Ushauri wa bure kwa Waislam

Ushauri wa bure kwa Waislam

Status
Not open for further replies.
Nimekubali matusi yote sheikh.....Ila ungejibu hoja,ni surat gani kwenye quran inayohalalisha mahakama ya kadhi? au wapi mwamedi kaizungumzia mahakama ya kadhi iundwe na serikali?.... Jifunzeni uislamu wadogo zangu.

Dogo,nipe surat kwenye quran inayozungungumzia mahakama ya kadhi usizugezuge....kama haujui sema wanazuoni tukufundishe.

Matumbo hata tukikupa Sura na Aya, utaelewa au utaendelea kutusumbua. Mahakama za Kadhi ni kwa Mujibu wa Qur-an. Hapa nakuwekea baadhi ya Sura na Aya kama ifuatavyo.

“......... Na mnapo hukumu baina ya watu mhukumu kwa uadilifu." (Qur-aan, 4:58)

“...Na hukumuni kwa haki. Hakika Mwenyezi Mungu Anawapenda wanaohukumu kwa haki.” (Qur-aan, 49:9)

“...Wala kuchukiana na watu kusikupelekeeni kutofanya uadilifu. Fanyeni uadilifu. Hivyo ndio kuwa karibu mno na ucha Mungu...” (Qur-aan, 5:8)

Matumbo hili ni somo refu watu wana Degree za Islamic Sharia. Hapa nakuweka sawa kidogo tu.
 
kahtaan nakuuliza tena,umelisoma vizuri andiko la msomi Ustaadhi A.S. Mkambaku?.
 
Last edited by a moderator:
Nimekunote kwenye " wanapenda kuingiliwa" unajua mtu anayependa vya bure hatima yake ni kuingiliwa. Hata mwanamke anayependa kuombaba hatimaye huingiliwa
Ahh!!! Si ukae kimya kama huna hoja ya maana kuchangia?????? Sio lazima kuchangia na kuongeza page huku jukwaani.
 
Ishmael

Acha kudanganya watu wewe! Maswali yako yalishafanyiwa kazi na kujibiwa. Majibu yako ni hayo hapo chini. Hiyo ni katiba ya kenya ya Sasa.

"Part 3-Subordinate Courts
169. (1) The subordinate courts are-

(a) the Magistrates courts;

(b) the Kadhis' courts;

(c) the Courts Martial; and

(d) any other court or local tribunal as may be established by
an Act of Parliament, other than the courts established as
required by Article 162 (2).

(2) Parliament shall enact legislation conferring jurisdiction,
functions and powers on the courts established under clause (1).
Subordinate courts.
R e v . 2 0 1 0 ] Constitution of Kenya 105
170. (1) There shall be a Chief Kadhi and such number, being
not fewer than three, of other Kadhis as may be prescribed under an
Act of Parliament.

(2) A person shall not be qualified to be appointed to hold or act
in the office of Kadhi unless the person-

(a) professes the Muslim religion; and

(b) possesses such knowledge of the Muslim law applicable to
any sects of Muslims as qualifies the person, in the opinion of
the Judicial Service Commission, to hold a Kadhi's court.

(3) Parliament shall establish Kadhis' courts, each of which shall
have the jurisdiction and powers conferred on it by legislation, subject
to clause (5).

(4) The Chief Kadhi and the other Kadhis, or the Chief Kadhi and
such of the other Kadhis (not being fewer than three in number) as may
be prescribed under an Act of Parliament, shall each be empowered to
hold a Kadhi's court having jurisdiction within Kenya.

(5) The jurisdiction of a Kadhis' court shall be limited to the
determination of questions of Muslim law relating to personal status,
marriage, divorce or inheritance in proceedings in which all the parties
profess the Muslim religion and submit to the jurisdiction of the Kadhi's
courts."
 
Last edited by a moderator:
Matumbo hata tukikupa Sura na Aya, utaelewa au utaendelea kutusumbua. Mahakama za Kadhi ni kwa Mujibu wa Qur-an. Hapa nakuwekea baadhi ya Sura na Aya kama ifuatavyo.

“......... Na mnapo hukumu baina ya watu mhukumu kwa uadilifu." (Qur-aan, 4:58)

“...Na hukumuni kwa haki. Hakika Mwenyezi Mungu Anawapenda wanaohukumu kwa haki.” (Qur-aan, 49:9)

“...Wala kuchukiana na watu kusikupelekeeni kutofanya uadilifu. Fanyeni uadilifu. Hivyo ndio kuwa karibu mno na ucha Mungu...” (Qur-aan, 5:8)

Matumbo hili ni somo refu watu wana Degree za Islamic Sharia. Hapa nakuweka sawa kidogo tu.

Mbona hakuna aya hapo inayoelezea mahakama ya kadhi mkuu? Nipe aya inayoonyesha hii mahakama mnayolilia..sio hadithi za muhukumu kwa haki.
 
Well narrated Ishmael .

While appellate jurisdiction is mainly used to correct the errors that may be committed by trial Courts. Now in Kadhi Courts, what jurisdiction will they use in the event the Plaintiff or Defendant wants to appeal?



Rejea hapo chini kwenye mapendekezo ya Ishmael

MY RECOMMENDATIONS
(1) All people should be given options to go to independent or higher courts. The High Court and Court of Appeal should be above religious courts, if such courts are part of the Constitutional provision either directly or indirectly;
(2) There should be an open door policy to change the laws which cannot be challenged,
(3) Courts should be authorized to employ scholars who would enlighten judges on the interpretation of religious doctrines;
(4) The draft recommends setting up Village Councils to deal with minor problems in rural areas, which can take care of local religious sentiments to protect national unity and religious harmony. Expand the role of Village Councils to deal with social disputes;

Respectfully submitted,
 
Last edited by a moderator:
Ukiona watu wanaingiza swala la khadhi kwenye katiba ujue ni ujanja wa kupisha katiba iliyondoa mambo muhimu. Mahakama ya kadhi ni chambo na ndoano ni katiba itakaolinda mafisadi
 
Kuwepo kwake si tatizo.........Nadhani hoja iwe ni nani atagharimia uendeshaji wake? Kama ni kutokana na kodi basi haitakuwa sawa maana kodi zinatokana na wasio Waislamu pia.
 
Nikianza kukujibu wewe ntakutukana bure tu!
Bora nikupuuze.manake wakati mwingine hunifurahisha.

Kwa hiyo sitaki nikutukane bure.

Kaa mbali. Hapa najaribu kumsaidia Kapumbu! Aka Kakende ka paka!

hujajibu swali langu,nakuuliza tena,umelisoma vizuri andiko la msomi Ustaadhi A.S. Mkambaku?.
 
Last edited by a moderator:
Stupid questions and stupid reasoning, all questions can be answered simply by looking at other countries who have Kadhi's and or to go back few years in history before Nyerere abolished the Kadhi in Tanzania.

other countries may not be in all aspects equal to tanzania. Intense tribalism is in kenya but that is reduced to "utani" in tanzania.

nyerere, if you like, knew tanganyika was a multi tribe country he emphasized on Kiswahili to bring the more than 200 tribes to a common denominator - kenya failed. nyerere nationalized all christian, hindu, agakhan schools so that each and every citizen had equal opportunity and access to education - all this was made to bring citizens to a common denominator as far as education was concerned. if religions keep their affairs to the inside walls of their temple you have a society devoid of unnecessary differentiation.

Do we really need government support to religiously give a ruling on divorcees, marriages etc - tribesmen in tanzania carry out all these without government interference!!
 
Kwan hao bakwata ni nani haswa c hao waislamu wenzenu kama wanawasaliti inaonyesha mna shida,ni shida kulaumu wakristo huku ukijua hawausiki na issue zenu
 
bopwe;
Amin!!!!!! Kwa sasa sina la lingine la kuongea zaid kusema roho inaniuma saaana
 
Last edited by a moderator:
Kwan hao bakwata ni nani haswa c hao waislamu wenzenu kama wanawasaliti inaonyesha mna shida,ni shida kulaumu wakristo huku ukijua hawausiki na issue zenu

Sisi hatujawalaum nyinyi ila nyinyi mnaingilia mambo yasiyowahusu .hata hao wanaotaka mahakama Leo ndio haohao vibaraka vya bakwata ambao wadhamin wao wakubwa ni serikal na waislam wanaopinga bakwata ndio hao wanaokamatwa na kudhalilishwa .hiv nyinyi wakristo mkimpinga kiongoz wenu na mkataka mwingine hiv mtakamatwa na kudhalilishwa hiv ?
 
Ukiupenda chukua usipoupemda sepa.

