Ushauri wa bure: Msije Dodoma mnadanganywa sana

Ushauri wa bure: Msije Dodoma mnadanganywa sana

Hahahahaaaa wateja wengi mpaka unawakimbia?
nina hardware dodoma, duh, wateja wengi mpaka nawakimbia, sasa we dodoma unaenda kuuza chips yai utaacha kulalamika? uza hata nguo wanachuo wengi utapatapo wateja
Sasa kama wateja wa chips yai wamekosa hao wateja wa nguo unawatoa wapi
 
Mmmmmh walisema mzunguko umeongezeka au shughuli za serikali zimehamia huko. By the way watumishi wa serikali wako wangapi hao wa kuongeza mzunguko? Siyo Kila kitu lazima kifanywe siasa.
Wewe umenena watumishi wa serikali namba ndogo tu!
 
Ni kweli kabisa watu wavivu,frem bei kubwa ,nyumba za kupanga beii [emoji125]‍♀️[emoji125]‍♀️[emoji125]‍♀️[emoji125]‍♀️
 
Mkuu uko sahihi kabisa,Dodoma ni pagumuu,yani Dom ni pakavuuu waungwana. Achana na hizi story za waliopita tu Dodoma au waliokaa wiki moja wakasepa. Bihashara ngumu,raia wagumu,mioyo yao migumu,lugha ya kibihashara ngumu hapa. Yani kila kitu ni kugumu hapa Dodoma.
 
Hahahhaaaa duh
Mbona povu nani asijua Dodoma ndio mkoa maskini na watu wavivu wa huko ninyi Wagogo na kuomba omba ndio zenu hata omba omba maarufu katoka huko? mnalima nini hizo zabibu au hebu nipishe mie
 
Hiyo kibaigwa yenyewe wanakaa wasukuma afu ndo anajitambia
Mbona povu nani asijua Dodoma ndio mkoa maskini na watu wavivu wa huko ninyi Wagogo na kuomba omba ndio zenu hata omba omba maarufu katoka huko? mnalima nini hizo zabibu au hebu nipishe mie
 
Wala sikuzaliwa na kitu inaitwa stess kabisa nikuulize wewe unaetaka kuaminisha watu Dodoma ni kilimo kwanza hebu nipishe mie na huko Korogwe Tanga kwenye kila aina ya vyakula Mbeya na Iringa watasema je? Niache mie
Achana naye
 
Back
Top Bottom