Hahahaha vipofu nini ??Kwanza mvua ya vumbi. Yaani upepo unavuma ukiambatana na vumbi ndo maana jamii ya kule macho yao yamepofuka. So take care vipofu wataongezeka huko.
Maji ni kama yana chumvi, nashangaa mtu mmoja kuamlia nchi kuhamia Dodoma. Nyerere alitaka makao makuu ya nchi yahamie kwasababu kipindi kile miundombinu kama barabara na mawasiliano ya simu, internet havikuwepo sasa hivi mawasiliano yapo, barabara nii rami, mitandao ipo so, hakukuwa na ulazima tena wa Dodoma kuifanya iwe makao makuu badala yake limetengenezwa tatizo tena, watu wanajirundika huko huku huduma muhimu kama maji safi, nyumba nzuri huduma nyinginezo zikiwa za shida. Kwanini mtu ujitengenezee shida na muda wa kuishi ni kidogo??
HahahaNilidondokeaga kule Kwa Ndugai, aisee lile life la pale utafikiri ndo makao makuu ya umasikini
HahahahaMzunguko wa pesa hakuna kabisaNdo maana unakuta kwamba tajiri namba moja dodoma ukimpeleka mwanza anakuwa wa mia moja
Katika moja ya sehemu ambazo hazijawahi hata kunivutia kwenda/kuishi basi ni huko dodomaMie ni staff hapa mwaka wa 4 sasa, usidanganywe ukaleta mtaji wako hapa kichwakichwa utajikuta unaongea kilantini ambacho hukuwahi kujifunza hata chembe!
AiseeUkumbuke Dodoma sio mji wa kibiashara Bali wa kiserikali, yaani kumejaa Wafanyakazi tu ambao hawajapandushiwa salary kwa miaka minne mfululizo
HahahaMkuu watumishi wamekonda ile mbaya @"Mayala B,
AiseeMzee baba nikajisogeza mpaka mpwampwa kucheki mzigo loh loh log nilipiga ugali wa mtama na majani ya kunde yaliyovunwa miezi mitatu iliyopita yaani yalifanana na tumbaku. Sitaki tena kudanganywa kuhusu Dodoma
HahahahaMbona povu nani asijua Dodoma ndio mkoa maskini na watu wavivu wa huko ninyi Wagogo na kuomba omba ndio zenu hata omba omba maarufu katoka huko? mnalima nini hizo zabibu au hebu nipishe mie
Bihashara = Biashara
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]Mzee baba nikajisogeza mpaka mpwampwa kucheki mzigo loh loh log nilipiga ugali wa mtama na majani ya kunde yaliyovunwa miezi mitatu iliyopita yaani yalifanana na tumbaku. Sitaki tena kudanganywa kuhusu Dodoma
Hatudanganyiki.....Dar itabaki kuwa nambari 1,kama huna nyumba Dar.......bado unacheza makidamakida
Hivi wewe Laki Si Pesa unaishi hii nchi nzima kwa wakati mmoja?nina hardware dodoma, duh, wateja wengi mpaka nawakimbia, sasa we dodoma unaenda kuuza chips yai utaacha kulalamika? uza hata nguo wanachuo wengi utapatapo wateja
Ubarikiwe mkuu kwa kuwa muwaziMkuu mimi nina biashara mwanza na dodoma lakin sijawahi ona mkoa wenye mzukunguko mdogo kama huu