Mkuu MZIMU.Asante sana Mkandara. Sasa Jukwaa limepata watu wenye akili huru katika kufikiria. Sasa ndugu yangu ulikuwa wapi siku zote hizi. Kama ungetokea mapema tusingetumia nguzu zote hizi. Hakika Mkandara, ulichosema ndio hasa madai yetu. Na tuna omba Marafiki zetu na Maadui zetu watuelewe hivyo.
Kamwe hata siku moja, Waislamu na Uislamu hauna uadui na Wakristo au wasikua na dini. Waislamu siku zote Mpaka Mwisho wa Dunia, watakua wanapambana na wale wanao wazuia kutekeleza matakwa ya dini yao na kufanya ibada zao.
Asante sana Mkandara Mimi MZIMU waKiwangwa, nimekuelewa sana. Na naomba Mejor General kahtaan, Field Mashal peri, Comandoo Ritz na Wanaharakati wengine wote tumpe heshima yake Huyu Bwana Mkandara. Bwana Mkandara, hizi sentensi chache ulizo ziandika hapa, tunaomba uzirudie rudie katika Bunge La Katiba kila upatapo nafasi.
Hii bayana naichukuwa kama data kwa siku za baadae.
Wewee hicho kilikua kiini macho, kuzifanya ni shule za serekali lakini mkakati ulikua kuhakisha wanafunzi wa kiisalamu wanapungua kadri wanavyo zidi kupanda madarasa. Mwisho wasiku, wakati wanafunzi wote walianza darasa la kwanza almost 50- 50, Watoto wa Kislamu waliokua wanafanikiwa kupenya hadi chuo kikuuu, walikua chini ya 12%.
Matokoe yake Ngazi zote muhimu za serekali na Mashirika ya Umma zilishikwa na Wakristo huku waislamu wakiambiwa hawaja soma. Nawaliosoma pia, walihakikisha hawashiki nafasi nyeti serekalini. Halii ilikua Mbaya hadi Rais Ali Hasan Mwinyi alipoingia Madarakani na kuanza kufuta baadhi ya hizo athari. Kama unakumbuka vizuri na huna akili za kushikiwa, Raisi Ali Hassani Mwinyi hakuwa na Maelewano Mazuri na Nyerere hadi ikafikia hatua ya kupigana vijembe hadharani.
Kama unakumbuka, Nyerere aliwahi kunukuliwa akisema nchi inaongozwa na Mwanamke katika hatua zake za Kumprovoke Ali hassani Mwinyi.
Kwaupande wake yeye Mwinyi aliwahi kumjibu huyu Mheshimiwa sana, katika Sherehe zilizofanyika Uwanja wa Taifa kwa Kusema, '' Ukiwa Mtoni unaoga, akaja kichaa akachukua Nguo zako, Usimfukuze. Nyote Mtaonekana Vichaa''.
Dogo upo?. Kwa taarifa yako hali unayo iona sasa katika Serekali iliyopo sio Bahati mbaya. Yote hiyo ni Mikakati ya Waisilamu kuvunja adhari za Makanisa na ukiristo katika Mifumo ya Serekali na Utendaji, kama inavyo julikana kwa sasa MFUMO KRISTO.
Baada ya kibao kimeguaka, Makanisa na Wafuasi wake wakanza kugeukia katika Propaganda mbalimbali zikiwemo za vyombo vya Habari kuweka vijana wao walio brainwashed kua Yesu ni Mungu, na kueneza chuki dhidi ya Uisalamu na Waislamu na kujaribu kumchafua Ali Hassani Mwinyi kua haja fanya lolote katika nchi hii, wakati aliichukua nchi ipo kwenye njaa, watu wanapanga foleni kutafuta bidhaa muhimu, kama vile unga, sukari, mafuta ya taa n.k.
Wakati Ali Hassani Mwinyi anachukua nchi, bidhaa kama Sabuni za kuogea na dawa za meno zilikua ni bidhaa za anasa mtu wa kawaida alikua hawezi kua nazo.
Nakumbuka hata sabuni za kufulia kulikua hakuna. Tulikua tunafulia Majani ya Migomba. Daftari za kuandikia iliku hakuna, tulikua tunaandikia makaratasi ya Mifuko ya cement.
Rais Ali Hassani Mwinyi alipoingi Madarakani, akaiondoa hali hiyo mara moja. Akaruhusu kuanziswa kwa vituo vya Television.
Hali ya nchi ilikua imeanza kubadilika na kua nchi yenye neema. Kama Mgonjwa alieanza kupata nafuu.
Kuona hivyo, Baraza la Maaskofu KKKT, wakachapisha waraka kua nchi imejaa Rushwa, nchi inanuka.
