Ushauri wa bure: Msije Dodoma mnadanganywa sana

Ushauri wa bure: Msije Dodoma mnadanganywa sana

kwani mji mdogo hapa Tzn ni dodoma pekee? mbona tunasongesha life kama kawa
Kwa namna yeyote ile sijawahi penda kuishi Dar,kama saizi kila mtu analalamika joto limezidi,mwezi uliopita mafuriko na madimbwi kila mahali sasa hayo sio maisha mar dengue sijui mbu yaani ni tabu tupu
Hahahaha
 
Kuna jamaa walijidanganya wakapeleka tipa za mchanga huko, walipigika na maisha hadi wakaamua kurudi, Dodoma kuna michongo kweli kwa sasa lakini sio kama inavyosimuliwa mitandaoni. Kiufupi ni overrated
😀 😀 😀 🏃‍♂️ 🏃‍♂️ 🏃‍♂️ 🏃‍♂️ 🏃‍♂️ 🏃‍♂️ 🏃‍♂️ 🏃‍♂️ hapa ndo unakumbuka ile kauli za kuambiwa changanya na zako
 
Hii purukushani ya kuhamishia Wizara Dodoma imewaathiri watu wengi sana. Nyumba bado ni za shida, maji ya shida na changamoto nyingine lukuki.

Sasa sijui mambo yatakuwaje hapo mbeleni. Wafanyakazi wengi wameziacha familia zao Dar es salaam. Nimemhurumia sana jamaa yangu, analazimika kurudi Dar kila Ijumaa kwa ajili ya familia.

Wadau mlioko Dodoma kutoka Dar ni changamoto gani nyingine mnazokutana nazo Dodoma?

Poleni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilikua Dodoma wiki iliyopita,kwa kweli hata wapafanyeje Dom hapawezi kufanana na Dar. Ukame ukame kiasi kwamba hata majengo mazuri yaliyojengwa yanakosa mandhari ya kupendeza mfano lile jengo la bodi ya barabara limeisha ila halivutii, lipo mlimani yaani halina mvuto kabisa
Ule upepo wa Udom kule unawapausha maofisa, hawapendezi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa kweli tokea nimehamia Dom ni pazuri naona hali ya hewa ni safi ni suitabo kwa uzazi lkn kwa Kyle dar ilikuwa mtihani hasa kwenye uzazi msisimko hakuna joto Kali sana viungo vinasinyaa mpaka uvipashe na maji kidogo uongezee na kifeni cha mchina yaani hata ukimpanda mkeo ukipiga vigoli viwili unaonekana kidume lkn Dom ndio uanamme wako unaonekana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom