Ushauri wa bure: Msije Dodoma mnadanganywa sana

Ushauri wa bure: Msije Dodoma mnadanganywa sana

Aman itamalaki kwenu

Leo nimejitolea kutoa ushauri wa bure kabisa bila malipo. Toka Rais atangaze Dodoma kuwa makao makuu ya nchi watu wengi wamekuwa wakidhani kuwa Dodoma mambo ni shwari sana. Ukweli ni kwamba Dodoma mambo ni magumu sana hakuna mzunguko wa pesa wala nini.

Ni pakame sana na pana watu wavivu sana wasio penda kazi. Kwa hiyo basi ndugu zangu msije Dodoma. Kuna watu wengi sana wanakuwa wanatoka mikoa yao na kuja Dodoma wakidhani kuna maisha mazuri na maisha ni magumu sana

Hakuna pesa wala nini. Kwanza flame bei juu na hakuna pesa kabisa

Shauri yenu
Makao makuu ya nchi ni pahala pa heshima sana panataka utulivu mkubwa na mara nyingi hujaa makachero,mashushushu sama to PYONG YANG.
 
Aman itamalaki kwenu

Leo nimejitolea kutoa ushauri wa bure kabisa bila malipo. Toka Rais atangaze Dodoma kuwa makao makuu ya nchi watu wengi wamekuwa wakidhani kuwa Dodoma mambo ni shwari sana. Ukweli ni kwamba Dodoma mambo ni magumu sana hakuna mzunguko wa pesa wala nini.

Ni pakame sana na pana watu wavivu sana wasio penda kazi. Kwa hiyo basi ndugu zangu msije Dodoma. Kuna watu wengi sana wanakuwa wanatoka mikoa yao na kuja Dodoma wakidhani kuna maisha mazuri na maisha ni magumu sana

Hakuna pesa wala nini. Kwanza flame bei juu na hakuna pesa kabisa

Shauri yenu
Umeishia kulaumu bila kutosha ushauri,unatushauri tufanye nin sasa?
 
Wala sikuzaliwa na kitu inaitwa stess kabisa nikuulize wewe unaetaka kuaminisha watu Dodoma ni kilimo kwanza hebu nipishe mie na huko Korogwe Tanga kwenye kila aina ya vyakula Mbeya na Iringa watasema je? Niache mie
Naona unanipumzikia sasa kwaheri utakuwa single mother
 
Nimejaribu kusoma historia Dodoma mkoloni hajawahi kuishi hapo
Sahihi kabisa. Sehemu yoyote ambayo hata mkoloni hakuishi jua hiyo sehemu siyo. In fact misafara ya watumwa ilipata shida sana kupita kipande hicho. Wengi walikufa hapo kutokana na njaa na kiu kwa kuwa hakuna mto wala vyakula vya jamii ya matunda hivyo watumwa walilazimika kubeba mizigo kutoka mbali ili kuitumia katika eneo hilo. Ni Janga hapo.
 
Yaani kuna mtu humu anachamba kuliko hata mkono wa kushoto wallahi....
Watu tunaandika comments, yeye ni michambo tu.
Ebu punguza hasira mkuu..teh
 
Aman itamalaki kwenu

Leo nimejitolea kutoa ushauri wa bure kabisa bila malipo. Toka Rais atangaze Dodoma kuwa makao makuu ya nchi watu wengi wamekuwa wakidhani kuwa Dodoma mambo ni shwari sana. Ukweli ni kwamba Dodoma mambo ni magumu sana hakuna mzunguko wa pesa wala nini.

Ni pakame sana na pana watu wavivu sana wasio penda kazi. Kwa hiyo basi ndugu zangu msije Dodoma. Kuna watu wengi sana wanakuwa wanatoka mikoa yao na kuja Dodoma wakidhani kuna maisha mazuri na maisha ni magumu sana

Hakuna pesa wala nini. Kwanza flame bei juu na hakuna pesa kabisa

Shauri yenu
Chukua hii kanuni "ukiona Jambo lolote linapigiwa upatu na serikali ya CCM" ujue uongo ni 90% na ukweli ni 10%
 
Lakini Mimi kwa uelewa wangu navyojua sehemu yoyote wageni wanamchango mkubwa sana katika kupaendeleza kwani dar es salaam imeendelezwa na wazawa? Amka mtoa mada
 
Aman itamalaki kwenu

Leo nimejitolea kutoa ushauri wa bure kabisa bila malipo. Toka Rais atangaze Dodoma kuwa makao makuu ya nchi watu wengi wamekuwa wakidhani kuwa Dodoma mambo ni shwari sana. Ukweli ni kwamba Dodoma mambo ni magumu sana hakuna mzunguko wa pesa wala nini.

Ni pakame sana na pana watu wavivu sana wasio penda kazi. Kwa hiyo basi ndugu zangu msije Dodoma. Kuna watu wengi sana wanakuwa wanatoka mikoa yao na kuja Dodoma wakidhani kuna maisha mazuri na maisha ni magumu sana

Hakuna pesa wala nini. Kwanza flame bei juu na hakuna pesa kabisa

Shauri yenu
Mashamba ya ela yametaifishwa kwa mabeberru?
Fremu za sisiyemu zimejaa?
 
Dodoma ni jangwa la pesa pabaya ,mavumbi, maji kila saa koo kavu, kupauka mtindo mmoja ,manguo mabaya bei kubwa, kamji kadogo hata kama ufanyaje wote mnakutana mjini jamatini, usiku kama palipigwa bomu, maeneo yote wamejaa wanafunzia wanauza
 
Mmmmmh walisema mzunguko umeongezeka au shughuli za serikali zimehamia huko. By the way watumishi wa serikali wako wangapi hao wa kuongeza mzunguko? Siyo Kila kitu lazima kifanywe siasa.
Watumishi wenyewe familia bado ziko huko walikotoka, unafikiri pesa itapelekwa wapi kama sio familia ilipo.
 
Back
Top Bottom