Ushauri wa bure: Msije Dodoma mnadanganywa sana

Ushauri wa bure: Msije Dodoma mnadanganywa sana

Fursa zipo nyingi, watu wanapiga pesa kama kawaida, ni jicho lako na upeo wako ndio utakufanya uwe bora katika uwekezaji wa pesa zako.
Hamna sehem utaenda utaokota pesa kirahisi kama unavyoaminisha labda uwe ni tapeli ingawa hata wao huitaji akili nyingi nguvu kidogo.
 
Kutoka na dodoma kukosa mzunguko wa pesa ndo maana ukichukua tajiri nambari moja dodoma ukimpeleka mwanza atashika nambari ya mia moja
Pia unaweza mchukua tajiri huyo huyo wa mwanza akashindwa kupata anachokipata mwanza akiwa Morogoro au Arusha, kwasababu kila eneo lina upekee wake kwa hyo ni jukumu lako mfanyabiashara kutafiti unachoweza kufanya eneo husika, huwezi lazimisha biashara za eneo fulani zika peak eneo jingine lazima uendane na eneo hilo kwa namna fulani hata kama umeboresha zaidi wazo lako.
 
Nyange,
Hahahahah jomba we bado mtoto mdogo hutakiwi kuzungumzia Mambo usiyoyajua.. kwanza shule umeenda kweli. ? Nawasiwasi..haya ndio yanawafanya shule mshindwe na mengine mshindwe mnabaki kuwa majambazi ..au kujiunga na vyama vya upingaji....mfyuuiiiiiuuu
 
Back
Top Bottom