Nyakageni
JF-Expert Member
- Feb 1, 2011
- 15,044
- 5,114
Labda nikuulize suala kidogo hapo kabla sijasoma zaidi.
1. Je zile kodi watakazokuwa zinachukuliwa na Serikali ya TGK watazitumiaje? au wa wakatwe lakin zipangiwa kuendesha mahakama za Kikiristu?
2. Lakin mbona Serikali hiyo hiyo ya JMTz kila mwaka inatoa 1.2 Bil kuyapa makanisa kutokana na Mou ya Kanisa na Serikali ya JMTz iliyosainiwa na Lowassa? Mbona waislam hawalalamiki hapo?
Ni hayo tu naomba ufafanuzi wako.
siku zote huwa unafikiri anticlockwise writing clockwise!
Daktari mmoja pale BUCHS na KCMC anagharimiwa sh 40mil mpaka kumaliza course, yeye analipia 20mil!
Hospitali za sadaka zetu mnatibiwa kwa rufaa ya gharama za chini, KWA NINI SERIKALI ISIFIDIE?
There is no free lunch
J.K. aliwaambia jengeni mahospitali na nyie halafu daini MOU kama ya Lowasa
USHAURI:
Gomeni kwenda vyuo na hospitali zetu makafiri, MOU itakufa yenyewe TENA ANZENI KESHO ili foleni zipungue mahospitali na vyuo vyetu mkajazane MUM