Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,959
- 70,694
Mkuu watumishi wamekonda ile mbaya
Acha kabisa yaani!
Mkuu watumishi wamekonda ile mbaya
Nyie si ndo mje muujaze mji mkuu.... Nani ataujaza sasa na kuleta mzunguko wa pesa kama hamtaki watu wajeShida ina kuja moja ni kimji chenye wakaaz wachache sana
Kwanza watapoteza mitaji na wataachia flame ndan miez mitatuMimi nipo Dom mwaka wa sita na investment zangu mbili zipo arusha...moja kibanda cha mpesa na guta la kubebea mizigo....kiukweli dom hakuna kitu,mm mwenyewe soon naondoka huku watu pesa hawana kulinganisha na mikoa kama dar,arusha,mwanza,klm,mbeya,iringa na mingine inayofanana na hiyo......kama wakitaka kuja waje,ila wajue watachomwa na jua mpaka wakome
Ukame lakini kwa kilimo cha chakula wanazalisha kuliko huko makwenu lindi, tabora n.k nenda kibaigwa kacheki mahindiDodoma sio kabisa kukame sijawahi ona Dodoma pagumu mfano hakuna
We ni abed bwana mifugo?Nilidondokeaga kule Kwa Ndugai, aisee lile life la pale utafikiri ndo makao makuu ya umasikini
Kimji chenye wakaazi wachache!Shida ina kuja moja ni kimji chenye wakaaz wachache sana
Nimejaribu kusoma historia Dodoma mkoroni hajawahi kuishi hapo
Nipo hapa mkuu, ngoja niwe mpenzi msomaji tu maana hizo ligi za nani kanya na nani kajinyea... hata siziwezi
Akirudi Bahi, atazame mpunga....Ukame lakini kwa kilimo cha chakula wanazalisha kuliko huko makwenu lindi, tabora n.k nenda kibaigwa kacheki mahindi
Mkuu mm tatizo huku nina mkataba wa kazi namaliza mwezi wa kwanza mwakani...baada ya hapo nasepa mkuu....acha nikajaribu maisha pengineChai tamu sana hiyo! Umeinvest Guta na kibanda cha Mpesa huko Arusha na ni wazi unapiga Pesa huko. Sasa huu mwaka wa sita upo Dodoma si bora ungerudi Arusha kuisimamia vyema miradi yako. Sasa huko Dodoma unafanya nini? Yaani unakubali kuchomwa na jua hadi ukome!
Ukame lakini kwa kilimo cha chakula wanazalisha kuliko huko makwenu lindi, tabora n.k nenda kibaigwa kacheki mahindi