Ushauri wa bure: Msije Dodoma mnadanganywa sana

Ushauri wa bure: Msije Dodoma mnadanganywa sana

Hakuna maji kabisa Dodoma mkuu.
Kipindi cha kiangazi inaweza kata miezi 6 bila drop ya mvua
emoji98.png
emoji98.png


Sent using Jamii Forums mobile app
Mhh wewe unazungumzia Dom ipi,upatokanaj wa maji Dom mjini Ni zaidi ya asilimia 90.
 
Jiji zima la Dodoma maji yanatoka bwerere na hayajawahi kukatika
sijui walikufikisha kijiji gani. Ukisema mvua ni kweli Dodoma haina mvua na ni ukanda wa kitropic ukame kwenda mbele
Mamlaka ya Maji nawasifu kwa kusambaza maji safi toka Mzakwe na wataunganisha bomba toka Usandawi (Farkwa) kabla ya yale ya Ziwa Victoria.
Mafuriko kama yale ya D'salaam hatujayaona bado
 
Tatizo tukifika hata hapo tunapoenda penyewe patakuwa pashaondoka na Cintinental Drift.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiranga mbona unatutisha wana iDodomya hilo ni linini tena Bonde la ufa?
basi hata Upanga litafika kumbe linasogea?
Karibuni Dodoma ingawa kwa Makao makuu naona km ndoto sasa hivi Miji mingi inamegewa mafungu
wale waelekezwa hawaji tena wamebaki watumishi tu, wanaoondoka Ijumaa na kurudi J3
 
Nilikua Dodoma wiki iliyopita,kwa kweli hata wapafanyeje Dom hapawezi kufanana na Dar
Ukame ukame kiasi kwamba hata majengo mazuri yaliyojengwa yanakosa mandhari ya kupendeza mfano lile jengo la bodi ya barabara limeisha ila halivutii,lipo mlimani yaani halina mvuto kabisaa
Ule upepo wa udom kule unawapausha maofisa ,hawapendezi

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23] maofisa wanapauka, Tanzania hii dar itabaki kua dar maana tokea enzi za wakoloni ndio palikua Tanzania mjini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mhh wewe unazungumzia Dom ipi,upatokanaj wa maji Dom mjini Ni zaidi ya asilimia 90.
Huyu jamaa anataka kudanganya watu hapa.
Mimi nimeanza kuishi Dodoma rasmi 2017 July, na sijawahi kuona maji yakikatika nyumbani kwangu kwa zaidi ya masaa mawili na kwajumla ya siku saba tangia nihamie Dodoma

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nchi ina mambo kibao yanahitaji kufanywa, haijamaliza.

Halafu inajiongezea kitu kingine ambacho si lazima cha kufanya.

Kwa gharama kubwa sana.

Halafu tunashangaa kwa nini bado ni masikini kama jamii.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata kuhamia Dodoma ni moja kati ya mambo kibao yanayohitajika kufanywa, pia ni moja kati ya kitu ambacho ni lazima kufanywa.

Watanzania jifunzeni Kuwa na mtazamo chanya kuhusu maendeleo ya nchi acheni kuwa kama bendera fuata upepo.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom