Sibonike
JF-Expert Member
- Dec 23, 2010
- 17,297
- 18,047
Hao watumishi wenyewe wameminywa na Jiwe. Huo mzunguko utoke wapi?Mmmmmh walisema mzunguko umeongezeka au shughuli za serikali zimehamia huko. By the way watumishi wa serikali wako wangapi hao wa kuongeza mzunguko? Siyo Kila kitu lazima kifanywe siasa.
Furaha yake kubwa ni kuona watu wanalia hali ngumu. Hapo roho yake kwatu.