Hilo hakika lilimuuzi sana Rais Ali Hassani Mwinyi. Akaamua kuwaondelea uvivu Maaskofu na Wakristo wote. Aliitisha Mkutano wa Wazee wa Dar- es -salaam Pale katika Hotel ya STAR LIGHT jioni saa kumi. Rais Ali Hassani Mwinyi aliongea kwa Masaa mawili bila kukaa kwa hasira. Aka wauliza Maaskofu, Nchi hii inanuka, imejaa rushwa mmeiona leo. Wakati watu wanapanga foleni za mawe kutafuta bidhaa Muhimu, nyinyi mlikua wapi?. Wakati Colgate ni bidhaa ya anasa, Nyinyi mlikua wapi?.
Akawaambia, Ndugu zangu Maaskofu, Ya Kaizari mpeni Kaizari na ya Musa mpeni Musa.
Mpaka hapo unaelewa hilo?. Sio mnakuja humu na kuropoka tu. Hamjui tumetoka wapi wala tunaenda wapi?.
Mkandara yupo JF wakati wewe bado upo kijijini kwenu haujui Jambo Forums ni nini, teh teh teh!!Mmepata ufadhili wa ISIS,BOKO HARAM au AL SHAABAB? Muulizen sheikh farid raha ya ndoa ikoje huko aliko
Wewee hicho kilikua kiini macho, kuzifanya ni shule za serekali lakini mkakati ulikua kuhakisha wanafunzi wa kiisalamu wanapungua kadri wanavyo zidi kupanda madarasa. Mwisho wasiku, wakati wanafunzi wote walianza darasa la kwanza almost 50- 50, Watoto wa Kislamu waliokua wanafanikiwa kupenya hadi chuo kikuuu, walikua chini ya 12%.
.
Huo upuuzi mwingine ulioandika sina haja ya kucomment na kujaza page.. Hilo la kupenya hadi chuo kikuu ni kutokana na mwamko wa waislamu wengi kwenda shule kipindi kile. Na mtakumbuka maneno ya Prof. Kapuya na Makamba enzi zile walivyowaambia acheni kuilaumu serikali haiwasaidii waislamu, kazaneni muende shule..
Mimi nimesoma shule mbali mbali, na katika hizo shule including vyuo vya elimu ya juu, wengi wetu tutatambua ubaguzi wa kidini ambao umekuwa ukiendeshwa na hii inatokana na watu kuwa na mawazo mgando kama yenu kuwa "tunaonewa". Group discussions badala ya kukazana kuungana au kuwa na mix ya watu wenye uwezo, watu wanakomaa na watu wa dini zao...
Hebu tuache kueneza propaganda za kidini kaeni chini mfanye kazi na kuacha kukaa barazani kunywa kahawa mkitegemea serikali itawakomboa...
Ushauri; siku nyingine jibu hoja kwa hoja na sio porojo.. Ungejibu maswali yangu ningeona una malengo ya kujadiliana kwa hoja..
hizo jumuiya kama zitakuwa hazitambuliwi kisheria zitakuwa hazina maana.huwezi kuunda jumuiya inayo towa taraka kwa waislam pindi wakiachana kisha ukienda mahakamani unaambiwa taraka hiyo batili.
mahakama ya kadhi haiwahusu nyinyi wakristo,tunahusika sisi waislam.
Sheria ya mirathi kwa waislamu mtoto wa asie zaliwa ndani ya ndoa haruhusiwi kurisi mali ya marehem.je mahakama za serikali inalitambuwa hilo?
Wakristo kwanini mnapinga mahakama ya kadhi wakati haiwahusu?tukisema mna husda nyinyi wakristo mtabisha?
Huo ndo upuuzi wa karne ya zamani kutaka utumike hadi leo. Huyo mtoto wa nje ya ndoa yukoje ktk dunia hii ya sasa? Yaani kwa upuuzi wa huyo anayeitwa marehemu,mndi iwe sababu ya yeye kukosa haki ya babanyake?
Kwa namna Serikali haiwezi kuruhusu kila mtu kuwa na mahakama anayojisikia yeye kuwanayo. Kama Waislam wanaona hawatendewi haki na mahakama zilizopo kwa mujibu wa Quran hata Wakristo watadai mahakama yao kwasababu mahakama zilizopo haziwatendei haki kwa mujibu wa Biblia Takatifu. Mfano Biblia imetuagiza kusamehe 7x70, lakini mahakama zilizopo hazitusamehe hata mara moja labda ukae jela miaka kadhaa ndipo huruma ya rahisi ikupitie. Kwa mantiki Wakristo tunataka mahakama ambazo tutakuwa tunasameheana 7x70. Je na wakristo wadai mahakama yao iwepo kwenye katiba? Iwapo serikali itaruhusu kila dini kuwa na mahakama yake, Je mahakama zilizopo zifungwe au zifutwe ili kila dini itumie mahakama yake ya dini?Wandugu kinachosababisha watu watake hii mahakama iwe kwenye taratibu za ngazi za mahakama ni kufanya mambo ya waislamu ya kijamii yahukumiwe katika utaratibu uliopo kwenye quran tukufu.
