Ushauri wa bure: Msije Dodoma mnadanganywa sana

Ushauri wa bure: Msije Dodoma mnadanganywa sana

Mtu ana anakwambia Dodoma pa hovyo, ila anasahau huku dar kila siku anakaa kwenye foleni masaa ya kutosha bado aamke saa kumi za usiku kujiandaa kwenda posta kupambana na foleni, wakati akiwa dom anaamka saa moja kasoro.
Unatoka kazini unarudi nyumbani hoi, dom ukitoka kazini unaweza pita kupasha koo kidogo na bado ukawahi nyumbani.
 
Ila dar tamu asikwambie mtu..

Nendeni dom jamani mtuachie mji wetu..mlikuwa mnatujazia wingi tu.. Wala bata wengi mjini hapa sio waajiriwa wengi wafanya biashara, wapigaji wa mjini, wazee wa kuunga unga, wazungu wa unga, wapita njia. Kaeni huko huko dodoma..
 
Kwa kweli tokea nimehamia Dom ni pazuri naona hali ya hewa ni safi ni suitabo kwa uzazi lkn kwa Kyle dar ilikuwa mtihani hasa kwenye uzazi msisimko hakuna joto Kali sana viungo vinasinyaa mpaka uvipashe na maji kidogo uongezee na kifeni cha mchina yaani hata ukimpanda mkeo ukipiga vigoli viwili unaonekana kidume lkn Dom ndio uanamme wako unaonekana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Unalifahamu joto la Dom wewe? + ile Dry wind inayovuma hapo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilikua Dodoma wiki iliyopita,kwa kweli hata wapafanyeje Dom hapawezi kufanana na Dar
Ukame ukame kiasi kwamba hata majengo mazuri yaliyojengwa yanakosa mandhari ya kupendeza mfano lile jengo la bodi ya barabara limeisha ila halivutii,lipo mlimani yaani halina mvuto kabisaa
Ule upepo wa udom kule unawapausha maofisa ,hawapendezi

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni very Dry wind...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Natamani kuwe na kampeni endelevu za kuifanyia Dodoma kuwa KIJANI. Sijui Kama kuna mkakati wowote wa makusudi kuweza kufanya hili kuwa Halisi.
I was thinking the same. Mkoa kama Dodoma ukipandwa miti ya kutosha. Tuseme miti ya misitu isiyopungua milioni tano kwa mwaka. Ndani ya miaka kumi Dodoma itakuwa na hali ya hewa nzuri sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom