Ushauri wa bure kwa Waislam

Status
Not open for further replies.

Siyo Pesa chafu tu za wauza nguruwe na wauza pombe pia ukitaka serikali igharamie kuna pesa za riba, pesa za waliozaliwa nje ya ndoa,wala nguruwe, wanywa pombe, wavuta sigara, wanaonunua vimini, viskin tight, rasta,wig. bado kodi kutoka kwa wale wa jamatin, singasinga na budha na wahindu. Itabidi mtafute watu wa kwenda kuchambua kodi huko TRA zinakotoka.
 
Mkuu labda hujaelewa inabidi wewe ndio ufahamishwe. khakuna kitu Jumuiya zao ila sheria na waislaam wanafanya hivyo isipokuwa hukumu zao hazitambuliwi na serikali ya Jamhuri kutokana na kwamba mshtaki anaweza kwenda serikali na akaweka madai yake kinyume cha sheria za dini na zikapokelewa.

Hivyo wao wanasema, ili wao wafanye ibada zao kwa ufanisi wanataka serikali itambue haki hiyo na wasiingilie kabisa jambo ambalo haliwezekani kwa sababu serikali inawatambua Bakwata chama walichokianzisha wao wenyewe kusimamia mambo ya Waislaam. Na hiyo Bakwata imejaa mafisadi ambao kwao fedha kwanza hivyo hakuna ibada inayofanyika. Kwa nini serikali inakataa kuwaacha huru ama kutambua ibada zao? Licha ya hivyo hujiulizi mwenyewe kwa nini wewe usokuwa Muislaam unaingilia swala lao, ombi lao ambalo halikupunguzii usingizi hata kidogo. Je wao wakishauri ibada za kikristu utawaelewa!.
 

Asante sana Mkandara. Sasa Jukwaa limepata watu wenye akili huru katika kufikiria. Sasa ndugu yangu ulikuwa wapi siku zote hizi. Kama ungetokea mapema tusingetumia nguzu zote hizi. Hakika Mkandara, ulichosema ndio hasa madai yetu. Na tuna omba Marafiki zetu na Maadui zetu watuelewe hivyo.

Kamwe hata siku moja, Waislamu na Uislamu hauna uadui na Wakristo au wasikua na dini. Waislamu siku zote Mpaka Mwisho wa Dunia, watakua wanapambana na wale wanao wazuia kutekeleza matakwa ya dini yao na kufanya ibada zao.

Asante sana Mkandara Mimi MZIMU waKiwangwa, nimekuelewa sana. Na naomba Mejor General kahtaan, Field Mashal peri, Comandoo Ritz na Wanaharakati wengine wote tumpe heshima yake Huyu Bwana Mkandara. Bwana Mkandara, hizi sentensi chache ulizo ziandika hapa, tunaomba uzirudie rudie katika Bunge La Katiba kila upatapo nafasi.
 
HaHaaa HAKI imembainikia kaamua kukaa kimya.


Shukran sana mkuu kwa somo zuri, mwanafunzi kakuelewa inabidi Akawaite waalim wake nao waje tuwape darasa

umpe darasa nani wewe mtoto? tafkhiz imekuharibu, yaani lile tendo takatifu la mtume kusugua uume kwenye paja za mtoto mpaka mbegu zinatoka!

we mumeo alianza wakati una mwaka mmoja, angalia paja zako
 
Tatizo wamezoea vya kupewa, yaani wao wanataka kila kitu kisimammiwe na serikali, ifike hatua na imani nyingine zianze kudai ili wajue ni namna gani serikali inawapendelea, mfano serikali iliwapa chuo kikuu wakristo waka kaa kimya, hivi leo hii wanataka mahakama ya kwao iendeshwe na kodi za riba,jamani hapa imani iko wapi mbona wanasahau hata miiko ya imani yao,pili kama wanataka mahakama ya kadhi waanzishe na wajikite kuwafnya waimini wao wakubaliane na maamuzi ya mahakama hiyo, coz waislamu webyewe ndio wa kwanza kuipinga mahakama hiyo, mbona wakatoliki wana mahakama zao na hazipo kwenye katiba na waumini wake wanakubaliana na maamuzi.
 
Hapo kwenye red, umechemka
dogo!
Ndiyo maana watu wanapiga Mahakama ya Kadhi kuingizwa ktk Katiba. Ikiwa
mmeshindwa kuchanga hata sadaka kwa ajili ya mambo yenu ya maendeleo
hili la Mahakama ya Kadhi mtaweza?

Kweli mazee! Huoni wanafuturishwa na NSSF, TCC, DIAMOND, TBL?
 
Jamani mimi dada Nyakageni nampenda yethu thana.
Hata thiku moja mi thitukani.

Mtoto wa zinaa huwa hachelewi kula matapishi yakw mwenyewe.

