Ushauri wa aina ya mwili wangu.

Sawa Mjomba
 
Mkuu nashukuru nitazingatia
 
Asee unajiuza
 
ingia gym
 
Sawa mkuu nitazingatia pia

Sio tatizo kama hiyo ndio picha yako.

Uko vizuri mbona. Acha kujikosoa.

Kama hiyo picha ni wewe. Fanya mazoezi kwa afya sio kwaajili ya kubadili mwonekano wa mapaja, hipsi . Kwa sababu hakuna tatizo.

Na hata kungekuwa na tatizo bado ungetakiwa kujipenda ulivyo.
 
Ubarikiwe sana Mtibeli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…