zinazotukabili ?! Kusoma mabinti wasome ila wajengewe hulka za kua wake bora na hyo elimu yao nadhani itapendeza.
 
Aiseee..kwa hyo mnanishaur nimpige chini PHD wangu maana baadae nikimuoa atanishinda???
 
Nafikiri unamaanisha Career woman.....ila dah hawa wanaweza kukuua kwa stress....type hiyo ..inafika mahali anataka kama siyo wote mnakuwa wanaume basi yeye anakuzidi anataka kuwa mwanaume zaidi...sina hamu nao kabisa hawa viumbe
Kweli mkuu nilishuhudia kwa jamaa yangu yani mwanamke anataka awe mume vile na hawa viumbe ni hatari kwa jeuri usiombe
 
kwa tafiti zisizo rasmi, kuna ongezeko kubwa sana la singo maza ambao wengi wao ni hao career woman yani wanaviburi sana akishaona anaweza kupay bills basi anajiona mwanaume. ndo mana tunawakimbia
Ndugu daka coca cola popote ulipo nitakuja kulipa. UMEPIGA MSUMARI
 
La hasha, kwan elimu ni kwa ajili ya kuajiriwa tu au kua na uwezo wa kutatua changamoto zinazotukabili ?! Kusoma mabinti wasome ila wajengewe hulka za kua wake bora na hyo elimu yao nadhani itapendeza.
mkuu kama mkeo goalkeeper nenda ukamuulize kama atapenda na wanae wa kike waje kuwa magoalkeeper kama yeye, then jibu ukipata utaelewa
 
We umeingia choo cha kike ndo maana hupendi carrier woman
 
hakuna mwanamke anayependa kuamka asubuhi na mapema kuwahi kazini, kuwaacha watoto pengine wadogo wanaonyonya kwenda kutafuta riziki.Tatizo wanaume mkiona mnategemewa 100% basi ni full manyanyaso kwa mkeo.
bibi yangu aliniasa "soma shule kwa bidii upate kazi nzuri uwe na kipato usimtegemee mwanaume sana mana utaishi maisha ya huzuni"
nazingatia ushauri wake mana kaona mengi, hata ukinambia kuchagua kati ya kuacha kazi na kuacha mume , kazi yangu ni mpenzi wangu wa moyo
SIO KWELI. Mke wangu hana kazi ila anafuraha tele na ninampenda na kumtunza vema. Tafiti zinaonyesha pia kua wanawake wanaofanya kazi za kuajirima huku pia wameolewa wanaongoza kwa misongo ya mawazo kuliko wanawake waliolewa bila kua na ajira.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom