kiunzi
JF-Expert Member
- Nov 11, 2018
- 514
- 369
Wajapan walianzisha nursery pale maili mbili, SNV ilianzisha kitengo cha miti huko huko maili mbili na kupanda miti Dodoma nzima kwenye mradi wa DOVAP. hivyo vyote vilitoweka sababu ya siasa zetu za kuchagua kipi kwanza. Wafadhili walipoondoka wakaondoka na kila kitu sis tupo tu. Dodoma inahitaji kupandwa miti nyingi na itasaidia hata mvua kuongezeka. Mimi kama mwenyeji wa Dodoma nimejitahidi kupanda miti ya kidumu kibao na nina kisima ambacho natumia kumwagllia maji. Karibuni Idodomya jamani.Natamani kuwe na kampeni endelevu za kuifanya Dodoma kuwa KIJANI. Sijui Kama kuna mkakati wowote wa makusudi kuweza kufanya hili kuwa Halisi.
Ni ukweli mtupu,Dar haijawahi kuitwa wala kujumuishwa kwenye kundi la mikoani[emoji23][emoji23][emoji23] maofisa wanapauka, Tanzania hii dar itabaki kua dar maana tokea enzi za wakoloni ndio palikua Tanzania mjini
Sent using Jamii Forums mobile app
Kilimani huwa hatuna mgao na saa nyingine pressure ya maji inavunja mabomba.Nkuhungu gani maji yanatoka kwa ratiba mkuu, nipo mwakilishi wao hapa.
Dar hakuna ratiba? Mbona maeneo mengi ya Dar yanaratiba na mengine hayana maji kabisamaeneo mengi maji yanatoka kwa ratiba kiongozi. Labda huko kwa wakubwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Yalipaswa kuwa Arusha.Nyerere alikosea sana kupeleka makao makuu ya nchi Dodoma,hali ya hewa mbaya bora makao makuu yangekuwa Morogoro,Mwanza,Tanga
Nilikua Dodoma wiki iliyopita,kwa kweli hata wapafanyeje Dom hapawezi kufanana na Dar
Ukame ukame kiasi kwamba hata majengo mazuri yaliyojengwa yanakosa mandhari ya kupendeza mfano lile jengo la bodi ya barabara limeisha ila halivutii,lipo mlimani yaani halina mvuto kabisaa
Ule upepo wa udom kule unawapausha maofisa ,hawapendezi
Sent using Jamii Forums mobile app
😫😫 mi mwenyewe wa huko mkuu...nasema tu watu wanavyotuchukulia but in reality sio kweli....
Jirani, huyu jamaa nimegundua haijui Dodoma zaidi ya kusimuliwa na kufuata mkumbo.Nkuhungu gani maji yanatoka kwa ratiba mkuu, nipo mwakilishi wao hapa.
Wizara gani ambayo zimeweka ofisi UDOM hadi Sasa?Kuhamia Dodoma ni gharama kubwa.
Wizara nyingine zimeweka ofisi zao UDOM
Sent using Jamii Forums mobile app
Weunataka ahamie marangapi..??Hivi mbona mwenyewe hajahamia huko?
Ndio hivyoNi ukweli mtupu,Dar haijawahi kuitwa wala kujumuishwa kwenye kundi la mikoani
Sent using Jamii Forums mobile app