Nawashauri waislam kwakuwa mahakama ya kadhi ni ibada waunde jumuiya ndogondogo za waislam ambazo watafanya ibada zao huko na watashitakiana ndoa zao huko na watapeana talaka huko. Ndoa zitasuluhishwa na Waislam wenyewe. Hii itakuwa rahisi kwakuwa waislam wote ktk jumuiya zao watakuwa wanafahamiana. Hii waendeshe kama idara fulani ndani ya jamii zao na hili ni jambo dogo sana ambalo halina sababu za msingi kuliweka kwenye katiba. Ni kama vile wakrisito walivyounda jumuiya zao wala hawakuomba ziandikwe kwenye katiba kwasababu walijua ni ibada yao sio jambo lakitaifa na hivyo halihitaji kuandikwa kwenye katiba.

Kuhusu mirathi tunazo mahakama za serikali iliyochaguliwa na wananchi wote ambazo zinafanya vizuri na zina utaratibu mzuri wakusimamia mirathi hivyo mirathi ya waislam itashughulikiwa huko. Sioni hoja wala sababu ya msingi waislam kutaka mahakama yao special kwa ajili ya mirathi wakati tayari kuna mahakama inasimamia mirathi hivyo hakuna ulazima wakuandika kwenye katiba.

Karibuni tujadili kwa hoja, matusi njoo PM tutukanane mpaka nikukomeshe.

Labda nikuulize suala kidogo hapo kabla sijasoma zaidi.

1. Je zile kodi watakazokuwa zinachukuliwa na Serikali ya TGK watazitumiaje? au wa wakatwe lakin zipangiwa kuendesha mahakama za Kikiristu?

2. Lakin mbona Serikali hiyo hiyo ya JMTz kila mwaka inatoa 1.2 Bil kuyapa makanisa kutokana na Mou ya Kanisa na Serikali ya JMTz iliyosainiwa na Lowassa? Mbona waislam hawalalamiki hapo?

Ni hayo tu naomba ufafanuzi wako.
 
Halafu unaweza kukuta hata VAT tu hujawahi kulipa! Unanunua kila kitu kwa wamachinga na mama ntilie.

Hata hizo bidhaa zinazouzwa na machinga na mamantilie tayari zimeshatozwa kodi. Hivyo so lazima tugarimikie mshakama isiyo tuhusu. Yote yanayohusu waislam wafanye wenyewe kwa Uhuru vivyo hivyo kwa wakristo.
 
Nikiwa kama muislamu naunga mkono mahakama ya kadhi iwepo kwa mujibu wa sheria. Lakini suala la kuiendesha kwa kodi ya jumla ndio siungi mkono, naona itapelekea kuendeshwa na pesa chafu za wauza pombe na nguruwe.
Mimi mawazo yangu ni kuunda kitengo maalumu ndani ya TRA ambacho kazi yake itakuwa kukusanya kodi ya kuendeshea mahakama ya kadhi tu. Kitengo hiki kiwe na kitu kama fomu hivi ambayo walipa kodi wakiislamu wenye TIN wata declare kwa hiyari yao kuongezewa percent ndogo kwenye kodi wanazolipa kuendeshea mahakama ya kadhi. Naamini waislamu ni walipa kodi wazuri na wanaipenda dini yao, hawawezi kupinga utaratibu kama huu.

Nakuunga mkono japo Mimi siyo muislam. hiyo TRA kwa mini wasianzisje waislam wenyewe??
 
taja sababu ya kutokwenda kuomba uraia huko kwenye gurantee kuishi kiislamu in all aspects...na ung`ang`anie hapa kwenye vikwazi vya kila namna...

hii wamarekani wanasema "friendly fire"...comment hii unatakiwa kumpa niliyekuwa namjibu
 
Kuwepo kwake si tatizo.........Nadhani hoja iwe ni nani atagharimia uendeshaji wake? Kama ni kutokana na kodi basi haitakuwa sawa maana kodi zinatokana na wasio Waislamu pia.

uko sahihi mkuu, hata wakisema walete majini toka uarabuni kuendesha kesi mi naona sawa.

Tatizo ni kwa nini KODI YANGU itumike?
 
uko sahihi mkuu, hata wakisema walete majini toka uarabuni kuendesha kesi mi naona sawa.

Tatizo ni kwa nini KODI YANGU itumike?

Hivi na Yale majin yaliyoko kwa wakristo kila kukicha kwa wachungaj tena yakimuina mchungaj yanataka kukaa uchi ,hiv nayo Yale ni ya waarabu?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom