Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 57,312
- 90,542
Tunahitaji vyuo vingi na bora, mambo yote mawili ni muhimu sana. Kwa nchi kama hii kila mkoa ulipaswa kuwa na angalau chuo kimoja mfano wa UDSM na vyuo zaidi ya vitano mfano wa Muhimbili nchi nzima. Tuko nyuma sana
wingi wa vyuo siyo suluhisho bali tunataka vyuo bora zaidi.wakati mwingine vyuo vingi ni subjective kwa maana vingi kwa idadi gani.