GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,548
- 108,882
Nawashaurini nyote ambao mtaaga hizo Ofisi zenu mlizopo sasa kwamba andikeni Barua za Kusema kuwa mtarajea tena hapo, kwani kwa Watu walioteuliwa huku wengine tabia zao zikijulikana kuna Uwezekano mkubwa baadhi yao wakadumu kati ya Miezi 6 au hata mwaka tu na watafurumushwa ( watatumbuliwa )
Huu ni ushauri wangu wa bure Kwenu.
Huu ni ushauri wangu wa bure Kwenu.