Ushauri wa bure: Msije Dodoma mnadanganywa sana

Ushauri wa bure: Msije Dodoma mnadanganywa sana

Mkuu usijaribu kufanya kitu kama hicho utajuta sana
Asanteni kwa kutufahamisha.Nilikuwa na mpango wa kuuza nyumba yangu Sakina Arusha nihamie Dodoma kufungua hardware ,Sije tena Phuck it.
Wafanyakazi wa hapa wanaishi dar hivyo ikifika ijumaa huwa wanasepa zao dar na kwenda kufanya manununuzi yote huko

Ukitaka kuhama Arusha nenda mikoa ya usukuman kuanzia kahama, geita, katoro na mwanza

Asante
 
Dodoma imejaa wageni..
kuna mikoa kama DSM/Mwanza/Morogoro...kilichosaidia kuchangamsha wenyeji ni WAGENI kutoka kila pahala Tanzania..naamini hata Dodoma itakuja changamkaaa

Angalia mikoa/miji waliyopingana na wageni ka imebadilika? ipo vile vile...kuanzia January hadi December...1990's adi 2010's haibadiliki
 
Aman itamalaki kwenu

Leo nimejitolea kutoa ushauri wa bure kabisa bila malipo. Toka Rais atangaze Dodoma kuwa makao makuu ya nchi watu wengi wamekuwa wakidhani kuwa Dodoma mambo ni shwari sana. Ukweli ni kwamba Dodoma mambo ni magumu sana hakuna mzunguko wa pesa wala nini.

Ni pakame sana na pana watu wavivu sana wasio penda kazi. Kwa hiyo basi ndugu zangu msije Dodoma. Kuna watu wengi sana wanakuwa wanatoka mikoa yao na kuja Dodoma wakidhani kuna maisha mazuri na maisha ni magumu sana

Hakuna pesa wala nini. Kwanza flame bei juu na hakuna pesa kabisa

Shauri yenu

Flame- Moto

Moto wanauza bei eeeeeh... kweli huko hakufai
 
MI NAAMINI KUTAKUJA KUCHANGAMKA, NA KAMA MTU WA BIASHARA CHANGAMKIA FURSA HUKO MAPEMA
 
Kwanza mvua ya vumbi. Yaani upepo unavuma ukiambatana na vumbi ndo maana jamii ya kule macho yao yamepofuka. So take care vipofu wataongezeka huko.

Maji ni kama yana chumvi, nashangaa mtu mmoja kuamlia nchi kuhamia Dodoma. Nyerere alitaka makao makuu ya nchi yahamie kwasababu kipindi kile miundombinu kama barabara na mawasiliano ya simu, internet havikuwepo sasa hivi mawasiliano yapo, barabara nii rami, mitandao ipo so, hakukuwa na ulazima tena wa Dodoma kuifanya iwe makao makuu badala yake limetengenezwa tatizo tena, watu wanajirundika huko huku huduma muhimu kama maji safi, nyumba nzuri huduma nyinginezo zikiwa za shida. Kwanini mtu ujitengenezee shida na muda wa kuishi ni kidogo??
Kwa kweli yaan,Dar ingeendelezwa na kupangwa mpya,kama kule luanda Angola.huko pange baki mkoa tu na bunge lao
 
Aman itamalaki kwenu

Leo nimejitolea kutoa ushauri wa bure kabisa bila malipo. Toka Rais atangaze Dodoma kuwa makao makuu ya nchi watu wengi wamekuwa wakidhani kuwa Dodoma mambo ni shwari sana. Ukweli ni kwamba Dodoma mambo ni magumu sana hakuna mzunguko wa pesa wala nini.

Ni pakame sana na pana watu wavivu sana wasio penda kazi. Kwa hiyo basi ndugu zangu msije Dodoma. Kuna watu wengi sana wanakuwa wanatoka mikoa yao na kuja Dodoma wakidhani kuna maisha mazuri na maisha ni magumu sana

Hakuna pesa wala nini. Kwanza flame bei juu na hakuna pesa kabisa

Shauri yenu
Luminous or non luminous flame?????
 
nina hardware dodoma, duh, wateja wengi mpaka nawakimbia, sasa we dodoma unaenda kuuza chips yai utaacha kulalamika? uza hata nguo wanachuo wengi utapatapo wateja
dodoma watu weng wanajenga kwa sabab ya huu ujio mpya wa sirikALI(watumishi wengi wanaishi kwa nyumba za kupanga). but in case ikatokea makao yakarudi daresalaam nakwambia dodoma itabaki kijj na sio mji tena
 
Back
Top Bottom