Kuna watu wengi wanaunganisha familia (ndoa) kwa hiyari yao wenyewe katika taratibu za kiislamu, lakini unapofika wakati wa mashtaka wanakimbilia serikalini ambayo haina sheria hata moja ya kiislamu.
Kama mti akiua mathalani anaweza kufunguliwa kesi kwenye mahakama ya wilaya, atasomewa mashtaka lakini ataambiwa hatakiwi kujibu chochote mpaka hapo kesi itakapohamishiwa mahakama kuu.
Sasa kwanini isiwezekane mtu kufungua kesi ya mirathi au talaka mahakama ya wilaya akaambiwa kesi hiyo itahamishiwa mahakama ya kadhi? Je unaweza kuweka mfumo kama huu katika mahakama halafu uendeshaji wake usihusishe mapato yanayokusanywa katika taratibu za kiserikali?
Tafakari!
MZIMU pole sana kwa pigo takatifu la karne,vipi mkuu,jihadi imeishia wapi au jeshi limesambaratika,niliona ulianza kugawa vyeo vya kijeshi
Nakupa angalizo dogo tu kwamba hii katiba ni ya miaka hamsini ijayo,nina imani katika maisha yako mpaka unakufa hutalishuhudia taifa hili likiwa na taasisi yenye mandhari ya udini
Mzimu tupo usifikir tumekuacha Ila hatujaona jipya tunaona wanaropokaropoka tu
Kidumee Sheikh Farid akisalisha . Nyuma walo maamuma Karume na Shein Leo watanganyika wamemlawiti.... uhaini mkubwa na shari kubwa kwa uislam
Kumbe waislam na wenyewe wawe na balozi wa saudi arabia na wawe na hospitari mishahara na malupulupu kwa serikali
Waisilamu nchini wamekuwa wakiilamu serikali kwamba imewaundia chombo ambacho ni BAKWATA, na kwamba hawakitaki kwa kuwa hakijaundwa na waisilamu. Waisilamu hao hao wanaitaka serikali iwaanzishie chombo kinachoitwa Mahakama ya Kadhi. Sasa hapa naona kuna ujinga fulani. Unalalamika serikali kuwaingilia kwa kuanzisha BAKWATA, halafu unalalamika kwa nini serikali haiwaingilii kwa kuwaanzishia Kadhi. Waisilamu wawe wazi basi, wanapenda kuingiliwa au kutoingiliwa na serikali?
My take:
Kwa kuwa waisilamu wameshalalamika sana kwa suala la 'kuundiwa BAKWATA', naishauri serikali isijiingize kabisa kujaribu kuwasaidia tena, kwani watakuja kuilaumu tena na tena serikali kwa kuwaingilia. Waisilamu wajipange, waanzishe Mahakama ya Kadhi, waiendeshe wenyewe, wahukumiane wenyewe na hata hukumu zikiwa mbaya, walaumiane wenyewe
Tatizo la watu wa imani hii kwanza hawaelewani, na hawaelewi hata imani yao inataka nini na kwanini. Kukosa kuelewa huko kumewafanya wakose hoja na kukosa hoja ndioko kumewafanya wajisikie inferior bila sababu na hivyo ndiyo maana kila wakati, mahala pote huwa wako suspicious na defensive na ndiko kutumia mabavu kwa kila jambo.
Ushauri hawashauriki hasa katika mema. Hakuna kitu utawashauri wakubali hata kama hawana hoja. (mfano, kwa nini mahakama zao ambazo ni ibada wanataka ziwekwe na serikali badala ya kuzifanya taasisi zao za kidini misikitini kama vile makanisa wanafanya), watakachokuambia ni matusi, na kutishia kufanya fujo kwa kisingizo kwamba wao wako wengi eti kwa kuwa hawanaga uzazi wa mpango, na vile wanavyotoa zawadi kwa muislam akioa mkristo.
Lakini kwamba wanahoja, hakuna.
Jambo lingine hawa watu si rahisi kuwashauri kutenda mema kwa sababu dini yao haina nguzo ya upendo. Wewe ukiwashaurim upendo, amani na kusameheana, halafu mwingine awashauri chuki, fujo visasi na mauaji, utashangaa watakavyochangamkia tenda za chuki, fujo, visasi na mauaji. Wanafanya hivyo hadi misikitini wao kwa wao wanamalizana halafu wanasingizia Westerners na Wakristo eti ndio wanawashauri hivyo. Hawatakumbuka kama kuna ushauri wa upendo, amani na msamaha. Ni jambo la ajabu sana kama dini yao inawafundisha upendo na amani, inakuwaje wanakimbilia kuwatii makafir wanaowafundisha chuki, mauaji na ushetani wote wakati hao makafir maisha yao yamejaa amani.
Kikubwa ili serikali iweze kusimamia vizuri vichwa vya namna hii, ni vyema ikae kwenye nafasi ya juu ya imani zote ili isimamie na kudhibiti pale ushetani unapotokelezea kwenye misiikiti kama Lyatonga. Katiba ni ya watanzania wote, habari za kadhi, misikitini.
screentouch