Haya ndio matatizo ya kucheza na mbwa!
Kuanzia sasa mimi ntaongea na mwenye mbwa tu!



hahaaaa hao Ndio walokole wenye upako wa damu ya mwanakondooo .... hawatukani wala hawagombani, wanasema Mungu wao ni wa upendo na amani....
 
Last edited by a moderator:

Muslims are not contributing in this, any reasons?
 

 

uko 100% sahihi kasoro hapo kwenye bold umetia doa kidogo.

u dont need to, unamshauri mtu akikataa akaleta matusi huyo ni mpumbavu unaachana naye....ni vigumu lakini ndiyo maturity inavyotaka.
 

Mkandara, inaelekea hata mnachokiomba/kipigania hamkifahamu kwasababu mnaji contradict.

Kama BAKWATA hamuikubali kwasababu ILIANZISHWA na serikali, kwanini basi mnataka tena serikali hiyo hiyo iwaanzishie mahakama ya kadhi?!

Kumbuka serikali haiwezi kutoa pesa zake kuendesha mahakama ya kadhi, halafu isiwe na say yoyote kuhusu uendeshaji wa mahakama hizo.

Majuzi serikali imekataa uteuzi wa mkurungezi wa Bugando aliyekuwa ameteuliwa na TEC, kwasababu serikali ina share na Bugando hospital. Ninvyowafahamu nyinyi Waislamu kama Serikali ikakitaa uteuzi wa Kadhi mkuu kwasababu yeyote ile kama ilivyofanya Bugando mtapiga mayowe hadi Palestine to Vatican!
 
Kidumee Sheikh Farid akisalisha . Nyuma walo maamuma Karume na Shein Leo watanganyika wamemlawiti.... uhaini mkubwa na shari kubwa kwa uislam
 

Attachments

  • 1409083672995.jpg
    57.4 KB · Views: 114
waislamu wenyewe mnaowatafutia mahakama ni kina diamond!! kazi mnayo aisee
 

Bobuk, sio serekali ituanzishie Mahakama ya Kadhi. Mahakama za Kadhi zitambuliwe kwa Mujibu wa Katiba ili ziwe na nguvu kisheria maamuzi yake yasiingiliwe wala kubatilishwa na Mahakama nyingine nje ya utaratibu wa kimahakama.

CC. Wakristo wote
 

Bado hoja za msingi za uanzishwaji na uendeshaji hazijabainishwa vizuri au ndo mwanzo wa kuleta habari za dola la kiislamu hapa nchini? Hii ni nchi yenye mchanganyiko wa madhehebu haiitaji kuingiza ishara zozote za udini .Nikupe mfano ebu fikiria kama dini nyingine nao wakidai mahakama zao na ziendeshwe na serikali itakuwaje na je kama wanandoa ni wa dini mbili tofauti mashitaka yao tatahukumiwa vipi? Cha msingi tutumie akili na tuwe watu wa kusoma alama za nyakati pia tuendane na mabadiliko katika jamii.ni muda wa kuachana na ukale
 
Bobuk, sio serekali ituanzishie Mahakama ya Kadhi. Mahakama za Kadhi zitambuliwe kwa Mujibu wa Katiba ili ziwe na nguvu kisheria maamuzi yake yasiingiliwe wala kubatilishwa na Mahakama nyingine nje ya utaratibu wa kimahakama.

CC. Wakristo wote

Ndo mnataka mtaka mlete hukumu zenu za kukatana VIBAIOLOGIA vya KiUmE kisa kufumaniwa?
 
Ndo mnataka mtaka mlete hukumu zenu za kukatana VIBAIOLOGIA vya KiUmE kisa kufumaniwa?

Sasa kwani utakua unahukumiwa wewe?. Sisi tunao hukumiwa ndio tunaotaka Mahakama ya Kadhi. Nyie mnapambana hamataki. Kwani unafikiri sisi hatuna akili. Jiulize basi, kwanini uingereza Wakiristo wanapeleka shida zao katika Mahakama za kadhi kupatiwa ufumbuzi??.

Hivi kwanini hamzinduki?
 
sisi waislamu tuna matatizo sana,badala ya kudai mambo ya msingi sie tunadai mahakama ya kadhi sijui itatusaidia nini ndio wenzetu wanatuacha kila siku.
 
Kinachotafutwa hapo ni pesa na ajira kwa waislamu na wala si chochote,maana mahakama hiyo mpaka mhudumu watakuwepo walewale,waswahili bwana hujuana kwa vilemba
Bobuk, sio serekali ituanzishie Mahakama ya Kadhi. Mahakama za Kadhi zitambuliwe kwa Mujibu wa Katiba ili ziwe na nguvu kisheria maamuzi yake yasiingiliwe wala kubatilishwa na Mahakama nyingine nje ya utaratibu wa kimahakama.

CC. Wakristo wote
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…